Waziri Nape: Hatujaibania starlink kutoa huduma ya intaneti, Elon Musk bado hajakidhi vigezo tulivyomuwekea

Waziri Nape: Hatujaibania starlink kutoa huduma ya intaneti, Elon Musk bado hajakidhi vigezo tulivyomuwekea

Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
 
Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.

Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.


====
Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
 
Na akitimiza hivyo vigezo watamuwekea vigezo vingine vigumu ili ashindwe.

Kuwa na viongozi wafanyabiashara ni shida sana.
Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
 
Tulilitegemea maneno mafafu haya , Vodacom, Airtel, ....,wameshampa X Bilion zake, Sijajua Rais anamwacha huyu kwa faida ya nani au kwa lipi analolifanya zaidi ya kuwa wakala wa mafisadi wa Airtel, Voda.... Huyu ni katiya watu wenye very low IQ kuwa waziri...
Nilishasema haya nikaonekana mwehu haya yametimia hii ishu nilisema kabisa na Nape kapewa fungu na makampuni ya simu[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
 
Na akitimiza hivyo vigezo watamuwekea vigezo vingine vigumu ili ashindwe.

Kuwa na viongozi wafanyabiashara ni shida sana.
Voda , tigo airtel wametoa mpungu wa kufa mtu ili hiyo mipango ikwame .kwa sasa nape anaogelea kwenye utajiri wa kufa mtu .samia achukue maamuzi magumu
 
Tulilitegemea maneno mafafu haya , Vodacom, Airtel, ....,wameshampa X Bilion zake, Sijajua Rais anamwacha huyu kwa faida ya nani au kwa lipi analolifanya zaidi ya kuwa wakala wa mafisadi wa Airtel, Voda.... Huyu ni katiya watu wenye very low IQ kuwa waziri...
Kitu kinachonitia kichefuchefu kwenye serikali ya mama ni pamoja na huyu mtu anayeitwa NAPE
 
Nape kaisha tiwa mfukoni na hawa Voda na Tigo ambao wanajua akija Starlink mapato yao yatapungua sana!

Lkn niseme tu kusua sua kupewa leseni Starlink ambao wana bei nafuu na net bora ni matokeo ya akili mbovu za watz,ilipaswa tumlazimishe Nape asaini mkataba kwa nguvu ya UMMA

Sababu wanazo toa serikali ni za hovyo hovyo tu
Tungetegemea akina zito kulizungumzia hili badala yake wanapambana na marehem kiLa siku
 
Nilijua watakuja na sababu dhaifu hao wenye ofisi mbona wanaiba data kila kukicha na wewe ndio unawatetea...kwani nini usiwape kwa kuwaangalia hata muda mchache kwanza mkiona wanafaa mnawapa kibali cha muda mrefu hamtaki kukuza mapato TRA wanawaangalia kwa majibu yenu hayo...
Na ajira pia .sijui mama anakwama wapi kumtoa huyu kunguni
 
Kampuni za simu zilizopo zinahonga fedha nyingi ili zibake zenyewe. Unajua siku hizi mapato makubwa ya hizi kampuni yanatokana na data, hivyo wanaogopa watapoteza soko.

Pia serikali inaogopa itapoteza udhibiti wa kidikteta kwa watumiaji wa intenet, ku-hack simu za watu na makandokando yote yanayoendana na uminyaji wa uhuru wa habari. Lakini ni suala la muda tu kwani Tanzania haiwezi kuwa kisiwa.
Nasikia kuna wafanyakazi tena wa ngazi ya chini walihongwa 10ml kila mmoja TCRA sasa watu kama nape watakuwa si wamehongwa mabillioni ya fedha
 
Huyu jamaa anatumiwa na makampuni ya simu yanayotukamua pesa nyingi kwa mb chach, sasa hii ni outright hujuma ya kutaka kulinda ulaji wao kwenye Mb. Hiyo sababu aliyotoa ni ya kitaahira kabisa.., unalinda vipi sasa kwa kuzuia kampuni ya huduma ya mawasiliano? Au hao wanatofauti gani na hizi kampuni zilizopo? Mfano Instagram ofisi zao zipo wapi hapa nchini?
Tungekuwa na bunge imara hili lingekuwa nj hoja ya msingi sana .acha voda wazidi kutukamua
 
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni jamani.

Nape bado ni yule yule mzee wa goli la mkono kama taifa hatuwezi kusahau hilo tukio la aibu.

Ila leo hii nimekuja na mawazo yake aliyo yasema jana kupitia EATV kuhusu kupata katiba mpya.

Amesema kuwa kupata katiba mpya bila UTASHI WA KISIASA kama taifa haitasaidia kitu.

Mimi nimenuelewa sana na akatoa mifano mingi iliyo hai naomba tumsikilize hapa alafu tupeane mawazo.

View attachment 2533330
Mambo ya katiba mpya peleka huko, tunazungumzia huduma ya data hapa.
 
Mambo ya katiba mpya peleka huko, tunazungumzia huduma ya data hapa.
Atakua na hoja ya Msingi huko kwenye Katiba mpya Waziri hawezi kuamua peke yake bila kushirikisha Wananchi kupitia Bunge huko wakiwa Imara wanakua na Kamati ambayo itatoa majibu sahihi sio hii ya kuaema wawe na Office baadae atasema nyumba ili mradi kuongeza vipengele Nchi nyingi zinatafuta hiyo fursa hutu mwananchi mmoja anaifukuza kwa maslahi yake binafsi na Makampuni sio watumiaji..
 
Tungekuwa na bunge imara hili lingekuwa nj hoja ya msingi sana .acha voda wazidi kutukamua
Hata wasomi wanaotambua hizi mambo wangeweza kumjibu hata Wanasheria sasa Wanasheria wetu ndio hao Ndege kila kukicha inachukuliwa na wahuni kama yao wapo kimya tuu...
 
Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.

Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.


====
Hoja ya msingi sana
 
Kwamba watanzania hawawezi kupiga simu marekani kuulizia subscription zao

Nape aache kutuona sisi mafala mtu anaeweza kumiliki (kulipia huduma ya )starlink hawezi shindwa kupiga simu America
 
Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.

Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.


====

Meta ofisi zao ziko wapi?
Tunalipia zaidi ya elfu 24 kwa siku,
Mbona sisi tunaenda nae fresh kibos tuu
 
Akiweka ofisi nchini, kupata hivyo vibali 10% kama zote...
 
Back
Top Bottom