FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amesema serikali ya Tanzania iliitaka kampuni ya Starlink inayomilikiwa na Elon Musk kuweka ofisi zake hapa nchini ili waweze kulinda data za watumiaji na kuwajibika kwa watanzania.
Source:
Huyu jamaa anatumiwa na makampuni ya simu yanayotukamua pesa nyingi kwa mb chach, sasa hii ni outright hujuma ya kutaka kulinda ulaji wao kwenye Mb. Hiyo sababu aliyotoa ni ya kitaahira kabisa.., unalinda vipi sasa kwa kuzuia kampuni ya huduma ya mawasiliano? Au hao wanatofauti gani na hizi kampuni zilizopo? Mfano Instagram ofisi zao zipo wapi hapa nchini?