Waziri Nape: Hatujaibania starlink kutoa huduma ya intaneti, Elon Musk bado hajakidhi vigezo tulivyomuwekea

Waziri Nape: Hatujaibania starlink kutoa huduma ya intaneti, Elon Musk bado hajakidhi vigezo tulivyomuwekea

Hahaaa!!mkuu mimi ni mgonga nyundo tu mwenzako huku mtaani!!?ila nimesema tu kulingana na sheria zilizopo sasa!!kama nia ipo ni kuzibadiri tu,ila sasa wenye hisa kwenye makampuni hayo ndio wanaotuongoza je watakubali?!?TTCL ndio wenye mkongo wa taifa ni serikali,huko airtel karibu 51 % ni ya serikali!!
Ndugu waziri ona hii Ali express Wana ofisi wapi hapa nchini?
Lakin mi ni mnufaika na hii kampun na hata nikinunua mzigo usipofika pesa yangu inarudi ndugu waziri tunao humia ni Sisi wananchi🤕🤕 we mwenzetu bando uhakika
Tena bando kubwa kabisa mnapata.

saiz gb 1 mpaka (aftatu) tuokoe waziri raia wema walipambana siku Ile na yule mtu asie julikana usile chuma ya kichwa ilikua chup chup ⚰️⚰️ saiz hata tweet ya Elon usingeiona pulizi waziri pulizi tupo down Kwa feet yako in Kenya talking ahaaa
 
Legal frame work is everything.

Presidential power ikiwa limited kujiamulia mambo anavyotaka ingetuepusha na hayo ya miaka 6 iliyopita... pengine bas rais angekuwa anavunja katiba na controls zake zingekuwepo.

Hoja za mikutano ya siasa kwa katiba iliyopo na mamlaka ya rais still is not clear to date
Asante sana kiongozi kwa mchango mzuri maana nia ya huu uzi ni kujadili na kuchambua mawazo ya Nape
 
Katiba bora likiwa takwa LA wananchi wanasiasa hawatakuwa na ubavu wa kuizuia.
Chadema walikuwa na nafasi ya kufanya hiyo shift lakn mikutano yao imeshindwa kuhamisha hitaji lA katiba kutoka kwa wanasiasa kuwa la wananchi. Licha ya kuwa wanamwezi sasa tangu waanze mikutano lakin RAIA hawajapata mzuka wa katiba bora
Mkuu tofautisha mikutano ya routine na ile ya uzinduzi wa hiyo mikutano.

Issue ya kudai katiba mpya ndiyo kipaumbele cha CDM lkn kwa sasa kinachofanyika ni uzinduzi wa hiyo mikutano.
 
Tangu Chadema waanze mikutano hawajatimiza mwezi, mikutano ilianza wiki iliyopita huko nyanda za juu kusini, naona umeshindwa kutofautisha uzinduzi ni nini, kilichofanyika Mwanza ni uzinduzi na kumbuka nilisema watakuja toa ratiba ya mikutano rasmi na Mwanza itakuwemo.
Upo sahihi sana
 
Mkuu tofautisha mikutano ya routine na ile ya uzinduzi wa hiyo mikutano.

Issue ya kudai katiba mpya ndiyo kipaumbele cha CDM lkn kwa sasa kinachofanyika ni uzinduzi wa hiyo mikutano.
Wanatumia gharama kuandaa mikutano halafu wananchi wanatoka kwenye mikutano bila bila.
MTU ameambiwa Katiba haitaleta ugali nyumbani mwako, anaamua kwenda kwenye mkutano kujua iwapo katiba mpya inaweza kumletea ugali nyumbani kwake lakini mpaka mkutano unaisha anarudi bila kupata jibu la dukuduku lake. Matokeo yake anabaki na mtazamo kuwa katiba haiwezi kuleta ugali nyumbani kwake.
 
Wanatumia gharama kuandaa mikutano halafu wananchi wanatoka kwenye mikutano bila bila.
MTU ameambiwa Katiba haitaleta ugali nyumbani mwako, anaamua kwenda kwenye mkutano kujua iwapo katiba mpya inaweza kumletea ugali nyumbani kwake lakini mpaka mkutano unaisha anarudi bila kupata jibu la dukuduku lake. Matokeo yake anabaki na mtazamo kuwa katiba haiwezi kuleta ugali nyumbani kwake.
Inategemea na mapokeo yake yapoje hasa pale hilo jambo litakapokuwa limeanza kuzungumziwa rasmi kwenye mikutano iliyo ruhusiwa
 
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni jamani.

Nape bado ni yule yule mzee wa goli la mkono kama taifa hatuwezi kusahau hilo tukio la aibu.

Ila leo hii nimekuja na mawazo yake aliyo yasema jana kupitia EATV kuhusu kupata katiba mpya.

Amesema kuwa kupata katiba mpya bila UTASHI WA KISIASA kama taifa haitasaidia kitu.

Mimi nimenuelewa sana na akatoa mifano mingi iliyo hai naomba tumsikilize hapa alafu tupeane mawazo.

View attachment 2533330
We has a dictatorial regime, ni katiba ya ufalme ndiyo inaleta hayyo yote. Polisis wanaua raia kwa vile wanabembeleza madaraka waliynayo. Kama RPC angelikuwa anatoka kwenye interview na katiba inasema Rais hana mamlaka ya kumtoa mpaka mamlaka iliyomuweka pale ndiyo imtoe kwa rigid utaratibu, polissi wasingelionea watu! sijui kama nimeeleweka......
 
Waziri Nape Nnauye amesema hawajaibania Starlink kutoa huduma ya intaneti nchini bali ni kuwa Kampuni hiyo inayomilikiwa ns tajiri Elon Musk haijakidhi vigezo ilivyowekewa na serikali ikiwamo kufungua ofisi nchini Tanzania.

Amesema vigezo hivyo vimewekwa na serikali ili kumlinda Watanzania watakotaka kutumia huduma hiyo.


====
Yaan Nchi hii, cjui lini utawala utapatikana wenye kujali maslahi ya raia wake!!
 
Ndio maana nasema kwann tunamshambulia nape wakumshambulia ni Yule usalama alietumwa na kumtolea nape bastola angemtwanga moja Leo pengine tungekua tumepunguziwa shida moja tubakize zingine tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Chawa mko wapi kwenye huu uzi mbona hamjitokezi? Au na nyie chawa mnataka huduma hii
 
Back
Top Bottom