kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kama kweli ana akili, kwa kauli tata aliyotoa kuhusu uchaguzi, "ajiuzulu ". JPM alimuondoa haraka alipovurunda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapelekwa wizara nyingineNashangaa inakuwaje Nape kwanini yupo ofsini hadi Leo.
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta
Nape ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu. CCM ni majizi ya kura yaliyokubuhu.Nashangaa inakuwaje Nape kwanini yupo ofsini hadi Leo.
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta
Kweli sikio la kufa...Nashangaa inakuwaje Nape kwanini yupo ofsini hadi Leo.
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta
Ile katuni ya kigogo media wakati anakata gogo ni safi sana!Kibongo bongo hakuna waziri wa kujiuzuru mwenyewe. Tutegemee badiliko la baraza la mawaziri soon
Yuko kimkakati hawezi tolewaKibongo bongo hakuna waziri wa kujiuzuru mwenyewe. Tutegemee badiliko la baraza la mawaziri soon
Zaidi ya rangi hii aliyonayo? Alisema ataunda tume huru ya uchaguzi iko wapi. Katiba mpya aliahidi, saa hii anasema hadi watu wapate bachelor, kana kwamba katiba mpya ni suala la kitaalamu. Inshort huyo mama ni laghai fulani.Hapa ndo tutajua rangi halisi ya Rais wetu
Huyu ni kilaza mkubwa, amenyea Kambi!Kama mtu somo la uraia alipata F unategemea kipi kipya kutoka kwake ?
Hakika Rais Samia alipita kwenye uzi huuNashangaa inakuwaje Nape kwanini yupo ofsini hadi Leo.
Yaani ametoa kauli chafu na kuharibu amani yetu Bado anaona utani?
Utani Gani au uhuni amekuwa akirudia hii kauli.
Me ni mwana CCM ili siwezi kufurahishwa na ushindi wa wizi na kunajisi democracy. Tushindane Kwa sera na vyama vingine atakaeshinda ndo huyo
Hivi waziri tunaekuheshimu kujisifu ati ni mtaalamu wa kuiba kura na kunajisi democracy unasema ni utani
Nape amejivunjia heshima au anataka tuandamane kama Kenya?
Ametuona Watanganyika wapumbavu.
Rais Samia mtoe huyu jamaa ofsini haraka, ili tukuamini tuone kweli hii kauli ya mtendaji wako ilikuchukiza.
Kwani yeye ndo alizaliwa kuwa waziri.
Moderators msifute huu Uzi.
Maana naona nyuzi za kumhusu Nape mnafuta