Waziri Nape na Vijana wa Lindi mtaendelea kudeki Barabara za Lindi hata Rais Samia akimaliza ziara yake huko?

Waziri Nape na Vijana wa Lindi mtaendelea kudeki Barabara za Lindi hata Rais Samia akimaliza ziara yake huko?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkimaliza Kuzideki hizo Barabara za Mkoa wa Lindi (hasa za hapo Mjini) kabla ya Ziara ya Rais Dk. Samia hakikisheni hamsahau pia na Kudeki Akili zenu ambazo yawezekana kutokana na Kuchafuka ndiyo zinastahili Kudekiwa zaidi ili zisafishike hata kuliko hizo Barabara.

Kwa anayetaka kuona Waziri Nape Nauye na wana Lindi Wakideki Barabara kabla ya Ziara (Ujio) wa Rais Dk. Samia huko wapitie Mtandao wa East African Television (EAtv)

Tanzania bila Unafiki haiwezekani.
 
Nape akili kubwa na jasiri, hamumuwezi.....tulieni tu.
 
Wanadeki njia panda. Ule ni uchawi tuu wanafanya. Bi Mdachi asipite hiyo road.
 
Mkimaliza Kuzideki hizo Barabara za Mkoa wa Lindi (hasa za hapo Mjini) kabla ya Ziara ya Rais Dk. Samia hakikisheni hamsahau pia na Kudeki Akili zenu ambazo yawezekana kutokana na Kuchafuka ndiyo zinastahili Kudekiwa zaidi ili zisafishike hata kuliko hizo Barabara.

Kwa anayetaka kuona Waziri Nape Nauye na wana Lindi Wakideki Barabara kabla ya Ziara (Ujio) wa Rais Dk. Samia huko wapitie Mtandao wa East African Television (EAtv)

Tanzania bila Unafiki haiwezekani.
Acha wivu mzee Rais Samia Suluhu anapendwa haijawai tokea
 
Back
Top Bottom