Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Nape mjinga sana! Anadhani atakuwa waziri milele? Na akitoka huko atapita wapi mtaani? Ndo maana ya viongozi division zero kwenye mitihani! Nakumbuka linganisho lak na JJ Mnyika, mwenzake Divi 1 ya point saba, yeye sifuri tuuu! Stupid Nape!
 
Nape Hana uwezo huo
Ana akili ndogo Sana
Mwalimu wa butimba cct upe na maswala ya teknolojia wapi na wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🏌️
 
Vipi kuhusu ummy mwalimu?
Yeye si ndo zimamoto plus
Au Hilo hulioni kwakua ni muislam Mwenzio?
Ummy Mwalimu nae si tuliisha mpa yake kajitrejkebisha kidogo.

At least wizara yake kuna plan sasa hivi, inagawa haijakaa sawa, lakini ipo, wanaelewa kabisa wanachokifata.


Lakini wizara ya huyu mama, ni kipofu kabisa, hawana plan yoyote wanayoifata.

Sidhani hata kama wana yearly updated policy and pcedures za wizara zao. Utakuta zipo walizozikuta, za miaka 40 nyuma.

Mawaziri wanafikiri hizo nim kazi za Katibu Mkuu, wao kazi yao ni kupiga porojo za kisiasa tu, hawaelewi kuwa wakati huo ulishapita. Mama Samia yupo mbali sana, anataka Reforms na Rebuilding ya wizara na idara zote.

Waziri anatakiwa achape kazi kuliko katibu wake Mkuu.
 
Tatizo walimpa wizara sio yake
Yeye alipaswa kupewa wizara aliyopewa ummy mwalimu
Ila sababu ummy analiwà na jk na ni muislam wakamtoa Dorothy kwenye wizara yake
But still Yuko vizuri hajapwaya🙏
Kile kichwa Cha PCB kweli kweli
Hajabebwa na vyupi
 
Hey vichaa wapo wa aina nyingi sana
 
Mkuu wewe ndio unajiitaga mzee wa tangu uhuru?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ...
 
Ndio wasomi wetu wa kwenye serikali mawazo yao hua yanaishia kwenye vitu vidogo vidogo visivyo na maana, ndio maana Elon musk aliikimbiza starlink Kenya
 
Zero brain ,l
 

Only in Tanzania where a minister responsible for internet is an idiot
 
Nani kakwambia vpn inatumika kuangalia ngono? Ngono unaweza ukaangalia hata twitter au telegram bila vpn. Huyu kenge maji hajui kuwa kuna fursa kubwa kwenye proxy na vpn.
Hajanambia mtu, nimesoma comments za watu hapahapa JF.

Fursa zipo kila sehemu, hakuna VPN kuna mengine. Yeye mradi kafanya kazi kwa utashi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…