Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

Nape mjinga sana! Anadhani atakuwa waziri milele? Na akitoka huko atapita wapi mtaani? Ndo maana ya viongozi division zero kwenye mitihani! Nakumbuka linganisho lak na JJ Mnyika, mwenzake Divi 1 ya point saba, yeye sifuri tuuu! Stupid Nape!
 
Hapa ngoja nimgfahamishe, Nape kuna softwre siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanzuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupizigizana kelele na mtu


Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi kwa usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja nipongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki sfyware kidogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
Nape Hana uwezo huo
Ana akili ndogo Sana
Mwalimu wa butimba cct upe na maswala ya teknolojia wapi na wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🏌️
 
Vipi kuhusu ummy mwalimu?
Yeye si ndo zimamoto plus
Au Hilo hulioni kwakua ni muislam Mwenzio?
Ummy Mwalimu nae si tuliisha mpa yake kajitrejkebisha kidogo.

At least wizara yake kuna plan sasa hivi, inagawa haijakaa sawa, lakini ipo, wanaelewa kabisa wanachokifata.


Lakini wizara ya huyu mama, ni kipofu kabisa, hawana plan yoyote wanayoifata.

Sidhani hata kama wana yearly updated policy and pcedures za wizara zao. Utakuta zipo walizozikuta, za miaka 40 nyuma.

Mawaziri wanafikiri hizo nim kazi za Katibu Mkuu, wao kazi yao ni kupiga porojo za kisiasa tu, hawaelewi kuwa wakati huo ulishapita. Mama Samia yupo mbali sana, anataka Reforms na Rebuilding ya wizara na idara zote.

Waziri anatakiwa achape kazi kuliko katibu wake Mkuu.
 
Ummy Mwalimu nae si tuliisha mpa yake kajitrejkebisha kidogo.

At least wizara yake kuna plan sasa hivi, inagawa haijakaa sawa, lakini ipo, wanaelewa kabisa wanachokifata.


Lakini wizara ya huyu mama, ni kipofu kabisa, hawana plan yoyote wanayoifata.

Sidhani hata kama wana yearly updated policy and pcedures za wizara zao. Utakuta zipo walizozikuta, za miaka 40 nyuma.

Mawaziri wanafikiri hizo nim kazi za Katibu Mkuu, wao kazi yao ni kupiga porojo za kisiasa tu, hawaelewi kuwa wakati huo ulishapita. Mama Samia yupo mbali sana, anataka Reforms na Rebuilding ya wizara na idara zote.

Waziri anatakiwa achape kazi kuliko katibu wake Mkuu.
Tatizo walimpa wizara sio yake
Yeye alipaswa kupewa wizara aliyopewa ummy mwalimu
Ila sababu ummy analiwà na jk na ni muislam wakamtoa Dorothy kwenye wizara yake
But still Yuko vizuri hajapwaya🙏
Kile kichwa Cha PCB kweli kweli
Hajabebwa na vyupi
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
Hey vichaa wapo wa aina nyingi sana
 
Hapa ngoja nimfahamishe, Nape kuna software siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanazuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupigizana kelele na mtu

Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja niongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki software ndogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
Mkuu wewe ndio unajiitaga mzee wa tangu uhuru?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ...
 
Ndio wasomi wetu wa kwenye serikali mawazo yao hua yanaishia kwenye vitu vidogo vidogo visivyo na maana, ndio maana Elon musk aliikimbiza starlink Kenya
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
Zero brain ,l
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".

Only in Tanzania where a minister responsible for internet is an idiot
 
Nani kakwambia vpn inatumika kuangalia ngono? Ngono unaweza ukaangalia hata twitter au telegram bila vpn. Huyu kenge maji hajui kuwa kuna fursa kubwa kwenye proxy na vpn.
Hajanambia mtu, nimesoma comments za watu hapahapa JF.

Fursa zipo kila sehemu, hakuna VPN kuna mengine. Yeye mradi kafanya kazi kwa utashi wake.
 
TCRA waanze nae yeye anaeandika "USENGE" bila aibu mtandaoni
FB_IMG_16976630460665413.jpg

Ngoja ashibe reply zako utazikuta Twitter.
 
Back
Top Bottom