Waziri Nassor Mazrui: Hospitali zote za Zanzibar kupewa Sekta Binafsi waziendeshe

Waziri Nassor Mazrui: Hospitali zote za Zanzibar kupewa Sekta Binafsi waziendeshe

mkuu Covax japo mimi ni mkristu tena katoliki ila nimestuka kwann serikali ilipe 40b kwa kanisa kila mwaka nadhan sio sawa hata kidogo. Nikapata maswali ambayo na amini unaweza kutusaidia wanaJF;
1.kwanini wanalipwa?
2.je wasipolipwa watatufanya nn au nn kitatokea?
3.kwa gharama wanazochaji sasa wanaweza kuendesha hizo hospitali bila ya rudhuku kutoka serikalini?
4.unadhani serikali ikiacha kutoa hizo pesa kwa hizo hospital za kanisa na kanisa liamue lijiendeshe kwa fedha zake unadhan gharama tunazotozwa wagonjwa zitabaki kama zilivyo sasa?
5.Kama kanisa litapandisha gharama kwa wagonjwa kwa kukosa ruzuku serikalini unadhan tuliowengi tutaweza kumudu gharama za matibabu ikiwa kwa sasa japo ya kupewa ruzuku bado matibabu yanatushinda.?
6.vp kanisa likiamua kufunga hospitali zake kwa mukosa ruzuku ya kujiensesha nn kitatokea?
Naomba uje na takwimu sahihi ili tuwe na pakuanzia pale tunapotaka kuipambania serikali na jamii yetu kwa ujumla.
Thanks
Akijibu huyo suruali fupi uniite
 
Mtu binafsi anatafuta faida so lazima apige kazi kweli kweli hakuna uzembe. So as much as sikubaliani nayo ila ukweli usemwe private sector wako serious kwenye kazi kuliko serikalini.

Angalia tu ATCL linganisha na Precision, au TTCL na Vodacom, au TRA na Deloitte, ama Azania na Marian!!

Let's be serious serikali inabidi ibadili mfumo wa jinsi inaendesha taasisi ikiwezekana mishahara isitoke hazina Bali kwenye taasisi husika Ili Kila mtu alipwe kutokana na anachozalisha not otherwise
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom