[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi nawaza mtu wa advance atoke kubutua Chand, mara vuu [emoji648] pure, afu azamie mambo ya moringe sokoine, jamani khaaaaaaaah. Mie nipo hoi wallahHistoria mpya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hii nchi ina kila aina ya maajabu
Sijui somo hilo litaitwaje[emoji23][emoji23][emoji23]
CBHKutakua na comb ya PCH sababu ya history
Ni nyota nyota tu kwa kwenda mbele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi nawaza mtu wa advance atoke kubutua Chand, mara vuu [emoji648] pure, afu azamie mambo ya moringe sokoine, jamani khaaaaaaaah. Mie nipo hoi wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi
Mkuu silipi kwa hizo value kamweeee[emoji38][emoji38][emoji38],kama mnanisumbua nawambia hivi, miradi yote nitakayokuwa nayo ntaisajiri kwa jina la mtoto wangu aseee, ikiwezekana jina la dada yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shule bora kuna F somo fulani laja kwa kasi ya 6G, hakna mwanafunzi atakae weza kuhimili huu mvurugano.Ni nyota nyota tu kwa kwenda mbele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huo mchanganyiko kama kachumbari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shule bora kuna F somo fulani laja kwa kasi ya 6G, hakna mwanafunzi atakae weza kuhimili huu mvurugano.
Utaona nini hata kama na hilo la wazi kiasi hicho hulioni?Una uhakika au unabwabwaja tu JF
Hamna kitu apoooMimi
Mkuu silipi kwa hizo value kamweeee😆😆😆,kama mnanisumbua nawambia hivi, miradi yote nitakayokuwa nayo ntaisajiri kwa jina la mtoto wangu aseee, ikiwezekana jina la dada yangu🤣🤣🤣
Acha makasirikoHawaondoi ng'ooo. Ulivokuwa unatamba na simu ya milioni moja mtoto wa kapukuu ulijua kulipa deni ni sherehee?? Lipeniiii haraka saana. Kama hutaki kulipa atakamatwaa guarantors wako. Haaaa haaaaa.
Hawa watu watu sijui wanatupelekea wapi watoto wetu
Kwani amesema hataki kulipa deni? Rudia kusoma upyaLipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni
Sasa si alipee?? Anatupa michanganuo ya nini?? Kinachotakiwa nikulipa deniii. Au aombee waongezee makato.Kwani amesema hataki kulipa deni? Rudia kusoma upya
Mnyonge gani anaetetewa?Inashangaza sana.Halafu anaibuka mtu anasema et yeye ni mtetezi wa wanyonge!
Dhiki zikitamalaki hata vizazi vyao havitakuwa na furahaWabunge wa upinzani walionya mapema bungeni. Ndugai na viherehere wa Ccm wakaoitisha kwa wingi wao. Walidhani ina wahusu Chadema na Act wazalendo. Sasa wako wenyewe wana hadaa motion wameianzisha wao.
Bado records zipo. Hata Ndugai aki rest leo, bado historia ita mhukumu.
Sanga anasema atake asitake....Labda hii ifanyike baada ya mifive tena
Hatulipi labda mtufuate majumbani na mkinifuata nahama sinza nahamia mpanda ndani ndani hukoMimi
Mkuu silipi kwa hizo value kamweeee😆😆😆,kama mnanisumbua nawambia hivi, miradi yote nitakayokuwa nayo ntaisajiri kwa jina la mtoto wangu aseee, ikiwezekana jina la dada yangu🤣🤣🤣
Anatoka kutafuna limkate la Biological Science ghafla anaingia mambo ya Mtwa Mkwava[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi nawaza mtu wa advance atoke kubutua Chand, mara vuu [emoji648] pure, afu azamie mambo ya moringe sokoine, jamani khaaaaaaaah. Mie nipo hoi wallah
Viongozi wengi haya mambo hayawahusuMimi nafikiri hii loan board kuna mirija ya wapigaji, maana hakuna anayejali pamoja na malalamiko ya wadau....tangu lini popote pale duniani elimu ambayo serikali ina wajibu wa moja kwa moja kuigharamia, itolewe kwa mkopo ambao ni zaidi ya mkopo wa benki ya kibiashara....