Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

We kuna mtu amekulazimisha kumpeleka hapo? We fanya kumuhamisha umpeleje shule inayoendana na unavyotaka. It's very simple.


Nyie walim naona nimewagusa penyewe! Mikopo ya mitaani imewakausha.
Kuna mtu hapa tunduru ana ATM card zenu kama 98 hivi!
Vyabure sio vizuri!! Mh alisema, pambaneni na khari zenu!

Mmetolea macho mpunga wa wakulima, mbona hamuombi mahindi???.
Limewakwama!
Nyie mmetumwa na mzee wa faru john ili wananchi waichukie serikari.

Zimebuma! Ulipo tupo.
Crdibi bank tunakujari.
 
Utakufa we wakati unazaa ulijua utawatunzaje watt wako [emoji23][emoji23][emoji23] be responsible acha kulialia kisa ufukara wako.


Hii ni serikari ya awamu ya 5! Hivyo visacos vyenu mfe navyo!

Mikopo ya mitaani imewakausha!
Tunajua njama zenu zote! Tutakishtua chama cha mapinduzi michezo yenu!

Mmetumwa na mzee wa faru john taarifa zte tunazo.
Ulipo tupo.
 
Acha kulialia iv toka lini elimu ikawa bure ukiambiwa bure changanya na zako maisha ya elimu ni gharama afu usipende pende vya bure huwa havina kiwango...
Hapo ndio huwa namshukuru Mungu kwa kunipa "akili" ya kusomesha wanangu.
 
Hapo ndio huwa namshukuru Mungu kwa kunipa "akili" ya kusomesha wanangu.
Kuna kale kamsemo, 'kama unafikiri elimu ni gharama, jaribu ujinga'...

Mleta mada kanichanganya mara shule ya Magu, ukifuatilia huko kanda ya ziwa wamevuna mipunga mpaka wamecheua, mara anasema Tunduru..Siaradibii ulipo tupo😀

Mara tena siasa, sijui faru John na uchaguzi...kiukweli hata mie namshukuru Mungu kunipa elimu ya kutambua umuhimu wa kusomesha wanangu!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Watu wengine hadi unawaza "kwahiyo huyu nae mzazi"!!! No wonder watoto wako vile walivyo.
 
Mkuu jiongeze baas, buku 2 tu zinakutoa mimacho wakati ni beer moja tuu, we vipi mbona uko karne ya nyuma saana. If you think Education is Expensive, try Ignorance.
Si ni Muislam huyo anaitwa Omari, wana Allergy na Elimu ya Dunia.
 
Hiyo lazima itakuwa ni KINANGO SEC kuna mfumo wa upigaji hatari....mlolongo wake mpaka kwa afisa elimu!!
 
Sasa unamlalamikia nani humu, si uende kwenye ofisi ya Waziri Ndalichako?

Kazi umbea tu
 
Muache tu atajiju.
 
Taja jina la shule,bila kufanya hivyo tutalichukulia hili uzito mwepesi
 
We ni [emoji706][emoji706]
 
Jamaa ni empty headed yan anachanganya madaa weee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kulialia iv toka lini elimu ikawa bure ukiambiwa bure changanya na zako maisha ya elimu ni gharama afu usipende pende vya bure huwa havina kiwango...
Wewe utakuwa kama si mwalimu, basi ni mwana ukoo ama hawara wa mwalimu kamili corrupsed ambaye ni mnufaika wa mojakwa1 wa hayo madudu.

Je kuna mtu kakataa kuchangia gharama za mwanawe kama serikali ikitoa muongozo, kama zamani watu walivyochangia?

Hiyo kauli uliyoitoa wewe ya michango holela, ndiyo iliyopigwa marufuku na serikali.

Na aina hii ya mawazo ama kauli, imefanya maagizo mazuri ya serikali kufubazwa kwa nguvu kubwa hasa na watu wanaolenga kujaza matumbo yao.
 
Wakati rais Magufuli anapiga marufuku michango shuleni hilo la kula mashuleni mbona ndiyo alilolikazia, inakuwaje linarudishwa kwa mlango wa Covid 19?

Kwa hiyo hamkuridhika na maelezo ya serikali?

Kama ni mkereketwa wa elimu, peleka mchango wako kwa mkurugenzi.
 
Upo sahihi mkuu, michango haibadilishi silabasi wala haiboreshi elimu, bali ni upigaji wa kujaza matumbo ya watu.

Anayekueleza sijui huendagi kwenye vikao vya wazazi ni mamluki tu huyo, maana vikao hivyo huwaga wamepanga yao kuhalalisha ajenda waliyoiandaa.

Mbinu zote ovu, Jpm aliziweka wazi na akapiga marufuku, sasa naona kundi la mafisi limeibuka tena upya kwa mlango wa Corona!
 
Swala la elimu ndugu sio lazma uwe mnufaika m
Maswala ya kuambiwa elimu bure sio kila kitu kitapatikana kama mnavyoaminishwa na sera za majukwaani kuna mambo mengne inahitaji kuunga mkono pale inapobidi na mikakati mingi inalenga watoto wapate elimu bora na ndio maana shule nyingi wazazi wanaachiwa swala walijadili wao.. kama wew ni mzaz hutaona inafaa hulazimishwa. Ukae kwa kutulia wazir mwenye dhamana sio kwamba halijui hili ni kwamba wazazi wakiridhia bac mambo yanakwenda na nikatika namna pia ya kuunga mkono juhudi[emoji38]

Au hujui serikali inapambana na miladi mingi ambayo inahiyaji support ya kubwa ya wadau?
Swala ni kwamba kama pesa inakwenda kutumika katka namna ilivyopangwa bac hatuoni tatzo hapo.
By the way hapa sio jukwaa la kuja kulialia kuna mamlaka husika za kupeleka hizo kelele zako ambazo mwisho wa siku hazitasikilizwa.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yote uliyoyasema ninayajua, ndiyo maana kuna shule za kila sampuli kama yalivyol mavazi.

Zipo za wenye pesa, lipia unavyotaka kutokana na shule unayoitaka mzazi, sasa mtoa mada kasemea za kata wanazosoma mchanganyiko na maskini wasio na uwezo, ambazo serikali imekuja kuzitolea tamko.

Sasa kwa nini sisi raia tunakataa sera ya elimu ya serikali?

Tangu miaka na miaka sijasikia michango ya shule inaboresha elimu zaidi ya kunufaisha mwalimu na kamati za shule.

Hapa sichangii kishabiki bali nna uhakima na nnachokiongea.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…