Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
- Thread starter
-
- #81
We kuna mtu amekulazimisha kumpeleka hapo? We fanya kumuhamisha umpeleje shule inayoendana na unavyotaka. It's very simple.
Utakufa we wakati unazaa ulijua utawatunzaje watt wako [emoji23][emoji23][emoji23] be responsible acha kulialia kisa ufukara wako.
Hapo ndio huwa namshukuru Mungu kwa kunipa "akili" ya kusomesha wanangu.Acha kulialia iv toka lini elimu ikawa bure ukiambiwa bure changanya na zako maisha ya elimu ni gharama afu usipende pende vya bure huwa havina kiwango...
Kuna kale kamsemo, 'kama unafikiri elimu ni gharama, jaribu ujinga'...Hapo ndio huwa namshukuru Mungu kwa kunipa "akili" ya kusomesha wanangu.
Si ni Muislam huyo anaitwa Omari, wana Allergy na Elimu ya Dunia.Mkuu jiongeze baas, buku 2 tu zinakutoa mimacho wakati ni beer moja tuu, we vipi mbona uko karne ya nyuma saana. If you think Education is Expensive, try Ignorance.
Sasa unamlalamikia nani humu, si uende kwenye ofisi ya Waziri Ndalichako?Katika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi.
Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=
Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?
Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,
Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.
Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.
Muache tu atajiju.Kuna kale kamsemo, 'kama unafikiri elimu ni gharama, jaribu ujinga'...
Mleta mada kanichanganya mara shule ya Magu, ukifuatilia huko kanda ya ziwa wamevuna mipunga mpaka wamecheua, mara anasema Tunduru..Siaradibii ulipo tupo😀
Mara tena siasa, sijui faru John na uchaguzi...kiukweli hata mie namshukuru Mungu kunipa elimu ya kutambua umuhimu wa kusomesha wanangu!
Everyday is Saturday.......................... 😎
Taja jina la shule,bila kufanya hivyo tutalichukulia hili uzito mwepesiKatika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi.
Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=
Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?
Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,
Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.
Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.
We ni [emoji706][emoji706]Nyie walim naona nimewagusa penyewe! Mikopo ya mitaani imewakausha.
Kuna mtu hapa tunduru ana ATM card zenu kama 98 hivi!
Vyabure sio vizuri!! Mh alisema, pambaneni na khari zenu!
Mmetolea macho mpunga wa wakulima, mbona hamuombi mahindi???.
Limewakwama!
Nyie mmetumwa na mzee wa faru john ili wananchi waichukie serikari.
Zimebuma! Ulipo tupo.
Crdibi bank tunakujari.
Jamaa ni empty headed yan anachanganya madaa weee[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kale kamsemo, 'kama unafikiri elimu ni gharama, jaribu ujinga'...
Mleta mada kanichanganya mara shule ya Magu, ukifuatilia huko kanda ya ziwa wamevuna mipunga mpaka wamecheua, mara anasema Tunduru..Siaradibii ulipo tupo😀
Mara tena siasa, sijui faru John na uchaguzi...kiukweli hata mie namshukuru Mungu kunipa elimu ya kutambua umuhimu wa kusomesha wanangu!
Everyday is Saturday.......................... 😎
Wewe utakuwa kama si mwalimu, basi ni mwana ukoo ama hawara wa mwalimu kamili corrupsed ambaye ni mnufaika wa mojakwa1 wa hayo madudu.Acha kulialia iv toka lini elimu ikawa bure ukiambiwa bure changanya na zako maisha ya elimu ni gharama afu usipende pende vya bure huwa havina kiwango...
Wakati rais Magufuli anapiga marufuku michango shuleni hilo la kula mashuleni mbona ndiyo alilolikazia, inakuwaje linarudishwa kwa mlango wa Covid 19?Jamani naomba niweke wazi
Mwalimu ni Kama mzazi/mlezi wa mwanafunzi. Kwahyo kuagiza mwanafunzi apeleke mchele kilo 10 na 2000 labda ya kulipa mpishi na kununua mafuta ya kupikia mchele siyo utapeli bali ni kutaka watoto some kwa ubora zaidi wakiwa wameshiba.
Pili, Mwanafunzi hawezi kusoma kwa weledi akiwa na njaa. Hivyo hiyo kilo 10 ni Kama chakula kwanili ya mwanao. Ukitaka mwanao afike mbali ktk elimu lazima ugharamike. Siyo unalilia tu. Hata sisi tulio bahatika kusoma mpaka elimu ya juu wazazi wetu waligharamia kila kitu ikiwemo kutupa hela ya chakula
Acha uchawi wa kutuona sisi walimu kama wezi
Upo sahihi mkuu, michango haibadilishi silabasi wala haiboreshi elimu, bali ni upigaji wa kujaza matumbo ya watu.Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.
Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.
Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.
Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.
Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.
Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Swala la elimu ndugu sio lazma uwe mnufaika mWewe utakuwa kama si mwalimu, basi ni mwana ukoo ama hawara wa mwalimu kamili corrupsed ambaye ni mnufaika wa mojakwa1 wa hayo madudu.
Je kuna mtu kakataa kuchangia gharama za mwanawe kama serikali ikitoa muongozo, kama zamani watu walivyochangia?
Hiyo kauli uliyoitoa wewe ya michango holela, ndiyo iliyopigwa marufuku na serikali.
Na aina hii ya mawazo ama kauli, imefanya maagizo mazuri ya serikali kufubazwa kwa nguvu kubwa hasa na watu wanaolenga kujaza matumbo yao.
Yote uliyoyasema ninayajua, ndiyo maana kuna shule za kila sampuli kama yalivyol mavazi.Swala la elimu ndugu sio lazma uwe mnufaika m
Maswala ya kuambiwa elimu bure sio kila kitu kitapatikana kama mnavyoaminishwa na sera za majukwaani kuna mambo mengne inahitaji kuunga mkono pale inapobidi na mikakati mingi inalenga watoto wapate elimu bora na ndio maana shule nyingi wazazi wanaachiwa swala walijadili wao.. kama wew ni mzaz hutaona inafaa hulazimishwa. Ukae kwa kutulia wazir mwenye dhamana sio kwamba halijui hili ni kwamba wazazi wakiridhia bac mambo yanakwenda na nikatika namna pia ya kuunga mkono juhudi[emoji38]
Au hujui serikali inapambana na miladi mingi ambayo inahiyaji support ya kubwa ya wadau?
Swala ni kwamba kama pesa inakwenda kutumika katka namna ilivyopangwa bac hatuoni tatzo hapo.
By the way hapa sio jukwaa la kuja kulialia kuna mamlaka husika za kupeleka hizo kelele zako ambazo mwisho wa siku hazitasikilizwa.[emoji28][emoji28][emoji28]
Katika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi.
Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=
Huu mchele ni kama tani 20
Na pesa 4ml.
Je, nimaelekezo ya Serikali?
Kuna mchezo siku hizi unatumiwa na walimu na baadhi ya kamati za shule, wanaita baadhi ya wazazi halafu wanadai wazazi walikubaliana,
Naomba Waziri uje na tamko maana sisi elimu bure siku hizi siyo elimu bure kwa kutumia mbinu hizi.
Tunaomba tamko maana naona walimu wanataka kupiga mchele na pesa kwa kigezo cha kuongeza muda wa masomo shuleni.