- Thread starter
- #41
Sasa kama wanasoma vitu walivyo soma chuoni na bado wanafeli ina maana hata huko chuoni walikua wanakariri tu!!
Kwani mitihani yote hutolewa kwa nia njema? Kwani wewe umeishia grade gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama wanasoma vitu walivyo soma chuoni na bado wanafeli ina maana hata huko chuoni walikua wanakariri tu!!
Vijana uwakili siyo rahisi hivyo, unatoka chuo mwaka huu mwaka kesho kutwa uwe wakili, ndiyo maana mawakili wanadharaulika sasa kuliko zamani ilikuwa taaluma yenye heshima kubwa mno.Waziri Ndumbaro aliunda tume ya Mwakyembe mwaka jana kutafuta suluhu ya matokeo mabovu Law School.
Ikumbukwe (kipindi hicho) wadau mbali mbali walilivalia njuga vilivyo suala la matokeo mabovu shuleni hapo.
Majaji waliunda tume yao ambayo waziri Ndumbaro aliwahakikishia suluhu, na kuwa hawakuwa na haja ya kuendelea jitihada zao.
Tume ya Mwakyembe ilikusanya maoni na kuja na yake. Post #2 na #3 ni moja ya maoni yaliyowasilishwa kwa Mwakyembe kama yalivyo.
Kwamba matokeo ya leo ni mabovu kuliko ya yaliyopelekea tume ya Mwakyembe kuundwa:
1. Tume hiyo kumbe ilikuwa ya kazi gani?
2. Pesa za mlipa kodi zilizotumika kwenye tume hiyo kumbe zilitupwa bure?
3. Kwa nini waziri angali ofisini?
Bila aibu waziri alikuwa bungeni kuwasilisha ya kwake kana kwamba hakujatokea kitu. Huku ni kuwakejeli wananchi.
Shit hole countries hazina utamaduni wa kuwajibika. Bila kuwachukulia hatua hawawezi kufahamu wapo kuwajibika na si kumcheza mtu shere.
Waziri huyu awajibishwe kwa kushindwa majukumu yake.
Ieleweke hakuna shule wanayokwenda kusomea kufeli.
UKIHIYO WA WANAFUNZI WAZIRI AJIUZULU? KWELI WAJINGA WAPO WENGI NDIO MAANA MNATETEA WANAFUNZIWaziri Ndumbaro aliunda tume ya Mwakyembe mwaka jana kutafuta suluhu ya matokeo mabovu Law School.
Ikumbukwe (kipindi hicho) wadau mbali mbali walilivalia njuga vilivyo suala la matokeo mabovu shuleni hapo.
Majaji waliunda tume yao ambayo waziri Ndumbaro aliwahakikishia suluhu, na kuwa hawakuwa na haja ya kuendelea jitihada zao.
Tume ya Mwakyembe ilikusanya maoni na kuja na yake. Post #2 na #3 ni moja ya maoni yaliyowasilishwa kwa Mwakyembe kama yalivyo.
Kwamba matokeo ya leo ni mabovu kuliko ya yaliyopelekea tume ya Mwakyembe kuundwa:
1. Tume hiyo kumbe ilikuwa ya kazi gani?
2. Pesa za mlipa kodi zilizotumika kwenye tume hiyo kumbe zilitupwa bure?
3. Kwa nini waziri angali ofisini?
Bila aibu waziri alikuwa bungeni kuwasilisha ya kwake kana kwamba hakujatokea kitu. Huku ni kuwakejeli wananchi.
Shit hole countries hazina utamaduni wa kuwajibika. Bila kuwachukulia hatua hawawezi kufahamu wapo kuwajibika na si kumcheza mtu shere.
Waziri huyu awajibishwe kwa kushindwa majukumu yake.
Ieleweke hakuna shule wanayokwenda kusomea kufeli.
Vijana uwakili siyo rahisi hivyo, unatoka chuo mwaka huu mwaka kesho kutwa uwe wakili, ndiyo maana mawakili wanadharaulika sasa kuliko zamani ilikuwa taaluma yenye heshima kubwa mno.
Acha uongo wote tumepita LAW SCHOOL Matatizo ya LAW SCHOOL kubwa ni WanafunziKwa hisani ya mdau aikambe:
Anaandika mdau:
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania.
Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo.
1. Law School kiuhalisia, siyo sehemu ya mafunzo kwa vitendo kama mnavyosikia redioni.
2. Somo la field lipo, ila marks zake hazihusiki kwenye kubaini ufaulu. Yaani alama za somo la field hazina maana kwenye GPA calculation maana hazitambuliki.
3. Wanafunzi wa Law School hufundishwa kwa nadharia darasani, na kuingia semina kama ilivyo vyuo vikuu.
4. Mwalimu mmoja hutoa mhadhara kwa wanafunzi wote 600+ na akimaliza anaingia mwingine hadi siku inaisha.
5. Mada zinazofundishwa Law School ni zilezile mwanafunzi alifundishwa vyuoni ngazi ya degree na hakuna tofauti.
6. Muda wa mitihani haupo fair. Kwenye mtihani mmoja, kunakuwa na maswali ya kuandaa hati za mashtaka na madai nyingi mno kiasi kwamba muda wa kuandaa hati hizo hautoshi. Kwa wasijua, hati za kisheria uandaaji wake unahitaji kurejea vifungu vya sheria mbalimbali ambazo unakuwa unazo mezani(Acts).
7. Wahadhiri wa Law School huamini kwamba wanafunzi wao watafeli na mtu akifaulu wanashangaa sana. Yaani wapo kama miungu watu. Pale Law School hata secretary anamdharau mwanafunzi na anataka umuinamie kumsujudu.
8. Mahakimu, na waajiriwa wengine wenye uzoefu kwenye sheria wakienda kujiendeleza Law School nao hufeli pia.
9. Kuna wakati mahakimu walishauriwa wasijiendeleze Law School maana ni fedhea hakimu mzoefu unafeli Law School. Badala yake waliaambiwa watapewa utambulisho maalum kwamba wamefuzu vigezo vya sheria kwa vitendo.
10. Suplementary yaani mitihani ya kurudia haina kikomo Law School. Unaweza hata ukakaa na sup. hata miaka 40.
11. Law School ukikata rufaa ya matokeo haipatiwi majibu na unaweza ukaanza apya kusoma na kumaliza bila kupata majibu ya rufaa.
12. Law School unasoma masomo yote uliyofundishwa kwenye shahada ya sheria kwa miaka minne, lakini ukifika Law School unafundishwa kwa miezi 6 na unapewa mitihani. Halafu miezi mingine 6 unaenda field.
UKIHIYO WA WANAFUNZI WAZIRI AJIUZULU? KWELI WAJINGA WAPO WENGI NDIO MAANA MNATETEA WANAFUNZI
NAIPONGEZA LAW SCHOOL KWA KUSIMAMIA TAALUMA
Acha uongo wote tumepita LAW SCHOOL Matatizo ya LAW SCHOOL kubwa ni Wanafunzi
Lugha ni kikwazo kikubwa
Wanafunzi wanadhani ifaulu wa LAW SCHOOL unaamuliwa na Mwalimu mmoja kama Vyuoni
LAW SCHOOL hakuna RUSHWA ya Fedha wala ya NGONO
LAW SCHOOL wanasimamia TAALUMA.
Colonial mindset.Vijana uwakili siyo rahisi hivyo, unatoka chuo mwaka huu mwaka kesho kutwa uwe wakili, ndiyo maana mawakili wanadharaulika sasa kuliko zamani ilikuwa taaluma yenye heshima kubwa mno.
Kusoma msisome nyie kisha Yy abebe mzigo wenu? Hapana
Acha uongo wote tumepita LAW SCHOOL Matatizo ya LAW SCHOOL kubwa ni Wanafunzi
Lugha ni kikwazo kikubwa
Wanafunzi wanadhani ifaulu wa LAW SCHOOL unaamuliwa na Mwalimu mmoja kama Vyuoni
LAW SCHOOL hakuna RUSHWA ya Fedha wala ya NGONO
LAW SCHOOL wanasimamia TAALUMA.
Mkuu, mtu akifeli ananufaikaje sasa?😁😁Mtoa mada utakuwa ni mmoja au mnufaika wa waliofeli! Sasa waziri anahusika vipi na watu wazima kufeli kwasababu ya kutosoma?
Mtoa mada utakuwa ni mmoja au mnufaika wa waliofeli! Sasa waziri anahusika vipi na watu wazima kufeli kwasababu ya kutosoma?
Cha ajabu ni kuona wanashindwa kukariri wanayofundishwa Law SchoolSasa kama wanasoma vitu walivyo soma chuoni na bado wanafeli ina maana hata huko chuoni walikua wanakariri tu!!
Kufaulu ni jambo la kawaida na linalotegemewa (expected). Watu wanasoma ili kuondoa ujinga na pia kufaulu mitihani, hatuwezi kushangaa kwa nini watu wanafaulu wakati tunajua ndio lengo mojawapo la kusoma, tunashangaa na kuhoji pale watu wanapofeli.Sasa hao wanao faulu wao wanasoma vipi?
Ingekua hakuna hata mmoja anayefaulu hapo sawa! Otherwise someni msitafute huruma.
Cha ajabu ni kuona wanashindwa kukariri wanayofundishwa Law School
Wajinga wana nguvu na wapo imara kuimarisha ujinga wao
Mijamaa mijinga kuna wito wenu hukuWajinga wana nguvu na wapo imara kuimarisha ujinga wao