Waziri Ndumbaro kama kweli wewe ni Mzalendo, kataza Nguo za Rais Samia uwanjani, amuru mabango ya kumtukuza Rais Samia na CCM yasikanyage uwanjani

Waziri Ndumbaro kama kweli wewe ni Mzalendo, kataza Nguo za Rais Samia uwanjani, amuru mabango ya kumtukuza Rais Samia na CCM yasikanyage uwanjani

Hilo tamko lake limekaa kitoto sana kwa kweli muda mwingine wakae chini washirikishe akili zao ipasavyo kabla kutoa matamko ya kitoto namna ile, sasa mtu akivaa jezi yake ya masandawana Ubuntu-botho anakua amevunja sheria gani za nchi 🤔🤔

anazungumzia uzalendo hebu atuambie ni kiongozi gani wa serikali ni mzalendo 🤔 kama serikalini kungekua na uzalendo kungekua na wizi na ufisadi unatajwa na CAG Kila mwaka 🤔🤔 hebu atutolee akili za kitoto na ndio maana alifungiwa kujihusisha na mpira kwa sababu inaonekana anafanya mambo bila kuelewa anafanya nini
 
Nadhani alikuwa ANATANIA or AMELEWA..maana haingii akilini hata kidogo,Mtu mzima,mwenye akili timamu,Waziri mwandamizi,Mwanasheria tena daktari kutoa KAULI kama ile..
 
Wakataze na kulipia magoli hizo ni kampeni kuwachota akili mashabiki wa timu husika kwa ajili ya kura.
 
Mpira wetu unataka kuvamiwa na siasa za ajabu ajabu.

Mwingine naye kaibuka jana kutaka kutugombanisha na FIFA; Dunia gani ulishaona shabiki akizuiwa kuingian uwanjani sababu ya jezi aliyovaa?
 
imeshaamuliwa vibaraka wote mje na passport 🐒

kuvaa gwanda la chanema, udp au chauma rukhsa 🐒

kuvaa jezi ya Kagera Suger, mtibwa au JKT Tanzania, Rukhsa 🐒

Tatizo ni vibaraka tu hao ndio watakaoshughulikiwa, usipotoshe.
Uzalendrooo ni pamoja na kupenda na kuheshimu viongozi hususani wa kitaifa 🐒
Akili mbofu mbofu vipi ukatakiwa kula nyaa kwa maana ya uzlendo😉
 
Nchi hii inavituko mtu anasema tarehe hiyo wanajeshi watafanya usafi.......... kituko kingine tutakusanya chupi za jeshi.......kituko kingine msivae jezi uwanjani............... Ccm wameshindwa kuongoza nchi
 
imeshaamuliwa vibaraka wote mje na passport 🐒

kuvaa gwanda la chanema, udp au chauma rukhsa 🐒

kuvaa jezi ya Kagera Suger, mtibwa au JKT Tanzania, Rukhsa 🐒

Tatizo ni vibaraka tu hao ndio watakaoshughulikiwa, usipotoshe.
Uzalendrooo ni pamoja na kupenda na kuheshimu viongozi hususani wa kitaifa 🐒
We ni ..... Kiwango Cha muram
 
Ndumbaro hajakataza wala kulazimisha shabiki wa team za Tanzania kuja kushangilia timu ya Simba au Yanga akiwa na jezi za nyumbani.
Serikali imekataza vitendo vya watanzania kuvaa jezi za timu pinzani toka nje zinazokuja kupambana na Yanga au Simba.
Kwa maana Mamelodi sundowns na Al-ahly hivyo wana Chadema acheni upotoshaji.
Mambo yenu ya kukaa kijiweni 5years msituletee kwenye masuala nyeti ya michezo.
 
Back
Top Bottom