CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Musiba wa awamu hii ya Samia
[emoji23][emoji23][emoji23]
Viongozi wanatudharau sana WaTz. Wanatuona wajinga sana.#MSIKILIZE WAZIRI WETU DK NDUMBARO
Uwe unatumia na akili kudanganyaMitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
View attachment 1950434
Jamaa kadondosha radi bila kusikika ngurumo mitaani. Imebidi nicheke.Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
View attachment 1950434
Documentary ya Royal Tour bado haijazinduliwa so bado haijaanza kuonekana huko ulimwenguni ni vipi unahusanisha huu uwekezaji (kama kweli) na hiyo documentary! Lakini kama ni kweli kuna huu uwekezaji basi ni habari njema sana! hasa kwa sekta ya utalii
Mkuu umeniwahi na hata mimi nashangaa, hivi hiyo filamu imetayarishwa muda gani na imerushwa hewani lini hadi ikaleta matokeo chanya, hata filamu za za akina Uwoya (takataka) zinachukua muda sembuse hizi za makala, ama semeni tu kuwa hizi filamu ni kama kutakatisha tu uhalali wa kujengwa hizo hoteli, na je mipango ya kujengwa hoteliza kitaliii imekuwa sawa na kujenga hivi vi lounge vyetu? ambavyo mtuunaweza kuamuka tuna kusema najenga ka lounge kangu mahala fulani, naona huu ni mpango wa kutakatisha yaliyopitishwa tayari kwa kutumia mgongo wa Royal Tour kama hizi habari ni za kweliDocumentary ya Royal Tour bado haijazinduliwa so bado haijaanza kuonekana huko ulimwenguni ni vipi unahusanisha huu uwekezaji (kama kweli) na hiyo documentary! Lakini kama ni kweli kuna huu uwekezaji basi ni habari njema sana! hasa kwa sekta ya utalii
Ukiondoa pazia la ushabiki utaelwa nini nasema, documentary hii imemalizika kufanyiwa shooting hata wiki tatu hazijaisha, sasa hivi ipo kwenye hatua ya uhariri...na kumbuka kuwa alikuwa akifanya documentary na kampuni kubwa ya kimataifa ambayo ndio hurusha hicho kipindi cha royal tour.. kama bado hawajazindua basi haijaanza kuruka hewani so bado haijaaza kuonekana hewani....Ni jambo zuri kuwa na uwekezaji huu lakini nakataa haujatokana na hii documentary ya Royal tour, Tuendelee kunywa mchuzi wa riyal tour nyama tutazikuta chini....kuhusu umri wangu ni kuwa kama nisingekuwa nimekorofishana na MAMA yako leo hii Ungekuwa unaniita BABA na ungekuwa unatumia Ubin wangu!Umewahi kuona wapi uzinduzi ukazuia matumizi ya kitu?
Wewe unaumri wa miaka mingapi?
Matumizi ya Royal Tour Film ya Rais Samia hayazuiliwi na uzinduzi,
Uzinduzi unaweza ukafanyika katikati ya matumizi, It's OK also
Mkuu tatizo mleta uzi ameuleta kishabiki mno bila hata kufanya tafakuri jadidi....anamuamini sana waziri ambaye ki ukweli amesema hayo kulinda tu tumbo lake na ugali wa familia yake....Mkuu umeniwahi na hata mimi nashangaa, hivi hiyo filamu imetayarishwa muda gani na imerushwa hewani lini hadi ikaleta matokeo chanya, hata filamu za za akina Uwoya (takataka) zinachukua muda sembuse hizi za makala, ama semeni tu kuwa hizi filamu ni kama kutakatisha tu uhalali wa kujengwa hizo hoteli, na je mipango ya kujengwa hoteliza kitaliii imekuwa sawa na kujenga hivi vi lounge vyetu? ambavyo mtuunaweza kuamuka tuna kusema najenga ka lounge kangu mahala fulani, naona huu ni mpango wa kutakatisha yaliyopitishwa tayari kwa kutumia mgongo wa Royal Tour kama hizi habari ni za kweli
Mkuu tatizo mleta uzi ameuleta kishabiki mno bila hata kufanya tafakuri jadidi....anamuamini sana waziri ambaye ki ukweli amesema hayo kulinda tu tumbo lake na ugali wa familia yake....
kwa kwel mm binafsi vitu vya kujegwa na wageni ndan ya haridhi yetu Tanzania naona uchungu sana. ndo maana hayati alikuwa ananifurahisha hapo jako kasoro zilikuwepo.
sasa alie sema zinajengwa ndani ya hifadhi ni nan?Umewahi kufika Mugumu Serengeti?
Hotel ziko nyingi tu pembeni ya hifadhi,
Hawajengi ndani ya hifadhi elewa,
Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu,
Nchi hii wakubwa wanatuona wajinga wao ndio wanajiona pekee wenye akili. Hii ni aibu sana si kwa uongo huu.Mkuu tatizo mleta uzi ameuleta kishabiki mno bila hata kufanya tafakuri jadidi....anamuamini sana waziri ambaye ki ukweli amesema hayo kulinda tu tumbo lake na ugali wa familia yake....
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
View attachment 1950434
NAONA MOD WAMEAMUA KUKATISHA HUU UZI WA KUMBRAND RAIS SAMIA,Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,
________________________________
Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,
Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,
#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??
.........Kazi iendelee.........
View attachment 1950434