Ama kweli Tanzania yangu, ni bora kama matunda ya elimu ndo haya shule zifungwe tu watu wakavue samaki ...nchi ya wasanii hii na kumbe ndo maana wanaicha Ikulu wanakimbilia ajira za kaole
naona tatiz lipo kweny uwasilishaji tu wawatu ila ukiangalia hp sio kama watu/ wawekezaji hawaijue tanzania na vivutio tatz bado tulikuwa tunapata watali wachache kwahy wawekezaji wanajua wakiwekeza itakua hasara kwao, kwahy kwa ss wamesha jua tumeamua kuongeza nguvu kweny utali kimoja ni hy royal tour kwahy wanaamini watali wataongezeka endapo watanaona hy matangazo ya mama
wamecheza na fursa wakiamini ikitoka hy film na sio imetoka ikawavuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.