naona tatiz lipo kweny uwasilishaji tu wawatu ila ukiangalia hp sio kama watu/ wawekezaji hawaijue tanzania na vivutio tatz bado tulikuwa tunapata watali wachache kwahy wawekezaji wanajua wakiwekeza itakua hasara kwao, kwahy kwa ss wamesha jua tumeamua kuongeza nguvu kweny utali kimoja ni hy royal tour kwahy wanaamini watali wataongezeka endapo watanaona hy matangazo ya mama
wamecheza na fursa wakiamini ikitoka hy film na sio imetoka ikawavuta.