Bikis
Member
- Feb 23, 2019
- 52
- 74
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.
Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.
Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!
Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!
Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!
Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!
Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.
Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!
Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!
Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!
Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!
Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!