Waziri Ndumbaro: Wamasai waishio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa Ngorongoro

Waziri Ndumbaro: Wamasai waishio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa Ngorongoro

Hii ni kweli kwa upande mmoja na sii kweli kwa upande mwingine.

Ni kweli kwa sababu wakati NCAA inaanzishwa Ila 1959, Wamasai waliondolewa Serengeti wakapelekwa Ngorongoro.

Sii kweli kwasababu ndani ya Ngorongoro kuna baadhi ya Wamasai ni wa asili pale.

Na ukweli wa mwisho, Tanzania ni eneo la asili la Bantustans, Masai sio Bantu, ni Semi Nilotic, asili Yao ni North Africa, Walihamia East Africa during early migration.
P
Mkuu Pascal wewe ni mmoja wa wachangiaji ninaowaheshimu sana hapa JF.
Soma Bantu Expansion utakuta kwamba bantus asili yao ni South Cameroon. Na walitoka huko .
Tembelea Bujora kuna maandishi kwamba wasukuma walipitia Ethiopia kwenye hiyo migration.
 
Makabila ya asili kabisa Tanzania ni chache kwa mujibu wa historia, kauli kama za Ndumbaro na zingine zenye mrengo wa ukabila za kukemewa kwa nguvu zote, siyo njema kabisa kwa ustawi wa Taifa Letu pendwa.
 
Hii ni kweli kwa upande mmoja na sii kweli kwa upande mwingine.

Ni kweli kwa sababu wakati NCAA inaanzishwa Ila 1959, Wamasai waliondolewa Serengeti wakapelekwa Ngorongoro.

Sii kweli kwasababu ndani ya Ngorongoro kuna baadhi ya Wamasai ni wa asili pale.

Na ukweli wa mwisho, Tanzania ni eneo la asili la Bantustans, Masai sio Bantu, ni Semi Nilotic, asili Yao ni North Africa, Walihamia East Africa during early migration.
P
Makabila yote ya TANZANIA hayana asili ya Moja kwa moja na nchi hii.
Ukisoma Historia unakuta wote walihamia kutoka kusini au kaskazini mwa nchi za kiafrika.
Kuna wajaluo wapo Sirari-Rorya nao sio wabantu je sio wenyeji wa eneo la Sirari.
Hapa tunazungumzia baada ya mkutano wa Berlin Conference kugawa mipaka na watu wake.
Wamasai kutokea Serengeti kwenda NGORONGORO haimaanishi sio wenyeji wa NGORONGORO au ndani ya nchi hii.
Ikumbukwe kuwa wakati wale wamasai elfu 8 wanahamishwa kule Serengeti kwenda NGORONGORO kuna baadhi waliokutwa wakiishi NGORONGORO.

Wamasai ni watanzania, kabila lao linawatambulisha hivo wao pia ni wabaguzi sababu wa ukabila sababu hawaruhusu mswahili kuoa bint wa kimasai . .ukiona mswahili kaoa mmasai ujue ni mmasai wa kiarusha sio yule ambaye anaishi NGORONGORO ndani.

Hata naunga mkono kuhamishwa
 
Makabila yote ya TANZANIA hayana asili ya Moja kwa moja na nchi hii.
Ukisoma Historia unakuta wote walihamia kutoka kusini au kaskazini mwa nchi za kiafrika.
Kuna wajaluo wapo Sirari-Rorya nao sio wabantu je sio wenyeji wa eneo la Sirari.
Hapa tunazungumzia baada ya mkutano wa Berlin Conference kugawa mipaka na watu wake.
Thanks for this.
Wamasai kutokea Serengeti kwenda NGORONGORO haimaanishi sio wenyeji wa NGORONGORO au ndani ya nchi hii.
Ikumbukwe kuwa wakati wale wamasai elfu 8 wanahamishwa kule Serengeti kwenda NGORONGORO kuna baadhi waliokutwa wakiishi NGORONGORO.
Hili pia nimelisema, the essence ya kauli ni kuwaandaa kisaikolojia Wamasai kuhamishwa Ngorongoro, kwa hoja kuwa, wale Wamasai 8,000 waliohanishwa kutoka Serengeti na kuhamishwa Ngorongoro, hapo Ngorongoro sio kwao, hivyo ikitokea need ya wao kuhamishwa, na need hiyo ikiwa justified, then, watahamishwa!. Kama mwanzo walikuwa Serengeti, ikatokea need wakahamishiwa Ngorongoro, na wakahamishika, na sasa imetokea tena need, then, watahamishwa pengine popote na watahamishika!.
Wamasai ni watanzania, kabila lao linawatambulisha hivo wao pia ni wabaguzi sababu wa ukabila sababu hawaruhusu mswahili kuoa bint wa kimasai . .ukiona mswahili kaoa mmasai ujue ni mmasai wa kiarusha sio yule ambaye anaishi NGORONGORO ndani.
Kumbe ni Wabaguzi, sikuwahi kulijua hili, then Sawa ya kuukomesha ubaguzi huu ni kuwahamishia maeneo ya Usukumani kwenye wale Wasukuma wa asili, huwa hawa approach, wanatwaa tuu, kesho yake wanapeleka ng'ombe kufidia, hivyo watawaoa mabinti zao, watake, wasitake, na huo ubaguzi wao utakoma. Kitu ambacho I'm not sure ni kama Wasukuma wataweza kuenjoy kufuatia mabinti wa Kimasai kufanyiwa Ile kitu!.
Hata naunga mkono kuhamishwa
Pamoja Sana!.
p
 
Wangoni, wamasai, wachaga, waha, wahaya, wanyakyusa, wawanji, wamakonde na wamakua, wajaluo, wahangaza, na kadhalika hao ni watu wakuja Tanzania sio asili yao waangalie hata mfumo wa maisha yao
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
Yeye Ndumbaro kwao Africa Kusini na wala siyo Songea. Arudi kwao
 
Kila mwanadamu huzaliwa na kusudi.
Mungu uweka kusudi ndani ya mtu ili aweze kulitimiza katika siku zake za uhai.

Mungu pia humpa kila mtu utashi wa uchaguzi wa kutimiza kusudi alilopewa au kutokulitekeleza.

Magufuli alililiwa sana kwa sababu matendo yake yaligusa maisha ya watanzania wengi.

Alituonesha njia sahihi nasi tunaifata daima.
crap
 
Kuna Mkataba unaodaiwa kusainiwa na waitwao Wazee wa Kimila na Mkoloni Mwingereza mwaka 1958 mbao umesemwa sana hapa JF uliowahamisha Wafugaji wa Kimasai kutoka Serengeti kuhamia Ngorongoro.

Kama huo Mkataba upo, basi ni dhahiri Wafugaji wa Kimasai siyo wenyeji wa Ngorongoro.

Ni Wahamiaji.
Basi warudishwe Serengeti kama Ngorongoro siyo kwao. Jamii hii ya wafugaji ndiyo ambao wametusaidia hadi leo tina hizo hifadhi za wanyama sasa kama zawadi yao ni mateso basi semeni. All we enjoy mpaka sasa ni kwasababu yao, get your facts right!
 
Basi warudishwe Serengeti kama Ngorongoro siyo kwao. Jamii hii ya wafugaji ndiyo ambao wametusaidia hadi leo tina hizo hifadhi za wanyama sasa kama zawadi yao ni mateso basi semeni. All we enjoy mpaka sasa ni kwasababu yao, get your facts right!
Hii ndiyo CCM halisi haina upendo na wananchi
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
Wakamatwe tu hawa watu
 
Thanks for this.

Hili pia nimelisema, the essence ya kauli ni kuwaandaa kisaikolojia Wamasai kuhamishwa Ngorongoro, kwa hoja kuwa, wale Wamasai 8,000 waliohanishwa kutoka Serengeti na kuhamishwa Ngorongoro, hapo Ngorongoro sio kwao, hivyo ikitokea need ya wao kuhamishwa, na need hiyo ikiwa justified, then, watahamishwa!. Kama mwanzo walikuwa Serengeti, ikatokea need wakahamishiwa Ngorongoro, na wakahamishika, na sasa imetokea tena need, then, watahamishwa pengine popote na watahamishika!.

Kumbe ni Wabaguzi, sikuwahi kulijua hili, then Sawa ya kuukomesha ubaguzi huu ni kuwahamishia maeneo ya Usukumani kwenye wale Wasukuma wa asili, huwa hawa approach, wanatwaa tuu, kesho yake wanapeleka ng'ombe kufidia, hivyo watawaoa mabinti zao, watake, wasitake, na huo ubaguzi wao utakoma. Kitu ambacho I'm not sure ni kama Wasukuma wataweza kuenjoy kufuatia mabinti wa Kimasai kufanyiwa Ile kitu!.

Pamoja Sana!.
p
Kitu ambacho hawataki wao kuona ni kwamba.
1.Wakihamishiwa maeneo mengine utamaduni wao utapotea.
2.Wanataka maeneo ya malisho ya mifugo (no restriction araea) wawe guru kulisha mifugo kokote popote sio wagombane na wakulima na hawataki maeneo yenye ukame.
Sasa kulingana na mabadiliko ya tabia ya nchi NGORONGORO imeharibika.

Kuhusu zile KAYA zenye idadi ya watu elfu 8 kutoka Serengeti hakuna rekodi kamili kwamba kwa sasa wamezaliana kiasi gani ,ila serikali inataka iwapeleke sehemu ambazo wao watachangamana na jamii nyingine za kitanzania,Mfano Meatu,Maswa,Karatu, Kilimanjaro, Handeni wataishi na watakua na maisha mazuri.
Kwa machache ndugu Pasko.
Idadi ya mifugo imeongezeka NGORONGORO leo mifugo ni 883,216
Uwezo wa kukaa mifugo ni 156,000.

Idadi ya watu 123,021
Uwezo wa kukaa watu ni 28,000.

Kwa wastan KAYA moja NGORONGORO inatakiwa iwe na ng'ombe wa maziwa 5 na Maksai 3 jumla 8 na kondoo 50 tu bila kuwa mbuzi.

Vichaka vilikua kwa ajili ya wanyama kama swala kukaa kivulini vilikuwa 300,000
Sa hizi vimebaki 48,000 ,means watu wamekata miti sana.
Ongezeko la makazi ya watu na malisho litaongezeka kwa 13% ifikapo 2030 kwa sababu idadi pia ya watu itaongezeka sana na yale maeneo ya malisho yamepungua.
Serikali pia iache ujenzi holela wa mahoteli kwa kigezo cha kupata mapato.
Makazi ya huduma za kijamii kama shule,zahanati na ofisi za umma zingekua kwa zones.
 
Inashangaza sana kuona ama kusikia Kiongozi mkubwa vile serikalini anatoa lugha ya kibaguzi namna hiyo. Kiongozi wa wizara nyeti kama ile anajitokeza hadharani na kusema hawa wana asili ya nchi fulani.

Kidogo imenistua maana sasa suala la Ngorongoro ni kama kutunishiana misuli sasa. Wananchi wale wanaonekana kama siyo watu sasa, hivyo imefika hatua watu wakubwa wakiwemo viongozi kama Ndumbaro kudiriki kutumia ushawishi wa hali na mali kuwaondoa.

Kusema kweli Wamasai popote wawapo hapa Tanzania wamekuwa wakionewa sana. Shughuli zao za kifugaji zimekuwa ni kama kero kwa serikali na hata ikitokea mgongano wa maslahi na watu wengine wanaowazunguka kama wakulima huwa mara nyingi inakula kwa upande wa Wamasai tu. Sijui kuna kitu gani lakini wanaonewa sana.

Juzi tu maeneo ya Kia nyumba na maboma ya Kimasai yamepigwa alama ya X kupisha utanuzi wa ule uwanja wa KIA. Serikali bila kujali wamekuwepo kwa miaka mingapi, imewapa muda wa kuondoka la sivyo nguvu itatumika kuwaondoa.

Mimi nashauri jamii hii kushikamana. Hii siyo vita ya Wamasai wa Ngorongoro peke yao, ni ya jamii nzima.

Natamani siku moja kusikia na kuona jamii hii ikishikamana na kupigania haki zao ambazo zinadidimizwa kila leo. Kwanini wasikichafue pale Ngorongoro kwa kushika ama kuteka magari mawili au hata matatu ya watalii ili dunia ijue kwamba hizi hela za Watalii ndo zinafanya haki za wale wamasai kupotezewa na kuonekana watu kuja tu wakati ni watu halali kwenye ardhi yao? Kama vipi wote wakose. No Wamasai in Ngorongoro, No Tourism, No NCAA.

Sitoshangaa Rais kukalia hii kauli ya Ndumbaro kimya. Ukimya wa kupigania haki husababisha kizazi kijacho kulaumu uzembe wa kizazi kinachopita. Hii itakuwa laana kubwa sana.

Amkeni!!
Naafiki na wewe mkuu.
CCM ikiendelea na msimamo huu, wakuondoa wamasai na nguvu, basi isitoke hata kura moja ya kwao kwa hawa wadudumizi wa Jamii ya Muafrika/mmasai. Ni aibu katila karne kuendelea na ukoloni mamboleo.
Aluta Continua.
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
Ngorongoro ni yetu Wakurya ilimegwa toka kwetu Serengeti
 
Nilimsikia kwenye mahojiano kwa kweli sikutegemea kiongozi kujibu kijinga kiasi hicho...anasema ardhi ni mali ya rais!!!Wakati rais ni custodian na amepewa nguvu ya kuitunza na kusimamia in good cause..ardhi ni mali ya nchi na nchi ni watu...ndiyo maana kuna compensation.
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!

974CA85A-4C57-4CC7-AC6E-7143AF1D88CC.jpeg
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
Sikusikia mahojiano hayo, ila kama ni ya kweli, basi huyu mtu hafai kabisa kuwa kiongozi wa watanzania, anatakiwa afutwe kazi mara moja. Yaani yeye anatuona kwa ngozi ya makabila yetu badala ya kutona sote ni watanzania. Yeye Ndumbalo naye huenda suyo mtanzania kwani Wangoni nao asili yao siyo Songea bali ni kutoka wa kutoka Afrika ya Kusini
 
Back
Top Bottom