Na ukweli wa mwisho, Tanzania ni eneo la asili la Bantustans, watu wa asili kabisa wa Tanzania ni Wagogo, Wasukuma na makabila machache ya asili ya Kibantu, Masai sio Bantu, ni Semi Nilotic, asili yao ni North Africa wame descend from Nubi, Walihamia East Africa kutokea Northern Sudan during early migration baada ya kutimuliwa na Wakushi.
Hata Waziri mwenyewe ni Mngoni, nao asili yao sio Tanzania, ni jamii ya Wazulu waliokimbia Mfecane wars , wakiongozwa na Zongendamba ndio wakaingia Tanzania na ku settle Songea. Makabila mengi ya mipakani wakiwemo Wachagga, ni wahamiaji tu.
P