Waziri Ndumbaro: Wamasai waishio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa Ngorongoro

Waziri Ndumbaro: Wamasai waishio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa Ngorongoro

Hali ya kumuabudu Magufuli kwa hawa wafuasi wake kama Nebuchadinezzer lazima tuukomeshe. Magufuli alivunja umoja wa kitaifa kwa vitendo vyake viovu. Alisema kabisa "siwezi kupeleka miradi ya maendeleo kwenye maeneo ambayo wananchi wamechagua upinzani"
Wewe ni wakutumwa tu, huna msimamo wowote, unalazimisha tu na hako kakipande oh alisema alisema, nenda gugu utafsiri na hili. umejaa dhuluma. umetumwa tunawajueni. Peleka taarifa kwa waliokutuma kuwa Tanzani sio ya mazuzuzu.
 
Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.

Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo Ngorongoro.

Pia wananchi walitaka kujua kama hiyo ni kauli chama na serikali au ni kauli ya ndumbaro kama ndumbaro!!

Ni sahihi waasisi wetu, NYERERE, SOKOINE et.all walituachia taifa la Tanzania likiwa na makabila 120 na lugha yetu pendwa ya kiswahili ili kuweza kuwaleta watanzania wote bila kujali itikadi yao, dini yao, wala makabila yao na wote tunajitambulisha ni watanzania na siyo waamasi au Wachagga

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa jamii ya kimasai kwamba wanaonewa serikali ya CCM kwasababu wao wanachukuliwa kama Wamasai na siyo watanzania!!

Baadhi ya wananchi wamemwomba mkuu wa nchi kumchukulia hatua mhusika huyo kwa kuvunja umoja wa watanzania uliopiganiwa na waasi wa taifa hili!!

Malalamiko hayo na mgogoro mkubwa huo unatokana na hatua ya wizara kuendelea na mchakato wa kuwaondoa wenyeji hao ili kupisha shughuli za uhifadhi na utalii!

Na wenyeji wameapa kwa aina ya uongozi wa wizara ya maliasili na utalii na baadhi wataalam kamwe mgogoro wa wananchi na uhifadhi hautaishia!!
kwani shida ni nini?kwani wewe hukusoma historia?makabila mengi ya tanzania asili yake si tanzania.kwani wangoni asili yao ni tanzania?kipi kibaya alichosema waziri?au mnamwonea wivu sababu kawa waziri?na mama hatamwajibisha hata mkipiga kampeni humu ndani kwa kosa lipi.wamasai ni lazima watoke ngorongoro la sivyo basi na makabila mengine yaliyopo jirani na hifadhi nayo yakaishi hifadhini.
 
Wewe ni wakutumwa tu, huna msimamo wowote, unalazimisha tu na hako kakipande oh alisema alisema, nenda gugu utafsiri na hili. umejaa dhuluma. umetumwa tunawajueni. Peleka taarifa kwa waliokutuma kuwa Tanzani sio ya mazuzuzu.
Uzuri wa JF hata mazwazwa kama SYLLOGIST! wanaruhusiwa kuandika mawazo yao. Huwezi kumtnganisha Magufuli na watawala wakatili, wabinafsi na wezi
 
Uzuri wa JF hata mazwazwa kama SYLLOGIST! wanaruhusiwa kuandika mawazo yao. Huwezi kumtnganisha Magufuli na watawala wakatili, wabinafsi na wezi
Nakubaliana na wewe, siwezi kumtenganisha yeyote. Magufuli ndie aliyepata kura, wengine wanashibia kwa uongozi wake, hata hao waliokuwa madarakani sasa. Kwani hao makatili wabinafsi na wezi ni hao hao CCM Hongera kwa kuliona hilo. Tusubiri hiyo 2025. Kitaeleweka tu.
 
Na ukweli wa mwisho, Tanzania ni eneo la asili la Bantustans, watu wa asili kabisa wa Tanzania ni Wagogo, Wasukuma na makabila machache ya asili ya Kibantu, Masai sio Bantu, ni Semi Nilotic, asili yao ni North Africa wame descend from Nubi, Walihamia East Africa kutokea Northern Sudan during early migration baada ya kutimuliwa na Wakushi.

Hata Waziri mwenyewe ni Mngoni, nao asili yao sio Tanzania, ni jamii ya Wazulu waliokimbia Mfecane wars , wakiongozwa na Zongendamba ndio wakaingia Tanzania na ku settle Songea. Makabila mengi ya mipakani wakiwemo Wachagga, ni wahamiaji tu.


P

Dadavua zaidi hapo kwa Wachaga....ni watu wa wapi,,,???
 
Wangoni, wamasai, wachaga, waha, wahaya, wanyakyusa, wawanji, wamakonde na wamakua, wajaluo, wahangaza, na kadhalika hao ni watu wakuja Tanzania sio asili yao waangalie hata mfumo wa maisha yao
Mfumo wa maisha yao ukoje??
 
Back
Top Bottom