Waziri Pindi Chana kwani ni lazima kila sehemu utakayoalikwa umtaje kwa Mahaba yote Rais Samia?

Waziri Pindi Chana kwani ni lazima kila sehemu utakayoalikwa umtaje kwa Mahaba yote Rais Samia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
PindiChana.jpg

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Unawezaje ku worship bila kumtaja yesu.

Madhara ya vyeo vya kupewa hujui mteuaji ataamka vipi.
 
Alialikwa kanisa moja akawa anamtaja kwa mahaba yote. Huenda akawa ni mjumbe wa taasisi ile inayojiita chawa wa mama
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Mnataka niwapanulie wapi? Kushoto au kulia eeeh!!! Nakumbuka kwa mchoma mahindi Dumila
 
Huko ni kujipendekeza

Hakuna watu wanafki "wanaongoza kwa unafki" duniani kama watanzania

Ova
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Mumgu wao lazima wamtaje
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Acha kumsikiliza km unaumia, we ni mpuuzi kweli. usiingilie uhuru wa mwenzako. Nawe uwe unamsifu unayemtaka
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
kama kigezo cha uhovyo wake kwa mtazamo wako ni kwa sabababyu ya kumtaja Samia basi baraza lote la mawaziri kuanzia makamu wa rais, mikoa na wilaya, kata na vitongoji, polisi etc wote tuwape sifa hiyo uliyomshushia Pindi Chana.
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
huyo ni katibu mwenezi chawanism movement
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Waziri chawest
 

Au labda alikuambia kuwa usipokuwa Unamtaja na Kujikomba Kwake basi atakutumbua upesi? Unaboa mno.....!!

Nikiambiwa nimtaje Waziri wa Kwanza wa hovyo kwa sasa katika Serikali ya Rais Samia wala sitochelewa Kumtaja / Kukutaja Pindi Chana na sijui ilikuwaje ukawa Waziri kwani hutoshei na huna pia Personality hiyo.

Hovyo kabisa...!!
Muache CHANA aendeleze legacy" haya yote wamerithi na watawala wanapendezwa nayo!!! Imagine kipind flan mtu ananusurika kweny ajal cha kwanza anamshukur rais? Mwingine toka kutekwa cha kwanza anamshukur rais 🤣🤣🤣🤣 Nchi ina mamb ya hovyo!!
 
Pindi Chana
Hivi jina Chana ni jina la baba yake au mume wake ?

Ref to our president surname hahahaa Hafidh kawekwa kando, isije kuwa hana Pindi na ni chama la hao wanao dharau koo za waume zao.

Nahitaji kujua jina Chana ni la baba ake au bwana ake ?
 
Back
Top Bottom