Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
FD... yaani mwanakijiji hakosei, mbona nilishasahihisha mapema huko nyuma.. duh.. I can't do nothing right.. this is really depressing upande mmoja fisadi, upande mwingine hivi.. duh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli nimepokea kwa masikitiko sana habari hii ya ajali iliyopelekea kifo cha dada yetu mpendwa na kiongozi wetu Salome Mbatia. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Ingekuwa ni hawa mafisadi nisingesikitika hata kidogo kwani wao hadi sasa wanatuua. Ningesherehekea.



FD... yaani mwanakijiji hakosei, mbona nilishasahihisha mapema huko nyuma.. duh.. I can't do nothing right.. this is really depressing upande mmoja fisadi, upande mwingine hivi.. duh!!
FD... yaani mwanakijiji hakosei, mbona nilishasahihisha mapema huko nyuma.. duh.. I can't do nothing right.. this is really depressing upande mmoja fisadi, upande mwingine hivi.. duh!!
watu wote ambao ni wanamtandao ni Mafisadi wakubwaKaka,
Toa tu pole yaishe, lakini usiseme kwamba huyu marehemu hakuwa fisadi kwani SHE WAS!!. Kawaulize watu aliofanya nao kazi pale Biashara nanilii, alikuwa ana kwiba tena sana na alijiuzia nyumba ya kampuni Osterbay kwa milioni 20..................na mengineyo. Pole kwa familia yake tena sana. lakini watu wakae wakijua, kuwa na mahekalu na mamilioni ya shilingi banco wakti barabara ni mbovu matokeo yake ndio haya!!!. I know, kuna mtu atasema hapa ooooh ajali haina kinga sijui temea mate pembeni na bla bla zote........well don't waste your time, kwani hiyo ni BS.
watu wote ambao ni wanamtandao ni Mafisadi wakubwa
hizi ajali za barabarani kwa nini kwetu tu??
haya sasa tumempoteza waziri wetu mama Mbatia. Mungu amlaze pema
Chenge ajiuzulu kashindwa miundombinu. Tuna madini kibao kwa nini hatuna japo double lane kuunga mikoa???
Inauma sana mpaka inabidi kusema ovyo sasa
Utajenga barabara kubwa zaidi ya zilizopo kwa barabara ambayoNi kweli kabisa Msanii. Barabara zetu za kwenda mikoani ni nyembemba na sio nzuri kutosha kuwa za kutumika kwenda umbali mrefu. Maisha ya Watanzania wengi sana yanapotelea kwenye barabara hizi. Nyingi ya barabara zetu za mikoani ni nyembamba kama barabara ndogo za mijini (feeder roads). Wakati umefika sasa, kunusuru maisha ya watanzania kwa kujenga barabara zinazostahili kwa umbali mrefu. Nahofia sana kuwa maisha yataendelea kuteketea kama serikali haitazipa barabara hizi kipaumbele.
Utajenga barabara kubwa zaidi ya zilizopo kwa barabara ambayo
haipitishi magari zaidi ya 1000 kwa siku? Project kama hiyo itakuwa haina maana yoyote na huenda isipunguze ajali kwa kiwango cha kuhalalisha matumizi makubwa ya pesa wakati kuna sehemu nyingi hata hazifikiki.
Tatizo la Tanzania sio barabara bali ni uendeshaji mbaya. Dawa yake ni kupambana na wahusika kwa kuiandama mifuko yao (pesa). Madereva wengi wa TZ hawatakiwi hata kuwa barabarani, ni madereva wa kusomea mitaani. Anaweza kujua kuendesha gari lakini hawezi kujua namna ya kulitumia hilo gari kiusalama kwake na kwa raia wengine.
Ninaamini ajali Tanzania zinaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kama wahusika wataamua kutafuta ufumbuzi. Hata mimi peke yangu nikipewa uwezo, vitendea kazi na kuruhusu kupitishwa kwa sheria za kuongeza usalama barfabarani, nina uhakika naweza kupunguza ajali TZ kwa zaidi ya asilimia 50 kwa mwaka.
Tatizo linajulikana, solutions mbambali tayari zipo sehemu mbalimbali duniani, kinachotakiwa ni will ya wahusika kuamua kuchukua maamuzi magumu kwa faida ya nchi. Madereva wabovu wanatakiwa kuondolewa barabarani kwa nguvu zote bila kujali ni
waziri, mbunge, au Mmachinga.
Nimefuatilia hizi ajali kwa muda na kwa kweli sijafurahi kuona serikali inakaa kimya huku wananchi wanachinjwa na madereva wabovu.
Utajenga barabara kubwa zaidi ya zilizopo kwa barabara ambayo
haipitishi magari zaidi ya 1000 kwa siku? Project kama hiyo itakuwa haina maana yoyote na huenda isipunguze ajali kwa kiwango cha kuhalalisha matumizi makubwa ya pesa wakati kuna sehemu nyingi hata hazifikiki.
Tatizo la Tanzania sio barabara bali ni uendeshaji mbaya. Dawa yake ni kupambana na wahusika kwa kuiandama mifuko yao (pesa). Madereva wengi wa TZ hawatakiwi hata kuwa barabarani, ni madereva wa kusomea mitaani. Anaweza kujua kuendesha gari lakini hawezi kujua namna ya kulitumia hilo gari kiusalama kwake na kwa raia wengine.
Ninaamini ajali Tanzania zinaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kama wahusika wataamua kutafuta ufumbuzi. Hata mimi peke yangu nikipewa uwezo, vitendea kazi na kuruhusu kupitishwa kwa sheria za kuongeza usalama barfabarani, nina uhakika naweza kupunguza ajali TZ kwa zaidi ya asilimia 50 kwa mwaka.
Tatizo linajulikana, solutions mbambali tayari zipo sehemu mbalimbali duniani, kinachotakiwa ni will ya wahusika kuamua kuchukua maamuzi magumu kwa faida ya nchi. Madereva wabovu wanatakiwa kuondolewa barabarani kwa nguvu zote bila kujali ni
waziri, mbunge, au Mmachinga.
Nimefuatilia hizi ajali kwa muda na kwa kweli sijafurahi kuona serikali inakaa kimya huku wananchi wanachinjwa na madereva wabovu.
Mtanzania, Take 5!!Utajenga barabara kubwa zaidi ya zilizopo kwa barabara ambayo
haipitishi magari zaidi ya 1000 kwa siku? Project kama hiyo itakuwa haina maana yoyote na huenda isipunguze ajali kwa kiwango cha kuhalalisha matumizi makubwa ya pesa wakati kuna sehemu nyingi hata hazifikiki.
Tatizo la Tanzania sio barabara bali ni uendeshaji mbaya. Dawa yake ni kupambana na wahusika kwa kuiandama mifuko yao (pesa). Madereva wengi wa TZ hawatakiwi hata kuwa barabarani, ni madereva wa kusomea mitaani. Anaweza kujua kuendesha gari lakini hawezi kujua namna ya kulitumia hilo gari kiusalama kwake na kwa raia wengine.
Ninaamini ajali Tanzania zinaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kama wahusika wataamua kutafuta ufumbuzi. Hata mimi peke yangu nikipewa uwezo, vitendea kazi na kuruhusu kupitishwa kwa sheria za kuongeza usalama barfabarani, nina uhakika naweza kupunguza ajali TZ kwa zaidi ya asilimia 50 kwa mwaka.
Tatizo linajulikana, solutions mbambali tayari zipo sehemu mbalimbali duniani, kinachotakiwa ni will ya wahusika kuamua kuchukua maamuzi magumu kwa faida ya nchi. Madereva wabovu wanatakiwa kuondolewa barabarani kwa nguvu zote bila kujali ni
waziri, mbunge, au Mmachinga.
Nimefuatilia hizi ajali kwa muda na kwa kweli sijafurahi kuona serikali inakaa kimya huku wananchi wanachinjwa na madereva wabovu.