mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
Nadhani mzee mwanakijiji nikupe wazo,HAPA JF TUMUOMBELEZE MAMA KWA 7 DAYS(1 WEEK)NA KATIKA KUMUOMBOLEZA TUIWEKE,ILA BADA YA MAOMBOLEZO KUISHA TUITOE ,AU UNAONAJE MKUBWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Picha ya Ajali ya Bi. Salome Mbatia jioni ya leo...
Mungu azilaze roho za marehemu wote pema peponi, Amina
Twendeni mbele turudini nyuma,na huyu zitto nae alikuwa anatoka wapi?,mana kwa ripoti,mama salome alikuwa kwenye kampeni za ccm za uchaguzi huu ujao,dr matayo alikuwa anatoka songea kukagua kilimo cha umwagiliaji,je zitto nae alikuwa anatoka wapi?
Nadhani mzee mwanakijiji nikupe wazo,HAPA JF TUMUOMBELEZE MAMA KWA 7 DAYS(1 WEEK)NA KATIKA KUMUOMBOLEZA TUIWEKE,ILA BADA YA MAOMBOLEZO KUISHA TUITOE ,AU UNAONAJE MKUBWA
![]()
Picha ya Ajali ya Bi. Salome Mbatia jioni ya leo...
Mungu azilaze roho za marehemu wote pema peponi, Amina
Dua, lori la Fusa liliangukia hiyo Nissani na kuiponda..
Huu ndio uswahili, nimewaambia ni picha ya ajali, mlidhania ni picha ya harusi? Nilitoa muda mrefu wa watu kuamua na hakuna aliyepinga sasa mmeiona ati "inatisha"... mlidhania watu wako mezani wanakula?
mhm, mi nikisikia kifo bana, yaani hata kama mtu simjui basi atari tup ! rest in peace mama salome mbatia !
Sasa hapo unakejeli, Hiyo picha kwa ufupi inatisha na sio vema kuiweka hapa. Kwa namna moja utazidi kuiumiza familia ya Mbatia. Iwapo una picha ambayo haionyeshi jinsi marehemu alivyokuwa akiteseka katika dakika zake za mwisho, itakuwa ni bora zaidi kuliko hiyo. Hili ni suala la UTU jamani...
usinge kuwa unatetea mafisadiwanaosababisha haya!
Nimepata picha ya eneo la tukio, kwa kweli inasikitisha sana. Sijui kama kuiweka hapa itakuwa sawasawa kwani sehemu ya mwili wa Marehemu inaonekana.
....... ....... ....... ..... .. . katafune bijigii dogo !! ..... .. ........ .