Waziri Silaa ashtukiza ofisi za ardhi Dodoma akuta amna watu

Waziri Silaa ashtukiza ofisi za ardhi Dodoma akuta amna watu

Empty head nyingine hiyo.

Hawajifunzi tu?
 
Akitoka hapo aende na magogoni huko kiboko. Kwa kuchelewa
 
Mnaopinga mkienda kwenye hizo ofisi mkafanyiwa hujuma mtarudi hapa nakumpongeza Mh.Waziri alichokifanya,Heko kwako waziri lakini pia isiishie hapo watumbuliwe wote wanaofanya kazi kwa mazoea
 
Wao
Yana mwisho kama ya wengine yalivoanza
Wao wenyewe time management hawana,unategemea nini kwa watumishi wao. Hivi kiongozi ukijenga tabia ya kuwahi angalau dk5 kabla ya tukio unalotakiwa kwenda, na ikawa ndiyo tabia yako,unafikiri kuna mtu atakuwa anachelewa? Kiongozi anachelewa hadi masaa kwenye matukio unategemea nini!
 
Mnaopinga mkienda kwenye hizo ofisi mkafanyiwa hujuma mtarudi hapa nakumpongeza Mh.Waziri alichokifanya,Heko kwako waziri lakini pia isiishie hapo watumbuliwe wote wanaofanya kazi kwa mazoea
Watu walipokuwa wanaona picha ya Magufuri wanaogopa, tunataka waziri wa hivyo, huyo atashtukiza ofisi ngapi?
 
Inasikitisha sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Back
Top Bottom