Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Mimi niliona kama Simbachawene anasisitiza hoja za Mpina kwa kuzirudia kwa umakini ila baadae akajifanya kumpamba mama ili asionekane kama kamuunha mkono Mpina.

Ila kwa jicho la tatu Simbachawene kapigilia msumari hoja za mpina
Humjui Simbwachawene wewe
 
Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Mimi niliona kama Simbachawene anasisitiza hoja za Mpina kwa kuzirudia kwa umakini ila baadae akajifanya kumpamba mama ili asionekane kama kamuunha mkono Mpina.

Ila kwa jicho la tatu Simbachawene kapigilia msumari hoja za mpina
Ni kama Kigwangala alivyosema CHAWA hawamjibu Kimambi 🐼
 
Simbachawene hajajibu hoja yoyote ya Mpina. Kwa kweli ameziorodhesha kama zilivyo na zaidi sana amezikazia kuonyesha kuwa zina mashiko. 🤓
 
Wacha watafutane.
 
Sukuma gang wanaoteseka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…