Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rose ni CCM shida ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii fungulia thread yake inayojitegemea.TEJA kama TEJA
Ukisikiliza vizuri story za mateja unaweza tengeneza MOVIE na ikabamba sana.
Ray C
Chid Benz
TID
ZONGO
Na wengine
Sina mengi,
Rose Muhando akihojiwa na wasafi TV alitoa tuhuma nzito kwa jeshi la polisi na serikali kushirikiana na watu waliomtesa na kumnyanyasa kiasi cha kukosa pa kushitaki lakini cha ajabu Simbachawene unajifanya hujaona mateso ya huyu dada.
Ni lazima haki itendeke kwa Rose Muhando na watesi wake wote na watu walioko serikalini na jeshi la polisi waliowalinda watesi wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria.
Usijifanye hujayaona mahojiano, nakuwekea hapa.
Mungu awabariki!