Waziri Simbachawene, usijifanye hujaona mahojiano ya Rose Muhando akilituhumu jeshi la polisi na serikali. Mtendeeni haki, washughulikieni watesi wake

Waziri Simbachawene, usijifanye hujaona mahojiano ya Rose Muhando akilituhumu jeshi la polisi na serikali. Mtendeeni haki, washughulikieni watesi wake

Watu wengi wamepitia mateso makubwa na unyanyasaji sn.Kama watu maarufu ni hivi vipi kwa raia wa kawaida?

Inasikitisha sn
 
Sina mengi,

Rose Muhando akihojiwa na wasafi TV alitoa tuhuma nzito kwa jeshi la polisi na serikali kushirikiana na watu waliomtesa na kumnyanyasa kiasi cha kukosa pa kushitaki lakini cha ajabu Simbachawene unajifanya hujaona mateso ya huyu dada.

Ni lazima haki itendeke kwa Rose Muhando na watesi wake wote na watu walioko serikalini na jeshi la polisi waliowalinda watesi wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria.

Usijifanye hujayaona mahojiano, nakuwekea hapa.


Mungu awabariki!

Simbachawene asijifanye hajui ukweli
 
Back
Top Bottom