Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Sioni tatizo hapo maana hata hao wachina hawakijui 🙂 Labda kwa vile wana rangi nyeupe ndio hujaona BROKEN yao.
 
Kulinganisha japan na tanzania sio sahihi mkuu, sisi tanzania huko serikalini english ni lugha walioamua kuikumbatia katika sehemu mbalimbali. Hivo tukiwaona viongozi wanavochemka sisi tunafurahi
Mfano website hii ya bunge la tanzania kwanini kiswahili kimechanganyika na kiingereza? Namna hii?

Screenshot_20250305_171001_Chrome.jpg


Hapa sijaenda kwenye nyaraka za kodi za tra. Na wala sijaenda kwenye mahakama

Covax
 
L
Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
LUgha ya english,zipo karibia lahaja 60,duniani,na zote zinakubalika,hata ndani ya UK na US,zipo lahaja tofauti.
 
Kwa vile hujataka kutuwekea video tusikie/kuona na sisi, at least tuambie kwa kumlinganisha Ulega na Ndalichako na Jenista Mhagama, yupi ana afadhali?
 
Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Wewe ndio mshamba,mtu asiyezungumza lugha A sawasawa basi atakua anajua Barbara lugha B.
Wachina hawajui kiswahili wanajua kiingereza,waswahili hawajui kiswahili wanajua kiingereza,ulitaka wawasiliane kwa lugha ipi?
Malawi na Zimbabwe wanajua kiingereza kuliko Saudi Arabia,Bahrain na Qatar,kwa hio raia wa hizo nchi wawaonee aibu dunia kwa kushindwa na Zimbabwe na Malawi,kuongea kiingereza?
 
Acha inyeshe tuone panapovuja
Hiyo clip I wap?
 
Kwani hao wakandarasi wenyewe wanajua kingereza??
 
Kuongea kingereza watu wasiojua kama wachina ata wewe itakupa shida.
 
Wasomi bhana kwahy Ili uwe msomi lazima ujue English.

Mbona wao hawajui kiswahili chetu
 
Hao Wachina hawajui Kingereza wala Kiswahili; angewapigisha tu Kizaramo!
 
Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana [emoji28]. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Kwanini watu wasio jua kiingereza wanaongea tena kwa sauti kubwa huyu mzee kiingereza hakijui preposition zake ziko poor, pronunciation poor grammar poor eti ni waziri wa ujenzi, hi nchi ina kasoro kubwa katika uongozi.
 
Back
Top Bottom