Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Yeah kabisa, nimeiskiliza anaeleweka kwakweli, makosa ya hapa na pale ni kawaida kwa mtu ambae sio fluent.Kabisaaaa Waziri kaeleweka alichoongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kabisa, nimeiskiliza anaeleweka kwakweli, makosa ya hapa na pale ni kawaida kwa mtu ambae sio fluent.Kabisaaaa Waziri kaeleweka alichoongea
Lugha ni kuongea mtu ueleweke basi
Waziri alichoongea mbona kinaeleweka vizuri tu hata mchina kaelewa
Clip hii hapa nini kisichoeleweka hapo?
View: https://youtu.be/HllqNd7sDIg?si=D2HBw2B2V1K8NlFQ
Sioni tatizo hapo maana hata hao wachina hawakijui 🙂 Labda kwa vile wana rangi nyeupe ndio hujaona BROKEN yao.Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Lugha ni kuongea mtu ueleweke basi
Waziri alichoongea mbona kinaeleweka vizuri tu hata mchina kaelewa
Clip hii hapa nini kisichoeleweka hapo?
View: https://youtu.be/HllqNd7sDIg?si=D2HBw2B2V1K8NlFQ
Mfano website hii ya bunge la tanzania kwanini kiswahili kimechanganyika na kiingereza? Namna hii?Kulinganisha japan na tanzania sio sahihi mkuu, sisi tanzania huko serikalini english ni lugha walioamua kuikumbatia katika sehemu mbalimbali. Hivo tukiwaona viongozi wanavochemka sisi tunafurahi
LUgha ya english,zipo karibia lahaja 60,duniani,na zote zinakubalika,hata ndani ya UK na US,zipo lahaja tofauti.Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Hiki ni kichaka cha wasiojua English vizuriKwani kiingereza ni intelligence ya mtu au ni lugha tu kama kiswahili, mbona wa Japan wengi hawajui kiingereza..........hizo ndo comment za watanzania walio shindwa kumudu lugha ya kiinaereza.
Wewe ndio mshamba,mtu asiyezungumza lugha A sawasawa basi atakua anajua Barbara lugha B.Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Kwanini watu wasio jua kiingereza wanaongea tena kwa sauti kubwa huyu mzee kiingereza hakijui preposition zake ziko poor, pronunciation poor grammar poor eti ni waziri wa ujenzi, hi nchi ina kasoro kubwa katika uongozi.Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana [emoji28]. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu