OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Eti Jamhuri ya mawingakitoto chake cha feza kitaona aibu sana dady kafedhehesha jamuhuri ya mawinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Jamhuri ya mawingakitoto chake cha feza kitaona aibu sana dady kafedhehesha jamuhuri ya mawinga
Mwamba alikariri usiku mzima cha kwenda kusema. Yani hapo anaongea huku kabana haga, akihofia kusahau alichokrem.
😀😀😀😀😀😀😀😀 ufungwe wewe, jamhuri ya mawinga kwelikitoto chake cha feza kitaona aibu sana dady kafedhehesha jamuhuri ya mawinga
Kwa level ya uaziri hajui kiingereza hicho ni cha kubabaisha cha Ras sio cha executive position kama ya kwake.Hana makosa makubwa ni ya kawaida sana.Umetia chumvi nimeangalia clip waliyo upload Clouds tv kajitahidi man, chetu kiswahili
Eti muulize wewe. Wakati mkandarasi yupo pembeni. Ila jiwe aligoma kutumia English kwa kichaka cha kukuza Kiswahili, ukweli lugha ilikuwa haipandiHilo tukio nimekumbuka jiwe akiwa mwanza akamsakizia msaidizi wake aongee na mkandarasi wa kichina, aliamua kuepuka fedheha ndogondogo
Umemuelewa lakini?? Au mihemko tu?? Mbona hivi wabongo, ukisoma kitabu huwa unakielewa kweli?? Hebu rudia mara tatu kusoma alichoandika.Wewe unalinganisha mlima na kichuguu. Japani ni nchi tajiri kama uingereza na ujerumani. Nguvu ya rugha inaendana na nguvu ya uchumi.
Do you know that?Mimi sijaona tatizo la kingereza cha waziri...
Amezungumza vizuri na anaeleweka vizuri kabisa...
Ndiyo, kuna changamoto kidogo ktk matamshi (pronounciation) yake, lakini ameeleweka vyema kabisa...
Usitegemee mtu yeyote ambaye kiingereza sio lugha yake ya kwanza akawa na ufasaha wa kuizungumza na kuandika kwa 100%...
He is very good...
Huwez ukawa educated mpaka masters, tena kwa mitaala ya kingereza haalf hujui kingereza, else utakuwa kilazaWasomi bhana kwahy Ili uwe msomi lazima ujue English.
Mbona wao hawajui kiswahili chetu
Sijui kama kupata teuzi ya uwaziri wanazingatia competency katika lugha hizi za nje(unaweza nipatia darasa kidogo) lakini niseme ujumbe wake umefika kwa mlengwa na ndio lilikuwa lengo kuu.Kwa level ya uaziri hajui kiingereza hicho ni cha kubabaisha cha Ras sio cha executive position kama ya kwake.
Daah aibu nimeona mieNenda youtube kaone mwenyewe.
Lugha ni kuongea mtu ueleweke basi
Waziri alichoongea mbona kinaeleweka vizuri tu hata mchina kaelewa
Clip hii hapa nini kisichoeleweka hapo?
View: https://youtu.be/HllqNd7sDIg?si=D2HBw2B2V1K8NlFQ