Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya bongo namna sanaNdalichako yule sijui alipata je udakitari PhD, wote na mwendazake kiingereza kinawasumbua na Zelensky wa Ukurain anawaxidi wakati hakusoma kiingereza
Nyerere aisee! Tz ndio nchi pekee iliyotawaliwa na mwingereza kati ya 54 isiyotumia kiingereza kufundishia level zote ndio maana hakuna weledi! Uchawa ndio kitu watz wanaweza TU! Ccm inapenda sana machawa waliojitoa ufahamu!Tatizo ni kuwa uchawa ndiyo kigezo kikubwa siku hizi
Kwanini asiongee kiswahili fasaha, halafu mkalimani akafanya kazi yake?Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Tuwekee na clip ya kingereza walicho ongea wachina hapoKwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.
Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.
Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Poleni Tanzania. Ni aibu
Mleta Uzi mjanja sana Bora angekaa kimyaa, ametupa matanishooooo 🤣Mleta uzi ndiyo kazidi kumwaga petrol kwenye nyasi 😄
Ova
Hapana waziri Ulega hajasoma English Medium kasoma shule ya msingi ya Kayumba shule ya msingi MuunganoWaziri si alisoma English Medium school?
Kwahiyo unataka watu wateuliwe kwa kigezo cha lugha ya kingereza na sio uwezo wao kwenye utendaji?Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.
Lugha ni kuongea mtu ueleweke basiKwahiyo unataka watu wateuliwe kwa kigezo cha lugha ya kingereza na sio uwezo wao kwenye utendaji?
Anyway, wawe wanatembea na wakalimani ili mambo yasiwe mengi.
Hata kumbe huna uelewa wa hoja ya mleta uzi.Wewe mwenyewe unakiweza kingereza au ni wale wale wenye kupenda kucheka lugha za watu?.
Unaweza ukawa unaongea kingereza cha mfalme George wa UK halafu unachunga ng'ombe wa Babu zako kijijini kwenu, unaweza ukawa hujui kingereza vizuri lakini ukawa tajiri mwenye kufanya biashara kubwa za kidunia.
Kulinganisha japan na tanzania sio sahihi mkuu, sisi tanzania huko serikalini english ni lugha walioamua kuikumbatia katika sehemu mbalimbali. Hivo tukiwaona viongozi wanavochemka sisi tunafurahiKwani kiingereza ni intelligence ya mtu au ni lugha tu kama kiswahili, mbona wa Japan wengi hawajui kiingereza..........hizo ndo comment za watanzania walio shindwa kumudu lugha ya kiinaereza.
Lugha ni kuongea mtu ueleweke basi
Waziri alichoongea mbona kinaeleweka vizuri tu hata mchina kaelewa
Clip hii hapa nini kisichoeleweka hapo?
View: https://youtu.be/HllqNd7sDIg?si=D2HBw2B2V1K8NlFQ
Kabisaaaa Waziri kaeleweka alichoongeaBasi mleta mada ameamua kuchangamsha jukwaa😅😅😅