Waziri Ulega apendekeza Watu binafsi kutumia barabara za Mwendokasi kwa kulipia

Waziri Ulega apendekeza Watu binafsi kutumia barabara za Mwendokasi kwa kulipia

Hii nchi hii. Ni kama hajui lengo la kujenga mwendo kasi
BRT imeshafeli kitambo.Hapo Dar huu mradi ukikamilika sanjali na ring road zake hakuna foleni tena
Screenshot_20250214-071242.jpg
 
Hili wazo lilichelewa sana, there is no point ya kujenga miundombinu kama haitanufaisha umma wa watanzania. Basi ziko chache barabara iko under-utilized by far percentage. Why not use it hata kwa ku charge malipo kidogo ili serikali ifidie kwa muda unaopotea bure bila faida ya uwekezaji kuonekana.

Wachaji elfu 2 mpaka 5 watu watakuwa wanalipa kutumia barabara hizo.
 
Hili wazo lilichelewa sana, there is no point ya kujenga miundombinu kama haitanufaisha umma wa watanzania. Basi ziko chache barabara iko under-utilized by far percentage. Why not use it hata kwa ku charge malipo kidogo ili serikali ifidie kwa muda unaopotea bure bila faida ya uwekezaji kuonekana.

Wachaji elfu 2 mpaka 5 watu watakuwa wanalipa kutumia barabara hizo.
Itakuwa Double Taxation Mkuu. Wakitaka wamtafute mwekezaji wajenge barabara mpya ya kulipia kulingana na Principles za Public Private Partnership (PPP).
 
Kuna shida mahali tena shida kubwa sana. Kabla waziri hajatoa hilo tamko lake alitakiwa afanye utafiti yeye au wasaidizi wake kwa angalau hata wiki aone balaa lake. Sijui hao mawaziri huwa hawapigagi stori wenyewe kwa wenyewe. Maana lazima angejua Bashungwa na Chalamila walitoa agizo kama hilo japo haikuwa kulipia lakini balaa lake mwendokasi zikashindwa kutembea kabisa.

Suluhisho la mwendokasi ni serikali kuongeza mabasi tu. Na kwanini kupitia PPP anayohubiri Kafulila kila siku wasigawe njia kwa wawekezaji wa ndani kama Bakharesa, Abood, BM, Shabiby, n.k. na serikali ikabaki inakusanya kodi na mrahaba tu kama kwenye madini?

Hakuna mradi rahisi kuendesha kama mwendokasi sijui wasomi wanaopewa kuongoza huo mradi wanashindwa vipi kuuendesha kwa faida. Nina hakika hata leo ukiwapa mtaji wa mabasi hamsini tu umoja wa makondakta na madereva wa daladala japo sio wasomi sana hakuna abiria atakayekaa kituoni zaidi ya dakika 15 na ikifika mwezi wa sita watakuwa wameongeza gari nyingine hamsini na kuwa jumla mia.

Ni mtizamo tu
 
Hili pendekezo siyo sawa, na litapoteza maana ya BRT.
BRT ni mfumo wa usafiri wa umma unaotumia njia maalum na za peke yake. Sasa ukiruhusu watu kulipia kutakuwa na mkanganyiko wa matumizi ya njia hizo, na hata ule uharaka tulioutarajia utakuwa haupo. Ni sawa na kuruhusu magari yapite kwenye reli ya SGR.
 
My Take
Binafsi naona ni pendekezo zuri ambalo kitakuwa chanzo Cha Mapato na pia kusaidia kurudisha hela za Mkopo maana malengo ya BRT na uendeshaji wake umeshashindikana Bongo.

Serikali ilizongatie 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBOTPrNpWS/?igsh=dXN1d2p2cGx0Y291

Why cant it be the other way round? Allow daladala to pass through until dedicated buses from the operators arrive! This option will be optimal because lanes were meant for public transportation and ease transportation to the mass.

This will be the lesser devil option and ensure the public enjoy value of lanes’ existence
 
Nonsense! Lengo la mwendo kasi ni kupunguza chaos sasa huyu naye anashauri turning kwenye chaos,kwanini wasijenge hizo barabara kuliko kuungaunga? Badala wake na kipango ya maana wanapendekeza vitu ambavyo havina mantiki
 
Back
Top Bottom