Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, asikilizwe Beberu siyo?Nyie wasikilizeni ccm muanganie
Kwani na Wao wanamhitaji huyu Mungu mponyaji?So kilichotuponya watanzania ni maombi na sala? Sasa tufunge basi na kusali kwa ajili ya dunia. Tuwaombee na wao basi
So kilichotuponya watanzania ni maombi na sala? Sasa tufunge basi na kusali kwa ajili ya dunia. Tuwaombee na wao basi
kwa hiyo sasa hivi wenye dalili hawakimbilii tena hospitali?... waliopungua ni waganjwa waliolazwa (4) ila Corona ipo; tusipochukua tahadhari tutarudi pale pale! Nadhani ndicho alichomaanisha.
Mkuu, asikilizwe Beberu siyo?
Hao wa watalaamu wa Afya si ndo hao wanaopeleka tarifa Kwa Waziri na Waziri anatangaza? Mkuu kwani vipiWasikilizwe wataalam waafya
Bila shaka zitafunguliwa punde. Ngoja waangalie mwenendo wa ugonjwa mwezi huuKama imepungua mno wafungue na shule za msingi na olevel.
Yaani baki kuelimisha familia yako tu. Hivi watu wanavyokufa na tunazika kila leo ni kwa faida ya nani? Huu uchumi ukikua watafaidi marehemu au?...Kudos kwa watumishi wote wa sekta ya afya kama ni kweli wamebakia wagonjwa wanne TUU...quote of the day ni i fear the government more than i fear terrorism...
Kwakua walishasema uongo tangu mwanzo lazima waendelee kudanganya tu hakuna namnaWale wa juzi waliorudishwa na kukabidhiwa kwa mamlaka kutoka Kenya na Uganda wako wapi? Serikali hii bhana ina mambo ya ajabu sana.
Kama huenda alimaanisha hivi basi tusiache kuchukua tahadhari.... waliopungua ni waganjwa waliolazwa (4) ila Corona ipo; tusipochukua tahadhari tutarudi pale pale! Nadhani ndicho alichomaanisha.