ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Mficha maradhi..........ata Burundi waliserebuka lakini sasa ngoma imepiga hodi Ikulu ilo ndo tunasubiri kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prayers! God is not mocked! When you ask he answers.Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Maombi ya kudhamiria nchi nzima siku tatu mfululizo yakiongozwa na Raisi wetu John Pombe Magufuli,ndio ilikuwa silaha yetu...Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani kungekua na Emoji ya kuweka mikono juu kuonyesha msisitizoWaambieni madereva wa ambulance wawe wanazima ving'ora!
Maana si kwa kupisha huku.
We nawe acha kuchanganya vitu vya maana na uchama, mbona unaishi kwa kukariri Sana kiongozi🤨🤨Nyie wasikilizeni ccm muanganie
Wale wa juzi waliorudishwa na kukabidhiwa kwa mamlaka kutoka Kenya na Uganda wako wapi? Serikali hii bhana ina mambo ya ajabu sana.
We unatumia kigezo kipi cha kutokuamini!!?Kwahiyo kwa akili zako unaamini alichokisema Ummy?
Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa unachosema hapa mkuu.So kilichotuponya watanzania ni maombi na sala? Sasa tufunge basi na kusali kwa ajili ya dunia. Tuwaombee na wao basi
Kwahiyo kwa akili zako unaamini alichokisema Ummy?
Basi wewe tupe idadi ya wagonjwa iliyopo Hadi Sasa mkuu.Haiingii akilini kabisa, wenye wadudu kichwani ndio pekee wataamini