Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tu share mara ngapi? Mbona kila hotuba jpm ana-share?Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wenye kuamini ulichoandika ni wenye mavi kichwani tuu.Haiingii akilini kabisa, wenye wadudu kichwani ndio pekee wataamini
Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugonjwa Umepungua Sana yaani wamebaki wagonjwa wanne tu TZ Nzima ila Mipakani huko Kila siku "MADEREVA WA NCHI NYINGINE" wanakutwa na Korona.
Hata hivyo ilikuwa corona isikanyage kabisa ardhi ya TZ kama ilivyokuwa kwa nzige wachache tuu wenye imani haba mlituharibia.Naona vita vyetu labda Mungu katupigania.
Huenda sisi ni watakatifu sana.😀😀
Wamesha upload zote na aliyekuwa akiwatumia kutoka Sierra Leoni kawasusa.Halafu huwezi amini hata zile picha za maziko sizioni siku hizi!
😀😀 Picha za ebolaWamesha upload zote na aliyekuwa akiwatumia kutoka Sierra Leoni kawasusa.
sisi ni Taifa teule la Mungu...Mtu wa kwanza aliishi hapa,tuan Ikulu kubwa kuliko zote,ni wa pili kwa vivutio vy Utallii Duniani,Kwa nini tusiwe nchi pekee ambayo Corona inatuogopa!Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂Na wenye kuamini ulichoandika ni wenye mavi kichwani tuu.
tena wakaingiza na sauti wale waliokuwa wanazika usku ....wakiongea Kiswahili!Wamesha upload zote na aliyekuwa akiwatumia kutoka Sierra Leoni kawasusa.
Homa ya uchaguzi mkuu imewaandama. Wasmehewe bure.Wale wa juzi waliorudishwa na kukabidhiwa kwa mamlaka kutoka Kenya na Uganda wako wapi? Serikali hii bhana ina mambo ya ajabu sana.
Aiseee...Wamesha upload zote na aliyekuwa akiwatumia kutoka Sierra Leoni kawasusa.
Zitafunguliwa 6/07/2020Kama imepungua mno wafungue na shule za msingi na olevel.
Yes, very soon, kwanza tunaambiwa wagonjwa wamebaki wanne, then tukiwa kwenye kilele cha kusherehekea tunatangaziwa siku ya shule kufunguliwa.Basi sawa, na watoto wa primary warudi shule sasa[emoji18]