EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Watu wanachapa kazi na covid 19 inawachapa watu hapa ngona droo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa Mchadema huyo!Kuna mtu alizusha humu eti amepata ajali[emoji849]
Maombi yaliombwa kwa Allah, Krishna, mizimu, n.k.Maombi ya kudhamiria nchi nzima siku tatu mfululizo yakiongozwa na Raisi wetu John Pombe Magufuli,ndio ilikuwa silaha yetu...
Halafu ni masikini kuliko almost nchi zote duniani. Na umasikini ni laana, inakuaje taifa teule linakuwa na laana ya umasikinisisi ni Taifa teule la Mungu...Mtu wa kwanza aliishi hapa,tuan Ikulu kubwa kuliko zote,ni wa pili kwa vivutio vy Utallii Duniani,Kwa nini tusiwe nchi pekee ambayo Corona inatuogopa!
Yaani sifa kuu ya kupata madaraka ndani ya serikali ya Ccm uwe muongo. Na uongee mambo ya kumsifu jamaa.Ugonjwa Umepungua Sana yaani wamebaki wagonjwa wanne tu TZ Nzima ila Mipakani huko Kila siku "MADEREVA WA NCHI NYINGINE" wanakutwa na Korona.
Waache hao huko wakae na viburi vyao...sisi tusonge mbere.Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Imesemwa kila Mtu atabeba mzigo wake.So kilichotuponya watanzania ni maombi na sala? Sasa tufunge basi na kusali kwa ajili ya dunia. Tuwaombee na wao basi
Ugonjwa Umepungua Sana yaani wamebaki wagonjwa wanne tu TZ Nzima ila Mipakani huko Kila siku "MADEREVA WA NCHI NYINGINE" wanakutwa na Korona.
Imesemwa kila Mtu atabeba mzigo wake.
Hivi inawezekana ikawa tumetumia mbinu gani kulishinda hili janga hivi, Kwa mbinu yoyote tuliyotumia kwanini tusi share na ulimwengu ili kunusuru dunia na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa....naona baadhi ya Wakenya wamepiga picha makaburi ya pale Kinondoni na kusema kuwa Yale ni ya waliokufa kwa Corona...inaelekea wakenya hao Wana washirika kadhaa hapa TZJe visa mpk sas no vingapi. Na je waliokufa mpk leo ni wangap. JK aliwahi sema akili ya kuambiwa changanya na zako
Halafu huwezi amini hata zile picha za maziko sizioni siku hizi!