mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwa kweli Mungu ametufanyia mambo makuu. Walioathirika na corona tupo ila tumekua wachache zaidi ya kile wengi walichotarajia. Tunamshukuru Mungu kwa kuilinda nchi yetu, na tumshukuru rais wetu John Pombe Magufuli kwa maono sahihi ya kuchukua tahadhari na kusali
Tuliokua tunabeza kumwomba Mungu tukisubiri idadi ya vifo kuongezeka tusisahau kufanya toba😁😁😁
Tuliokua tunabeza kumwomba Mungu tukisubiri idadi ya vifo kuongezeka tusisahau kufanya toba😁😁😁