Waziri Ummy: Michango ya kujiunga kidato cha tano kwa shule za Serikali isizidi Tsh. 188,000

Hata hivyo Waziri katoa ufafanuzi haizidi 188,000...Ila mimi nitatoa zaidi maana naona kama napewa favour mwanangu kusoma shule ya sekondari tena special kwa ada ndogo kama hiyo, I feel so bad kwakweli...
Watu wanatofautiana uwezo, wewe unayoona ndogo wengine ni mlima, ndo maana serikali inahangaika kubeba gharama zote za elimu ili isitokee hata kwa bahati mbaya vijana wenye uwezo wa kusoma washindwe kwa wazazi/walezi kukosa ada......nchi nyingine serikali kwa kuzingatia umuhimu wa elimu kwa watu wake inatoa elimu hadi chuo kikuu......
 
Na ukifuatilia hizo galoni zitaishia kwenye maduka ya watu binafsi, jamaa wanajaribu kutetea lakini serikali kuweka hiyo ada ndogo inajaribu ku subsidize elimu, na inalenga hasa kuifanya elimu iwe bure ukizingtia umuhimu wake.......sasa wajanja wanataka wajiongeze na vimichango vyao.
 
Yaani ile bure ya O-level inafidiwa A-level. Inaonekana serikali haina mpango wa kuhakikisha hao inaowapa elimu bure wafike A level.Just imagine mzazi ni maskini mtoto aliingia secondary sababu ilikuwa ni bila ada,halafu anapopasi kuenda five inageuka kuwa mateso kwa mzazi

sasa sh188,000 huyu maskini ataitoa wapi?
 
Utapeli wa maccm umeleta yote haya eti elimu bila ada sio elimu bure ? Maibilisi hawa.
 
Ni shida sana, angalau hiyo 188 waziri kaitamka.......lakini kuna shule wana michango hadi laki nne, hapo bado ada elfu 70....
 
Utapeli wa maccm umeleta yote haya eti elimu bila ada sio elimu bure ? Maibilisi hawa.
 
Kuna elimu gani wanapata siku hizi?
 
Hii tanzania ina viongozi wa ovyo yahn waziri anajitutumua kuwa kila shule itakuwa na mwl mmoja wa phy na math wakati mashule yao ya elimu bure yanabeba sio chini ya wanafunz 1000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya, kafir***w ulale.
Hahaha....jamaaa kumbe wewe zwazwa namna hiyo, haya matusi unaendelea kudhirisha uzwazwa wako.......sijawahi kutana na jita lijinga namna hii....kutiki mkaruka.
 
Hahaha....jamaaa kumbe wewe zwazwa namna hiyo, haya matusi unaendelea kudhirisha uzwazwa wako.......sijawahi kutana na jita lijinga namna hii....kutiki mkaruka.
Kumbe majita ni majinga, sikujua aisee.

Mijamaa iinaonekana inakupelekra moto wa hatari. Unapulizwaaaaa🤣
 
MICHANGO au ADA? TULIAMBIWA ELIMU bure kuna MICHANGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…