Waziri Ummy: Michango ya kujiunga kidato cha tano kwa shule za Serikali isizidi Tsh. 188,000

Caution money na umiseta vimo ndani ya hiyo 188,000
Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......
 
Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......
Fyekeo , ndoo . Rim aende navyo.
Taaluma una maanisha nini?
 
Vipi mlinzi, mpishi, sabuni ya chooni, rimu, jembe, fyekeo, ndoo ya lita 10, ndoo ya lita 20, kitambulisho, taaluma......nk.nk.nk.......
Fagio ,kukodishwa godoro,jengo,masomo ya jioni nk.Kuna michango kibao yaan,dogo anaingia six michango ni laki 4 kasoro,kuna michango yakulipia benki na kuna yakukabidhi kwa mkononi.
Hiyo five tulitumia milioni+.
 
Mwaka jana tulilipa hiyo 188,000
Lakini kuna mamichango hapo siyo ya kitoto,afu ni Mwaka wa kwanza[emoji2].
 
Fyekeo , ndoo . Rim aende navyo.
Taaluma una maanisha nini?
Taaluma mbona ni mchango ulioasisiwa kitambo sana tangu enzi za nyerere, wanauita 'academic' kuna sehemu mwanaJF kasema wamelipa elf 20......wee acha tu.
 
Itapendeza endapo litasimamiwa kwa ufasaha...
 
Hapa umeandika kitu gani wewe? Unafikiri wananchi wengi kuwa maskini ndio inamaanisha kwamba wanazaa watoto wasio na akili?

Ni jukumu la serikali kuwezesha watoto wengi kusoma ilimradi wana vigezo, kwa mantiki hiyo mahitaji mengine serikali ndio inawajibika kugharamia kama chakula, ulinzi wa shule, upishi, madaftari, karatasi, vitanda nk. Mzazi pia atawajibika kuchangia kwa baadhi ya mahitaji sio kugharamia kila kitu mpaka vitabu vya tahasusi hapo kuna namna wakuu wa shule na bodi husika wanajaribu kupunguza gharama kwa kuwabwagia wazazi wakati inawezekana serikali kuu haijui ujanja wanaofanya kujinufaisha ili kwamba pesa wanazotumiwa na serikali watumie kidogo kwa kuwa wametengeneza nafuu.
 
Miaka nenda rudi hayo majembe, mafyekeo sijui ndoo na masufuria hayajawahi kutosha? elimu ya A-level unahimizaje wanafunzi wakalime mashamba ya shule na kufyeka majani? halafu utarajie hao vijana wa cocentrate kwenye masomo wafaulu vizuri....
Una elimu gani ndugu na ulisomea wapi?
 
Wa jirani yangu amepewa bili kubwa ya ajabu mpaka amekata tamaa kumpeleka mwanae MPANDA GIRL
FACTS AND TRUTH MUST TOLD.
 
Ni shida aisee.....na wanashupaza misuli ya shingo wanakwambia elimu bure.....hovyo sana hawa watu.
Elim bure ni kuanzia darasa LA kwanza mpaka form 4 , Advanced hakuna elim bure mkuu ada ipo pale pale na michango mingine, sema michango imekua mingi tu ,
 
Tupe namba ya wazi ya kutolea taarifa kwa watakaokiuka agizo lako
 
Mh mbona kama utapeli sasa huo.. Unaweza kuichanganua hiyo 430k?
Suruali 3@55,000/=
Rim 12000/=
Blanket
Masweta 2@ 18000/=
Mashati 2
Track suit za michezo
Viatu vya shule
Raba za michezo
Godoro 35000/=
NIMECHOKA KUANDIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…