Tulionya tangu mwanzo, lakini wapi aisee!
Tuliomba mipaka ifungwe and restricted entry kwa watu wanaotoka nje ya nchi especially high risk countries.
Tukasema pia strict and mandatory quarantine kwa wageni ni muhimu sana.
Nchi kama Rwanda, Ghana, Botswana zilionyesha njia, mipaka ilifungwa,ndege zote mpaka za shirika lao (Rwandair) zikawa grounded, partial lockdown,curfew,etc
Wakati nchi nyingi duniani zina-take decisive measures, sisi kila kitu wazi.
Sio tu kila kitu kiliendelea kuwa wazi lakini pia watu waliombwa waendelea kurundikana kwenye nyumba za ibada kwa sababu Corona ni shetani na hawezi kufika huko.
Yaani Mecca na Vatican na sehemu nyingi kote duniani wamesimamisha ibada za pamoja kukwepa maambukizi, sisi huku tumegundua kuwa tunafahamu dini kushinda wengine.
You don't fight a pandemic by gambling.
Eti ugonjwa unaweza usije! Au hata ukija wataambukizwa watu wachache halafu ugonjwa utaisha!
Oooh, hatuwezi kufunga mipaka tutakosa watalii! Tukasema humu, huo uamuzi ni counterproductive kwa sababu pandemic imeshika kasi huko wanapotoka watalii, itafika muda hawatakuja kabisa. Yametimia, watalii hawaji, hoteli nyingi zimefungwa na tourism industry ina suffer haswa.
Kwa wale vichwa ngumu, tukumbushane tu kuwa sote tuko hatarini.
Our healthcare system is too weak to handle this contagion. Nina uhakika nchi nzima haina hata ventilators zinazozidi 100, supply ya PPE ni ndogo na mengine ya muhimu kama hospital beds per capita ni hovyo kabisa.
Read between the lines,takwimu wanazotoa hawa watu zinatia mashaka sana.