Waziri Ummy nashauri ukae na wataalamu wa afya kabla ya tamko la bei ya huduma za afya

Waziri Ummy nashauri ukae na wataalamu wa afya kabla ya tamko la bei ya huduma za afya

Kada zote hizo zimeletwa na kada hiyo muhimu ,hiyo ni fact....daktari anayajua yote ya waliobakia ...hutaki soma
Hawa madaktari wetu wanaochungulia vitu kwenye google....
Ni hivi huyo daktari hawezi kukamilisha kazi yake bila kusaidiwa narudia kusaidiwa na hizo kada nyingine, zaidi ya hapo atababia kwenye google na kukubandika midawa ukafe mbele, na hiyo ndio sekta ya afya bongo sababu hata ukifa, suala zima linabadilishwa na kuwa la kiroho kuwa bwana amekutwaa, hakuna uwajibikaji....
 
Mtoa mada una grandiosity sanaaa
Et kada saidizi za daktar hahaha hakuna kitu ka hicho

Btw m naona consultation fee ni kitu ambacho kinatakiwa kiwepo ili kuzipa uhai hospital kimapato, Tukileta siasa hapa hospital nyingi zitafeli kimapato na ndo zitakuwa anguko la hizo sekta au kugeuka mzigo mkubwa kwa serikali badala ya kufanya issue za maendeleo itatumia pesa zote kutibu raia wake

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na wewe unaposema kwamba kuna mianya kwenye sekta ya afya nchini lakini tatizo hilo halisababishwi na uwezo wa serikali kuhudumia wananchi bali ni uwezo wa vyombo vyetu vya afya kujiendesha vyenyewe. Katika haya yote, ni vyema kufahamu kwamba huwezi kutoa huduma za afya bure kwa wananchi. Na sio kwamba haya yanafanyika makusudi bali ni uwezo wa kuweza kumudu gharama hizi kila siku kwa watu zaidi ya milioni arobaini na tano. Kwa sasa, gharama ya kujiunga NHIF kwa mtu mzima ni shilingi 192,000 kwa mwezi. Ingawa huduma ni mbovu na upatikanaji wa dawa ni hadimu, huduma ya afya kwa watoto chini ya miaka mitano na wazee zaidi ya miaka sitini ni bure. Labda inawezekana kuwa na bima kwa kila mwananchi lakini hili linawezakanaje kama hospitali ya taifa ya Muhimbili inategemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka ili kuwa wezesha kuwa hudumia wagonjwa wa NHIF. Sababu zipi zinafanya hospitali kushindwa kuendesha huduma za NHIF bila kutegemea fedha kutoka serikali?. Nakubaliana na hoja yako kwa kiasi fulani ila nina amini hospitali zinapoteza mapato kwa kushindwa kufuatilia fomu za wagonjwa na hushindwa kufuatilia vizuri uwepo wa madawa kwa wagonjwa wa NHIF. Labda form 2c kuondolewa itawa sukuma wasimamizi kufuatilia uwepo wa dawa hospitalini.
 
Nampongeza Waziri wa Afya kwa kupata updates mbalimbali za sekta unayoisimamia kwa wakati na hivyo kuwa responsive.

Nikijikita katika mada,

Mimi ni muumini wa sustainable health system financing yaani sekta ya afya inahitaji njia endelevu ya rasilimali fedha ili iweze kuleta tija. Mfumo wa afya nchini kama ilivyo nchi nyingi maskini bado inategemea uhisani wa marekani na mataifa mengine, hii ni hatari kwa usalama na ustawi wa Taifa. Yaani siku tukimchukiza Marekani, Uingereza au Japan tunarudi miaka 50 nyuma, hili ni jambo hatari.

Bado bajeti ya sekta ya afya ni changa mno yaani haijafikia 15% ya GDP Kama ilivyowahi kuazimiwa huko Abuja. Hivyo sekta ya afya inaidai serikali deni la kufulfill hiyo asilimia ili angalau kutoa huduma.

Bado Serikali haitoi ruzuku stahiki sawia na hitajika kwenye huduma za afya ukilinganisha na sekta nyingine mfano Elimu. Ukihitaji mifano fanya mapitio ya uwekezaji katika huduma za afya vs huduma nyingine (fanya rejea kwenye bajeti ya huduma za jamii bungeni kwa miaka 10).

Sekta ya afya imejitahidi kuja na bunifu mbalimbali ili kuwezesha upatikanaji wa rasilimali fedha ili iinuke,
hapo utaona in recent 7 years or so kumekuwa na mabadiliko chanya.

Nikiri kuwepo kundi la wahuni na wafanyabiashara walioanza kujitokeza kwenye sekta ya afya wenye nia ya kubadili sekta hii kutoka katika utoaji huduma na kuwa bisashara (hii ni kwenye sekta binafsi na mashirika ya dini sio public). Kamwe sikubaliani na dhana hii ya wahuni kwani imeprove failure hata Marekani.
HIVYO NI LAZIMA WADHIBITIWE!

Lipo jambo la kisera ambalo Wizara ya Afya inalikwepa kwepa na kuishia kuja na matamko ya taharuki.
Jambo hili niliwahi kulisemea humu humu jamvini, na niliwahi kuliulizia katika moja ya midahalo ya wagombea urais miaka kadhaa imepita. Jambo hilo sio lingine bali ni bima ya afya kwa wote. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan wakati anaingia madarakani na alipokuwa anawaapisha mawaziri wake awamu ya awali kabisa aliwaagiza Wizara ya Afya kuja na Sera ya Bima ya Afya kwa wote. Alisisitiza swala hilo lichakatwe na kufikia mwisho lakini hadi sasa hakuna draft yoyote iliyowasilishwa bungeni badala yake tunaona purukushani za majukwaani. HII SIO SAWA.

Consultation fee ni sehemu muhimu ya ada za kumuona ,kumsikia na kupata ushauri wa daktari (sio kumuona daktari tu). Unapoingia chumba cha daktari yapo mengi yanayofanyika kabla ya kwenda kwenye vipimo n.k.

MAONI
Sekta ya afya imevamiwa na ngwini wengi sana, na ngwini hawa waemkuwa wasemaji sana huku uwezo wao ukiwa mdogo.

Kuna tatizo la wasaidizi wa madaktari, yaani ukianzia wauguzi, wafamasia, wateknolojia wa maabara nk, ambao baada ya kupewa fursa wameanza kupeleka umbea kwa viongozi badala ya kutoa ushauri kuntu.

Pia naamini madhila mengi ambayo umeyatolea ufafanuzi yanatokana na sekta binafsi na mashirika ya dini. Basi ni muhimu kurusha jiwe katika eneo husika na sio kwa public sector. Rationing ya bei ianzie sekta binafsi.

Mhe. Waziri tumia vyanzo sahihi kupata genuine challanges na solutions katika sekta ya afya. Nashauri ukipata fursa au ukiamua kutengeneza fursa hebu waite waganga wafawidhi wa zahanati, vituo vya afya na hospitali (ngazi ya msingi) upate maoni yao ili kuja na Sera bora.​

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unataka upate matibabu bora katika hospitali binafsi kwa bei ya dezo. Haki yako wewe ni kutibiwa hospitali za umma sio hospitali binafsi.

Afya ni biashara vilevile sio huduma inapokuwa katika sekta binafsi.

Wewe hangaika na hospitali za umma ndio zinaendeshwa kwa kodi yako.

Kama huna uwezo wa kulipa hospitali binafsi waache wenye uwezo na wanaotaka huduma bora waende huko.. unataka huduma katika hodpitali binafsi zishuke ili wote wapate huduma mbovu kisa wewe huwezi tibiwa hospitali binafsi.
 
Nampongeza Waziri wa Afya kwa kupata updates mbalimbali za sekta unayoisimamia kwa wakati na hivyo kuwa responsive.

Nikijikita katika mada,

Mimi ni muumini wa sustainable health system financing yaani sekta ya afya inahitaji njia endelevu ya rasilimali fedha ili iweze kuleta tija. Mfumo wa afya nchini kama ilivyo nchi nyingi maskini bado inategemea uhisani wa marekani na mataifa mengine, hii ni hatari kwa usalama na ustawi wa Taifa. Yaani siku tukimchukiza Marekani, Uingereza au Japan tunarudi miaka 50 nyuma, hili ni jambo hatari.

Bado bajeti ya sekta ya afya ni changa mno yaani haijafikia 15% ya GDP Kama ilivyowahi kuazimiwa huko Abuja. Hivyo sekta ya afya inaidai serikali deni la kufulfill hiyo asilimia ili angalau kutoa huduma.

Bado Serikali haitoi ruzuku stahiki sawia na hitajika kwenye huduma za afya ukilinganisha na sekta nyingine mfano Elimu. Ukihitaji mifano fanya mapitio ya uwekezaji katika huduma za afya vs huduma nyingine (fanya rejea kwenye bajeti ya huduma za jamii bungeni kwa miaka 10).

Sekta ya afya imejitahidi kuja na bunifu mbalimbali ili kuwezesha upatikanaji wa rasilimali fedha ili iinuke,
hapo utaona in recent 7 years or so kumekuwa na mabadiliko chanya.

Nikiri kuwepo kundi la wahuni na wafanyabiashara walioanza kujitokeza kwenye sekta ya afya wenye nia ya kubadili sekta hii kutoka katika utoaji huduma na kuwa bisashara (hii ni kwenye sekta binafsi na mashirika ya dini sio public). Kamwe sikubaliani na dhana hii ya wahuni kwani imeprove failure hata Marekani.
HIVYO NI LAZIMA WADHIBITIWE!

Lipo jambo la kisera ambalo Wizara ya Afya inalikwepa kwepa na kuishia kuja na matamko ya taharuki.
Jambo hili niliwahi kulisemea humu humu jamvini, na niliwahi kuliulizia katika moja ya midahalo ya wagombea urais miaka kadhaa imepita. Jambo hilo sio lingine bali ni bima ya afya kwa wote. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan wakati anaingia madarakani na alipokuwa anawaapisha mawaziri wake awamu ya awali kabisa aliwaagiza Wizara ya Afya kuja na Sera ya Bima ya Afya kwa wote. Alisisitiza swala hilo lichakatwe na kufikia mwisho lakini hadi sasa hakuna draft yoyote iliyowasilishwa bungeni badala yake tunaona purukushani za majukwaani. HII SIO SAWA.

Consultation fee ni sehemu muhimu ya ada za kumuona ,kumsikia na kupata ushauri wa daktari (sio kumuona daktari tu). Unapoingia chumba cha daktari yapo mengi yanayofanyika kabla ya kwenda kwenye vipimo n.k.

MAONI
Sekta ya afya imevamiwa na ngwini wengi sana, na ngwini hawa waemkuwa wasemaji sana huku uwezo wao ukiwa mdogo.

Kuna tatizo la wasaidizi wa madaktari, yaani ukianzia wauguzi, wafamasia, wateknolojia wa maabara nk, ambao baada ya kupewa fursa wameanza kupeleka umbea kwa viongozi badala ya kutoa ushauri kuntu.

Pia naamini madhila mengi ambayo umeyatolea ufafanuzi yanatokana na sekta binafsi na mashirika ya dini. Basi ni muhimu kurusha jiwe katika eneo husika na sio kwa public sector. Rationing ya bei ianzie sekta binafsi.

Mhe. Waziri tumia vyanzo sahihi kupata genuine challanges na solutions katika sekta ya afya. Nashauri ukipata fursa au ukiamua kutengeneza fursa hebu waite waganga wafawidhi wa zahanati, vituo vya afya na hospitali (ngazi ya msingi) upate maoni yao ili kuja na Sera bora.​

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Consultation fee ktk hospitali za umma ifutwe kwa sababu serikali inalipa mshahara na gharama zingine za uendeshaji, hakuna haja ya kulipa fedha ya kumwona daktari wakati ni sehemu ya majukumu yake.

Mh waziri yuko sahihi. Consultation fee ifutwe
 
Nampongeza Waziri wa Afya kwa kupata updates mbalimbali za sekta unayoisimamia kwa wakati na hivyo kuwa responsive.

Nikijikita katika mada,

Mimi ni muumini wa sustainable health system financing yaani sekta ya afya inahitaji njia endelevu ya rasilimali fedha ili iweze kuleta tija. Mfumo wa afya nchini kama ilivyo nchi nyingi maskini bado inategemea uhisani wa marekani na mataifa mengine, hii ni hatari kwa usalama na ustawi wa Taifa. Yaani siku tukimchukiza Marekani, Uingereza au Japan tunarudi miaka 50 nyuma, hili ni jambo hatari.

Bado bajeti ya sekta ya afya ni changa mno yaani haijafikia 15% ya GDP Kama ilivyowahi kuazimiwa huko Abuja. Hivyo sekta ya afya inaidai serikali deni la kufulfill hiyo asilimia ili angalau kutoa huduma.

Bado Serikali haitoi ruzuku stahiki sawia na hitajika kwenye huduma za afya ukilinganisha na sekta nyingine mfano Elimu. Ukihitaji mifano fanya mapitio ya uwekezaji katika huduma za afya vs huduma nyingine (fanya rejea kwenye bajeti ya huduma za jamii bungeni kwa miaka 10).

Sekta ya afya imejitahidi kuja na bunifu mbalimbali ili kuwezesha upatikanaji wa rasilimali fedha ili iinuke,
hapo utaona in recent 7 years or so kumekuwa na mabadiliko chanya.

Nikiri kuwepo kundi la wahuni na wafanyabiashara walioanza kujitokeza kwenye sekta ya afya wenye nia ya kubadili sekta hii kutoka katika utoaji huduma na kuwa bisashara (hii ni kwenye sekta binafsi na mashirika ya dini sio public). Kamwe sikubaliani na dhana hii ya wahuni kwani imeprove failure hata Marekani.
HIVYO NI LAZIMA WADHIBITIWE!

Lipo jambo la kisera ambalo Wizara ya Afya inalikwepa kwepa na kuishia kuja na matamko ya taharuki.
Jambo hili niliwahi kulisemea humu humu jamvini, na niliwahi kuliulizia katika moja ya midahalo ya wagombea urais miaka kadhaa imepita. Jambo hilo sio lingine bali ni bima ya afya kwa wote. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan wakati anaingia madarakani na alipokuwa anawaapisha mawaziri wake awamu ya awali kabisa aliwaagiza Wizara ya Afya kuja na Sera ya Bima ya Afya kwa wote. Alisisitiza swala hilo lichakatwe na kufikia mwisho lakini hadi sasa hakuna draft yoyote iliyowasilishwa bungeni badala yake tunaona purukushani za majukwaani. HII SIO SAWA.

Consultation fee ni sehemu muhimu ya ada za kumuona ,kumsikia na kupata ushauri wa daktari (sio kumuona daktari tu). Unapoingia chumba cha daktari yapo mengi yanayofanyika kabla ya kwenda kwenye vipimo n.k.

MAONI
Sekta ya afya imevamiwa na ngwini wengi sana, na ngwini hawa waemkuwa wasemaji sana huku uwezo wao ukiwa mdogo.

Kuna tatizo la wasaidizi wa madaktari, yaani ukianzia wauguzi, wafamasia, wateknolojia wa maabara nk, ambao baada ya kupewa fursa wameanza kupeleka umbea kwa viongozi badala ya kutoa ushauri kuntu.

Pia naamini madhila mengi ambayo umeyatolea ufafanuzi yanatokana na sekta binafsi na mashirika ya dini. Basi ni muhimu kurusha jiwe katika eneo husika na sio kwa public sector. Rationing ya bei ianzie sekta binafsi.

Mhe. Waziri tumia vyanzo sahihi kupata genuine challanges na solutions katika sekta ya afya. Nashauri ukipata fursa au ukiamua kutengeneza fursa hebu waite waganga wafawidhi wa zahanati, vituo vya afya na hospitali (ngazi ya msingi) upate maoni yao ili kuja na Sera bora.​

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
All too shallow when not contradictory.

Sustainable healthcare financing ndio kusubiri ruzuku ya serikali ?
 
Back
Top Bottom