Waziri Ummy: Rushwa sekta ya afya inatisha imefika hatua Daktari anamuomba rushwa Daktari mwenzake. Nashauri JKCI ihamie Mloganzila

Waziri Ummy: Rushwa sekta ya afya inatisha imefika hatua Daktari anamuomba rushwa Daktari mwenzake. Nashauri JKCI ihamie Mloganzila

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema rushwa katika sekta ya afya imefikia hatua mbaya kwani sasa madaktari wanaombana Rushwa hata wao kwa wao.

Waziri Ummy amesema hili halikubaliki kabisa.

Aidha Waziri Ummy ameishauri bodi ya Kituo cha moyo cha Jakaya Kikwete kuhamia Mloganzila ambako wanaweza kujenga Hospitali kubwa na ya kisasa zaidi.

Chanzo: ITV
 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema rushwa katika sekta ya afya imefikia hatua mbaya kwani sasa madaktari wanaombana Rushwa hata wao kwa wao

Waziri Ummy amesema hili halikubaliki kabisa

Aidha waziri Ummy ameishauri bodi ya Kituo cha moyo cha Jakaya Kikwete kuhamia Mloganzila ambako wanaweza kujenga Hospital kubwa na ya kisasa zaidi

Source ITV
Kwahiyo yeye kama waziri wa afya, amechukua hatua gani kwa hao madaktari walioombana rushwa?
 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema rushwa katika sekta ya afya imefikia hatua mbaya kwani sasa madaktari wanaombana Rushwa hata wao kwa wao

Waziri Ummy amesema hili halikubaliki kabisa

Aidha waziri Ummy ameishauri bodi ya Kituo cha moyo cha Jakaya Kikwete kuhamia Mloganzila ambako wanaweza kujenga Hospital kubwa na ya kisasa zaidi

Source ITV
Madaktar wanafanya kaz kubwa mno nchi hii ambayo huwes tegea hata sku1 ial wanamishahara duni sana compared na hao wanasiasa na wengne. Na mwanya wa kula rushwa ni mdogo sabab wana deal na maskini daily . Kwahyo ummy rutubishen maslah ya madaktar achen maneno
 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema rushwa katika sekta ya afya imefikia hatua mbaya kwani sasa madaktari wanaombana Rushwa hata wao kwa wao

Waziri Ummy amesema hili halikubaliki kabisa

Aidha waziri Ummy ameishauri bodi ya Kituo cha moyo cha Jakaya Kikwete kuhamia Mloganzila ambako wanaweza kujenga Hospital kubwa na ya kisasa zaidi

Source ITV
SA100 ndiyo kayaleta hayo yote na kuyafikisha hapo
CCM NI MAFII
 
Madaktar wanafanya kaz kubwa mno nchi hii ambayo huwes tegea hata sku1 ial wanamishahara duni sana compared na hao wanasiasa na wengne. Na mwanya wa kula rushwa ni mdogo sabab wana deal na maskini daily . Kwahyo ummy rutubishen maslah ya madaktar achen maneno
Kinachomfanya mtu apokee rushwa sio mshahara mdogo ni kukosa utu na tamaa et milion1 .5 ndogo na walimu jee wasemeje na manese na tangu ln mshahara ukatosha
 
Madaktari wanaombana vipi rushwa wao kwa wao, wanakuwa na shida gani hao jamaa mpaka waombane rushwa?
Shida ya huduma. Mi nipo natokea tanga na mgonjwa wangu binafsi labda baba yangu nakuja MOI. Na hapo ndipo tulipofikia. Ila huu ukweli ukweli wa ummy utamcost soon.
 
Mwenye jukumu la kushughulika na wala rushwa anawafahamu akawape ushahidi wamalizane
 
Umenena busara tupu, aliingia bungeni kwa uchafuzi wa jiwe, na akakubali kuwa mbunge kwa rushwa... sasa moral authority ya kukemea rushwa anaitoa wapi? aione Erythrocyte
Nyie ndio maana huwa mnapuuzwa. Yaani nyie mkishindwa jambo lolote basi utasikia ooh rushwa, ooh mahakama hazitendi haki, oo tatizo katiba..
 
Back
Top Bottom