Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

Kuna hii collabo kati ya energy drinks na double kick au kisungura.

Unakuta kijana amemix energy drink na double kick ,akipiga funda anaweka chupa ya pombe mfuko wa shati alafu anawasha bodaboda anasepa zake kufuata abiria.

Akikaa tako Moja haligusi popote (anakaa upande) alafu mguuni ana malapa.

Njiani akipishana na magari anahisi anaendesha greda alafu magari anayaona kama makopo ya plastick.

Collabo ya bodaboda na visungura vilivyomixiwa na energy drinks inaua sana vijana kwa kweli.

RIP vijana wa Arusha,Chugastan Republic.
Ushapiga chemistry ya konyagi na ukwaju.....
 
Back
Top Bottom