Kinacho nishangaza ni kuwa inakuwaje RAIS MWENYEWE MAMLAKA HAJALI WATU WAKE?? NA RAISI KMA ANAWAONE WIVU WATU WAKE HASA MASKIN MAANA ANAWAPORA KILA KITU CHAO je shida iko wap na roho ya ubinafsi huo inakuwaje kwa watu amabao hata kipato Chao wengine ni kidgo sana na hata baadhi masikin ya MUNGU hawali milo mi 3 kwa siku unawakandamiza ila viongozi wapo wanamuwaza ZUHURA kuliko kazi walio pewa dhamna ya kuongoza wanajimilikisha wizara halafu KIONGOZI MKUUU YUPO TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.