Wewe Unaweza nipa sababu moja why Ceftriaxone inatumika Before surgery.????Sasa ni mfamasia gani hajui dawa gani zinatumika after surgery or before surgery kwa ajili ya prophylaxis?..
Kuwa serious mkuu.
Mimi sio doctor mkuu,..maybe umekosea kujibu reply.Wewe Unaweza nipa sababu moja why Ceftriaxone inatumika Before surgery.????
Au ndo umekariri kama Madoctor wenzio...
Sevoflurane chupa laki nne..pesa mingi hiyo..na maeneo hayo yenye pesa ndo utata unapokuja.Umemalizaaa... Mbona huwaga hawaingilii majukumu ya Manesiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kipindi ilianzishwa programme ya Mfamasia kuingia Operation rooms ili kumanage use ya Sedatives kama Sevoflurane na Isoflurane maana zilikuwa zinaibiwa sanaa yani Ilee vitaa achaa tuu madoctor walimind hasaaaaa.. Ndo maan doctor huwezi kukuta anangangania majukumi ya Nesi ila sasa likiia siala la DAWAA wanaumiaa rohoo sanaaaa kuona mfamasia anahusika na management ya dawaaa...
Why sasa hata baada ya Operation huwa anapewa??? Why asipewe tu post op???Mimi sio doctor mkuu,..maybe umekosea kujibu reply.
Ceftriaxone inatumika pre-op ili kuzuia infection(specifically,bacterial infection) kutokutokea baada ya operation.
Shida sanaaa hilo suala lililtea vitaa kali Mnoo.. Watu nyuzi walikuwa wanabeba sijui hizi Controlled ndo usiseme mtu anataka Akija achukue morphine anavyotakaa.Sevoflurane chupa laki nne..pesa mingi hiyo..na maeneo hayo yenye pesa ndo utata unapokuja.
Aisee nilishangaaBora wameifuta hiyo ADDO maana haingii akilini eti MD haruhusiw kuuza dawa mpaka awe na cheti cha ADDO wakat pharmacology yote ipo kichwan,tena mbaya Zaid unakuta Baadhi ya watu wanaopewa hiyo ADDO wengine ni form 4 failures.
Hapo ndipo huwa nawashangaa wanaosema eti Wafamasia hawajui magonjwa..bila kujua magonjwa utajuaje dawa na kuzitengeneza?.Sasa kama mfamasia ndiye anayejua zaidi elimu ya dawa na umekiri hilo sasa unadhan hatoweza kujua pathophysiology .Unadhani hio dawa imezalishwa basi kuelewa ugonjwa ? Lazima uhujue kwanza ugonjwa ndipo uangalia possible solution za kucombat hilo tatzo. Nenda hata kwenye drug discovery angalia pharmaceutical chemistry utajua atoms fulani ziwepo iliziwezeshe hii dawa ipite sehem fulan iwez kufany kaz inayotakiwa.Lazima ujue nature ya mdudu mfano membran yake content ni ipi ilidawa ipenye au anakitu gan kinawez sabab resistanc au kuongeza spectrum.
Sasa muulize MD why levodopa lazima iwe na combinationa na Carbidopaa..!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Maana ukute wanajua ni dawa mojaaa...Hapo ndipo huwa nawashangaa wanaosema eti Wafamasia hawajui magojwa..bila kujua magonjwa utajuae dawa na kuzitengeneza?.
Mfano ili utengeneze dawa kwa ajili ya kutibu Parkinson's disease ni lazima ujue yafuatayo(ambayo basically wafamasia tunayajua)
✓Parkinson's disease inasababishwa na kiwango dopamine kuwa chini kunakosababishwa na nerve cells zinazotengeza dopamine kufa..dopamine ni messenger kwenye brain kuco-ordinate body movements.
✓Sasa basi ili tuweze kutibu ugonjwa huu hatuna budi kuongeza kiwango cha dopamine kwenye ubongo...Watu wanaingia maabara wanatengeneza dopamine analogue na kuitengeneza in a sense that itafika kwenye ubongo vizuri kupitia kizuizi cha brain blood(BBB)..wanaongeza na kitu kingine ili isiweze kuvunjwa kabla haijafika kwenye ubongo.i.e wanaiongezea carbidopa..
Na hapo tunakuwa tumetengeneza dawa ya Parkinson's disease.
Ni matusi makubwa watu kusema Wafamasia hawajui magojwa au mwili wa binadamu unavyofanya kazi..Matusi makubwa.
Nawaza kizazi chenye madaktari ndo kinaishia (baba/mama zetu).Yani hata hizo prescription mnazoandika ni vitukoo sana mtu anakuja amaeandikiwa Ivermectin 500mg???? Yani unabaki unajiuliza hivi hawa madaktari google ndo inawafanya waamini wanajua kila kitu kuhusu madawa??? Mnadhani wafamasia hatusomi Microbiology?? Unadhani hatusomi physiology??? Yani hiyo anatomy nayo tumo ukiniambia Pundendo nerve sijui...triangular of the neck huko kote nimepitaa au Mnadhani hatuwezi kuchoma mtu sindano???? Kitu ambach9 hata teja anafanyaa ila sisi wafamasia tunaheshimu sana mipaka yetu ya Kazii japo vipo vingi tunavijuaaa leo Dr kusoma Pharmacology tena zile groups za dawa na kufanya mtihani wa Multiple choice unakuja kupiga kelelee Unazijua dawaa mara unataka usimamiee Pharmacy... acheni kujidai mnajua kila kitu mheshimu nafasi na wengine... Kundika prescriptin kusiwafanye mjione mnaweza kila kitu.
Duh[emoji848]Stereotype na wivu wa MDs ni upumbavu wanawivu sana na sasa hivi ndio wanatumika kuua watanzania kwa kuwandikia madawa ya kuwaua ili tu stock za dawa ziishe, nina hasira na hawa MD wanaandikia watu dawa ili ziwaue nenda private hospitals huko wanaua sana watu na hii NHIF ndio hatari wanakomoa ili wapate pesa nyingi wanatoa dawa za kuua na kuwapa ukilema watu, katika watu hawana huruma na vifo ni hawa MD. Waziri Ummy komesha huu uchuro wa MDs ni wachawi wa afya zetu.
T.Levodopa/Carbidopa 10mg/100mg OD 2/52Sasa muulize MD why levodopa lazima iwe na combinationa na Carbidopaa..!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Maana ukute wanajua ni dawa mojaaa...
Na asipoenda Google bhasi hana cha kujibuu...
Wizara ya Afya imebainisha hiviView attachment 2228561Huu mjadala ukiendelea bila kuainisha kazi za mfamasia kwenye sekta ya afya hasa hasa hospitalini ntawaona wote mnajikweza bila sababu ya msingi
Mfamasia atolee maelezo kuhusu majukumu yake hospitalini kulingana na taaluma yake alivyofundishwa chuoni
Na daktari nae aelezee majukumu yake
Kulingana na taaluma yake
Hujaeleweka mkuu......kuandika Levodopa carbidopa unamaana kwamba nawewe unajua dawa sio?hii si hata kwenye STG ipo au MedscapeT.Levodopa/Carbidopa 10mg/100mg OD 2/52...
Mkuu mbona mimi nimechangia kisomi sana !! wewe unawaza hela tu kwenye taaluma ![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhasi Mkimaliza Degree ya md mpewee na Degree ya Famasi.. Alafu wawaongezewe na Degree ya Nursing kwani kitu gani nurse anafanya wewe MD huwezi??? Kusafishaa Vidongaa..kulisha wagonjwaa...kuwanywesha dawa mbona rahisi sanaa Daktari hawezi shindwa hayoo... Ila hamtaki mnatakaa Mkae kwenye madawaa huko ndo mnakutamani balaaa madakatari bhana wew ulitaka Helaa sasa Udakatari ulisomea wa nini??? Lengo ni Dawaa zile mnazitamani balaaa muandike Alafu zingine mkanywe nyiee...mnahisi tunafaidi sanaa...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mfamasia akilipwa Milion ya Cheti wewe ukishinda kwenye Kipolyclinic asubuhi mpaka jioni ukaambulia laki 5 mwisho wa mwezi unaachaje kuwa na roho ya kwanini..roho ya kilonzi?? Yani lazima Muumiee roho tu ila poleni mtazoea vijanaa