Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania


Baada ya kukukosa kwenye huku MCT, bandiko lako limekosa maana, unajiita MD, MMED, PhD wakati hautambuliki, maana we ni Dr wa mchongo.
 
Basi tuongee na Mzee Bashe ili wamiliki wa maduka ya dawa za mifugo na mimea wasome ADDO. Maana huku mtaani tunakula sana sumu zinazotokana na utumiaji mbaya wa pesticides katika mazao na dawa za mifugo hivyo kupelekea watu kuugua.
 
Mie nashauri ...kila mtu afanye kazi yake ....daktari aandike hizo prescription...
Mfamasia agawe dawa ....kwa kufuata prescription.... na kutengeneza dawa (hii kwa tanzania bado sana)

Prescription only medicines zisitolewe bila cheti cha daktari (hii haifuatwi sana nchini kwetu ) ...Controlled drugs tu ndio wapo makini nazo
 
Mteremko wa Addo umefutwaa mnaanza kulia liaa...!! No shortcut vinajaa rudini darasanii kama ambavyo mnasema hatuyajui magonjwa bhasi na nyie Dawa hamzijui vile vileee...
Lol, taifa linaweza ishi bila wafamasia, Ila haliwezi ishi bila madaktari. Shika adb
 
Lol, taifa linaweza ishi bila wafamasia, Ila haliwezi ishi bila madaktari. Shika adb
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijana nchi hii haiwezi kuishi bila wanasiasaa sisi tuendelee kupoteza mudaa tuu hukuuu...!! Daktari huko vijijini hawajawahi hata kumwona ila wana Mbunge..diwani...mwenyekitii...
 
Madaktari wa bongo faka sana na wanatakiwa wawe regulated to the maximum, sitasahau kuna Dr mmoja tena Prof alinipa diagnosis fake ya kipumbavu na nusu inimalize kwa ajiri ya madawa niliyopewa kutibu ugonjwa ambao ulikuwa fake, sitasahau hilo
Pharmacy wakijaga lazima waulize tenaa Hivi hizi Dawa za Ugonjwa gani??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] maana madoctor wa mchongoo sanaaa..
 
Unachotakiwa kufahamu Mtoa mada kila Taaluma ina eneo lake la kufanya kazi kwa mujibu wa Sheria.

Suala la kutoa dawa ni eneo la Kisheria kwa Kada ya Famasi Ulimwengu mzima. Mafunzo ya ADDO yaliletwa na Mpango maalumu wa kusaidia upatikanaji wa dawa za msingi katika maeneo mengi ya nchi. Kisheria hakuna anayeruhusiwa kutoa dawa unless anatambuliwa na Baraza la Famasi. Baraza la Famasi lina Mamlaka ya kuamua nani awe nani asiwe mtoa dawa.

Kuhusu kwamba Wafamasia hawawezi kutoa dawa on their own hii inaonesha upeo duni ambao mtoa mada unao. Nchi mbalimbali zina mifumo ya kuruhusu Wafamasia na kada zingine mbali ya madaktari kufanya prescribing. Wanaruhusiwa ku prescribe kwa sababu Elimu wanayopata Vyuoni inawapa uwezo kubaini magonjwa na kwa kuwa Wana ufahamu mkubwa wa dawa basi wanaweza kutoa dawa hizo.Ushahidi kwa nchi ya Uingereza ni huu hapa.


Nurses and pharmacists can prescribe as effectively as doctors - NIHR Evidence

Did you know that when it comes to prescribing medication, nurses and pharmacists can do it just as effectively as doctors can?
evidence.nihr.ac.uk
Hapa Tanzania hatujawa na guidelines za kuruhusu Wafamasia au Wauguzi kuanza kuandika vyeti vya dawa kwa Wagonjwa. Hata hivyo zipo Kanuni za Makundi ya Dawa ( Scheduling of Medicines) ambazo zimegawanya dawa katika makundi 10. Kanuni hizo za mwaka 2015 zilizofanyiwa marekebisho mwaka 2018 zimegawa dawa katika makundi 5 ya dawa za binadamu na makundi 5 ya dawa za mifugo.

Kwa dawa za binadamu makundi hayo ni
Schedule 1: Controlled na Psychotropic medicines
Schedule 2: Prescription Only Medicines
Schedule 3: Pharmacy Only Medicines
Schedule 4: General Sale Medicines
Schedule 5: Human ADDO Prescription Only medicines

Sasa ukienda Schedule 3 ya makundi ya dawa, imegawanyika katika makundi mawili, Behind the counter medicines , hizi ni aina ya dawa ambazo hazihitaji cheti cha Daktari ola lazima zitolewe na Mfamasia na pia kuna Over the Counter medicines ambazo hazihitaji cheti za Daktari wala kuhitaji Mfamasia azitoe. Sasa kwa mujibu wa Schedule 3 ya Kanuni za makundi ya Dawa za Tanzania , Mfamasia anazo dawa nyingi sana anazoweza kuzitoa kutokana na umahiri wake katika dawa bila ya kuhitaji cheti cha Daktari
 

Sawa hata dr alie deep kazi za mfamasia anazifanya bila tabu japo at
Azidiwa kdgo na mfamasia
 
Anyanganywe huu uprofesa wake wa mchongo...andiko hili limemuacha uchi sana.
Anavyosema manesi wanazijua "wengi hawajui hata isotonicity " mbaka waphamacia tuwafanyie compounding.

Nesi mwingine namkuta anamazoea ya kuchoma watu penadour IV namwelewesha analeta ujuaji siku moja bado kidogo mgonjwa aukate ndo akaelwa namaanisha nini.
 
Kaa dirishani subiri prescription ufunge dawa umpe mgonjwa, huna basics za kutibu ugonjwa.
 
Ahahahah wafamasia ujuaji mwingi sana.
Kama tu uwezo hata wa kutake history ukatoa diagnosis na DDx zake sasa utaprescribe nini?

Wao wakae dirishani watoe dawa kulingana na prescription pia wasisahau kuwasha friji ili dawa zitunzwe vizuri na MSD wakileta dawa wasisahau kuvaa shati nyeusi wakashushe mabox ya dawa.
 

Mtoa mada hajui chochote kuhusu taaluma ya ufamasia. Si kweli kwamba wamafamasia kazi Yao ni kutengeneza tu viwandani, kwanza kwa Tanzania hata hivyo industrial pharmacy bado sana. Pili wafamasia kwenye mitaala Yao Wana course ya pharmacology inayo deal na drug administer, pamoja na magonjwa mbalimbali na viwango vya dozi ya huo ugonjwa. Na pia still wanasoma basics za pathology so wanajua dalili za magonjwa.
 
Kaa dirishani subiri prescription ufunge dawa umpe mgonjwa, huna basics za kutibu ugonjwa.
Wewe mbona unaililia hiyo kazi ya kukaa dirishani. Unataka nini huko?
"Kutibu mgonjwa" bila dawa utaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…