Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Naomba nikuulize kitu, katika hayo yote sijaona umeandika Pathophysiology. Kama hukusoma Pathophysiology, utasemaje unaweza kugundua dalili za magonjwa?


Kazi Diagnosis ya Mgonjwa ni ya daktari usitake kupoteza muda kwa ubishi hapa ndugu. Kazi ya Mfamasia kutoa dawa from the store or dispensing room kwa maelekezo ya daktari. Kama Doctor's prescription unatoaje dawa?
 

Usipojua ugonjwa utatoaje dawa? Ugonjwa utaujua kulingana na dalili kwa kuthibitisha na vipimo.

Kwa mantiki hiyo Mfamasia hajasoma magonjwa na dalili zake?

Kwako Prof Koboko
 
Usitafute sifa! Huyu mwandishi yuko sahihi kabisa! Siyo kazi ya mfamasia kugawa dawa kwenye maduka na vidirisha. Hiyo ni fact na iko wazi. Mfamasia hawezi kuwa na kazi ya kutoa dawa kwa wagonjwa mitaani, halafu hospitalini hahusiki. Mfamasia hawezi kutoa dawa za vidonge tu, sindano iwe ni kazi ya nesi. Hiyo ni kujichanganya na kutafuta pesa mitaani ikiwa ni hatari kwa wagonjwa.

Wafamasia fanyeni kazi za kuchanganya madawa na kutafuta dawa mpya za magonjwa na kuzitengeneza. Kama hamuwezi kutengeneza dawa, ninyi ni bure kabisa!!!! Wafamasia kutoa dawa ni kudandia kazi isiyowahusu.
 
Kwa hiki ulichoeleza hapa upo sahihi, kwa knowledge ya pharamacology ya daktari hawezi kujigamba kwamba anajua complexities zote zinazohusu dawa ikiwemo kiwango na namna inavyopaswa kutolewa na any variations zinazoweza kujitokeza.

na pia kama ulivyoeleza kuna swala la drug interactions ambapo dakatari anaweza kuandika mchanganyiko wa dawa ambao wewe pharmacist kwa uelewa mpana ulio nao ukaona amefanya kituko.

Kwa hiyo naunga mkono hoja kwamba kila mmoja atambue na kufanya majukumu yake kwa lengo la kuleta ufanisi zaidi badala ya kushadidia vitu ambavyo una uelewa wa juu juu tu au ule wa kawaida.
 
Huyu pimbi hana adabu kaandika utumbo mtupu mbona anawivu sana na wafamasia huyu kibwengo, asilete uchawi ana akili za kikuda kidwanzi mtopolo.

MD wanachuki, dharau na wivu kwa wafamasia. Ummy wakazie hawa vibwetere uchwara songa mbele wape nafasi wafamasia watumike ipasavyo
 
Bora wameifuta hiyo ADDO maana haingii akilini eti MD haruhusiw kuuza dawa mpaka awe na cheti cha ADDO wakat pharmacology yote ipo kichwan,tena mbaya Zaid unakuta Baadhi ya watu wanaopewa hiyo ADDO wengine ni form 4 failures.
Wizara ya Afya imekaa kishenzi tu! Nasema hivyo kwa sababu ya majivuno ya kitaaluma waliyonayo ambayo yanasababisha wote ndani ya taaluma ya afya kudharauliana. Ni tangu hospitalini hadi wizarani wana maisha ya kishenzi, na ndo maana hatufiki mbali ktk huduma za Afya.

Ukiwa hospitali, daktari, nesi, mfamasia wote ni maringo ya kujiona ni bora kuliko mwingine. Sooo stupid characters. Mbona upuuzi huu hatuuoni ktk nchi zilizoendelea? Wizarani pia ni hayo hayo! Hata wakipelekewa waziri asiye daktari wanaona kama imekosewa. Miaka mingi walipewa madaktari wakaishia kuiba pesa na kuleta chanjo feki!
 
Hiyo hoja hakuna inayomfanya superior! Kila taaluma ni muhimu na hizo taaluma zinategemeana! Hakuna anayeweza kusimama bila mwingine.
 
Stereotype na wivu wa MDs ni upumbavu wanawivu sana na sasa hivi ndio wanatumika kuua watanzania kwa kuwandikia madawa ya kuwaua ili tu stock za dawa ziishe, nina hasira na hawa MD wanaandikia watu dawa ili ziwaue nenda private hospitals huko wanaua sana watu na hii NHIF ndio hatari wanakomoa ili wapate pesa nyingi wanatoa dawa za kuua na kuwapa ukilema watu, katika watu hawana huruma na vifo ni hawa MD. Waziri Ummy komesha huu uchuro wa MDs ni wachawi wa afya zetu.
 
Kuna uzi humu umeongelea mfumo madaktari katika sekta ya afya unaua sekta ya afya..na hichi ndicho kanichoonekana.

Hao jamaa wamechangia sana kuua sekta ya afya nchini..wengi sasa wamebakiza kuhodhi madaraka na ila hawa output yoyote ya maana.

Mfumo wa afya ubadilishwe..tofauti na hapa kila siku ni business as usual tu...kutoka kwa hawa incompetent MDs

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Kazi za pharmacist wewe???....

Kitu kidogo kama compounding hajui hayo Mambo mengine atajua
 
Sasa mkuu, pharmacist anachotakiwa ni kuhifadhi dawa au kubainisha aina ya dawa na kuitoa kwa mgonjwa? maana haya mambo sasa yanaanza kuleta msigano.
MDs ni washenzi na wivu wao wa kichawi hawana lolote.
 
Wewe bwana mimi ni Mtanzania ninayeishi South Africa, nimesajiliwa huku ingawa nafundisha madaktari and soon nitaanza kufundisha huko na pia Tanzania namiliki hospitali. Wanaonijua wapo humu humu hawaongei.

Shut up!!
Kwenye hicho chuo unachofundisha hamna kozi ya Famasi?

Kama ipo fanya utafiti wa mtaala wake ili ujue Wafamasia waajifunza nini, halafu uje uweke kipengele hicho kwenye bandiko lako.

Hospital yako inaitwaje? nipe kazi basi hapo
 
Kwanza kabisa pamoja kubeza elimu yangu na kunitukana sana, nikiri kusema tu kwamba Wafamasia nchini Tanzania ni MZIGO KWA TAIFA.
Sijajua wanaobisha humu ni wafamasia kweli au wengine ni Mafundi sanifu wa dawa na Dispensers ambao kimsingi mjadala huu is beyond their capacities.

NISIKIKIZENI KWA UFUPI PENFINGINE HAMSOMI ANDIKO LANGU LOTE.
Nimesema hivi.......

1.Pamoja na kwamba wafamasia wanasoma anatomy,microbiology, Physiology nk, hivi ni basic knowledge pale wanapotakiwa kusoma therapeutics, mechanisms of actins za dawa kwa wadudu mwilini. Hii siyo knowledge ya kumfanya Mfamasia ajue mgonjwa anaumwa nini, yeye siyo daktari anayeweza kufanya Diagnosis.

2.Nimesema kwa nchi za Wenzetu hata hapa SA 80% of pharmacists wako viwandani kutengeneza dawa na wengine kwenye Godowns za kuhifadhia dawa and rest of them 20% wako mahospitali kusaidiana na madaktari kwenye kufadhi na kutoa dawa. Kwakua Tanzania hatuna viwanda vya vya kutosha vya kutengeneza, Wafamasia wengi hawana kazi wapo kwa ajili ya kuuza vyeti vyao kwa wale wanaotaka kufungua madawa, hata hizi ADDO ni kwa sababu wengi hawana kazi za kufanya wanatafuta kupiga tu pesa. Wanapoona nesi au daktari ana kufika cha dawa basi wanachanganyikiwa na kupanic wanaona kama wanaporwa ulaji wao.

3.Nimesema kua kazi ya Daktari ni kusoma magonjwa na kuyabaini, anasoma Pathophysiology jinsi ugonjwa unavyoingia na kuenea mwilini kwa dalili pamoja na kutibu either kwa dawa au Upasuaji. Sawa unaposema Mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa moja kwa moja bila cheti cha daktari l, amesomea wapi magonjwa na dalili zake? Anatomy and physiology ndio zinawafanya waweze kutibu?
-Mfamasia anaweza hata kuchoma sindano?
-Mfamasia anaweza kupasua hata jipu na anajua baada ya upasuaji ni dawa gani itolewe?
-Nesi yupo zaidi kwenye kutoa dawa na uangalizi wa mgonjwa anayetibiwa.
 
MDs ni incompetent wengi sana yanasoma theory tu hayana kitu yamejaa wivu tu, Hio cannibalism waikubali haikwepeki MDs kaeni huko mahospitalini
 
Kwenye hicho chuo unachofundisha hamna kozi ya Famasi?

Kama ipo fanya utafiti wa mtaala wake ili ujue Wafamasia waajifunza nini, halafu uje uweke kipengele hicho kwenye bandiko lako.

Hospital yako inaitwaje? nipe kazi basi hapo
Nimekuambia wanayojifunza ni basics tu kwa ajili ya therapeutics na sito kubaini magonjwa. Kozi 99% imejikita kwenye utengenezaji na uhifadhi wa dawa. Kujipa kazi ya biashara ya dawa ni Tanzania tuu kutafuta ulaji ila kwa wenzetu haya hayapo.
 
Wewe naye ni fake tu, daktari asijue namna dawa inayotolewa wakati ndiye anayejua ugonjwa na wadudu wake na kutoa Orders kwa Mfamasia atoe dawa leo unasemaje hajui?
 
Wewe bwana mimi ni Mtanzania ninayeishi South Africa, nimesajiliwa huku ingawa nafundisha madaktari and soon nitaanza kufundisha huko na pia Tanzania namiliki hospitali. Wanaonijua wapo humu humu hawaongei.

Shut up!!
Umeongea uchuro tu huna tofauti na mende MDs wapumbavu fulani tu tokeni acheni uchawi acheni uchawi, Endeleeni kutoa mimba za wanawake na watoto wa shule.
 
Huyu kaandika Kwa kifupi tuu...ila kapitie carriculum ya pharmacist ipoje

Alafu usiende direct kwenye conclusion,Nenda kaangalie

Responsibilities of Pharmacist in Hospital setting......ukijua HUTAKAA UONGEE UJINGA HUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…