KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mfamasia hana lazima ya kuwepo, kwa sababu kuna Anaesthesiologist, ambaye anahusika na dawa za usingizi katika upasuaji.Katika list ile kuna dr zaid ya mmoja ambapo mwingine anakuwa msaidiz kisha hapo nurse lazma
Ila mfamasia hapo hausiki ila tu kama patakuwa na uhaba basi ataingizwa Naye ila sio sehemu yake
Prof. Mtulia IWafamasia Tanzania wanaonekana hawana tofauti na wauza mizizi na magome ya dawa za kienyeji .
Angalau babu Dr. Idris Mtulia alijitahidi na kuacha legacy ktk fani ya pharmacology:
Pharmacology & therapeutics: A manual for medical assistants and ...
Pharmacology & therapeutics: A manual for medical assistants and other rural health workers (Rural health series) [Mtulia, I. A. T]
Wafamasia wanashindwa kueleweka umuhimu wao ktk jamii ya kiTanzania tofauti na fani zingine zinazoheshimika na kufahamika kama za manesi na madaktari wa binadamu . Na hii inajionesha Hata ka website cha school of pharmacy MUHAS Publications kana sikitisha.
Tatizo ni moja.Leave the drug to the pharmacist...!! Sasa mtu anataka Dr akakae pharmacy kisa tu amesoma pharmacology semister 2...[emoji28][emoji28] sisi tunasoma mpaka Infusion rate...incase kuna toxicity what to do kucalculate dose sahihi incase lower dose inahitajika than available dose.. Leo mtoto ana haeart failure anaandikiwa digoxin 0.0625mg lakini kuna kidonge cha 0.5mg hapo Dr kacalculate tu ila sasa unapataje hiyo dawa digoxin 0.0625mg??? Hapo ndo tunarudi kwenye suala la why mfamasia ni muhimu... Mahospitalini siku hizi Polypharmacy imejaa mtu anamanage PUD na Malaria mgonjwa anaandikiwa dawa karibu 7 hukoo mfamasi ukiwa kilazaa utataoa tu dawa hapo tunasema mfamasia kazi yake sio kutoa Dawaaa tu mfamasia ana majukumu mengi yahusuyo dawa mabapo hakuna namna Dr anaweza yatekelezaa... Management ya magonjwa mengi ni changamoto na wagonjwa hawaponi japo wanatumia pesa nyingi kununua madawa sababu Dr anajiona anajua kila kitu. Mgonjwa anaweza kuja famasi na prescription ina list ya dawa karibu 7 au unakuta ni Mtoto ila Dr dawa alizomuandikia unabaki kushangaaa.. Haya yote hayawezi kukoma kama dr anadhani anajua dawa vizuri kuliko mfamasia
Wewe huna lolote unalolijua na ni kazi bure kupoteza muda kwa mtu kama wewe.Usitafute sifa! Huyu mwandishi yuko sahihi kabisa! Siyo kazi ya mfamasia kugawa dawa kwenye maduka na vidirisha. Hiyo ni fact na iko wazi. Mfamasia hawezi kuwa na kazi ya kutoa dawa kwa wagonjwa mitaani, halafu hospitalini hahusiki. Mfamasia hawezi kutoa dawa za vidonge tu, sindano iwe ni kazi ya nesi. Hiyo ni kujichanganya na kutafuta pesa mitaani ikiwa ni hatari kwa wagonjwa.
Wafamasia fanyeni kazi za kuchanganya madawa na kutafuta dawa mpya za magonjwa na kuzitengeneza. Kama hamuwezi kutengeneza dawa, ninyi ni bure kabisa!!!! Wafamasia kutoa dawa ni kudandia kazi isiyowahusu.
Sema unachojua. Ukishindwa kutengeneza dawa unaishia kujipa kazi ya kugawa dawa. Unahitaji kujua kemia ili kugawa madawa? Ingieni viwandani, tengenezeni dawa. Kugawa dawa waachieni technicians.Huna unachojua Kuhusu pharmacist
Umeona walivo wagumu kuelewa had huku Jamvini, na ndivyo jinsi ambavyo hawajui kutengeeza dawa,Sema unachojua. Ukishindwa kutengeneza dawa unaishia kujipa kazi ya kugawa dawa. Unahitaji kujua kemia ili kugawa madawa? Ingieni viwandani, tengenezeni dawa. Kugawa dawa waachieni technicians.
This man is heavypointlessEeeeh, kumbe unajua anasoma kemia ya dawa, wewe unadhani huo ni urembo? Kwa kuwa hujui maana yake (yaani ni mjinga juu yake), basi ndiyo iwe sababu ya dunia kufuata ujinga wako?
Sheria pote duniani zinasema, teknisian ni lazima afanye kazi chini ya uangalizi wa famasia.Sema unachojua. Ukishindwa kutengeneza dawa unaishia kujipa kazi ya kugawa dawa. Unahitaji kujua kemia ili kugawa madawa? Ingieni viwandani, tengenezeni dawa. Kugawa dawa waachieni technicians.
EeeenHeeee Heee!This man is heavypointless
Hivi mfamasia kazi yke ni kutengeneza dawa...na wale wanaitwa pharmacologists je?Mwamba ngoma huvutia kwake.
Mwambie MD atengeneze dawa km ataweza.
Naijua famasia, naijua kemia, naijua kemia ya madawa! Inapokuja kwenye kazi hapo huhitaji kutufundisha. Yaonekana wafamasia wengi munashindwa kuitumia elimu ya kuzalisha madawa, badala yake ni kushinda kwenye vyumba na kujiita ni pharmacist! Viduka munaviita ni pharmacy badala ya dispensing room. TENGENEZENI MADAWA, FINITO!Eeeeh, kumbe unajua anasoma kemia ya dawa, wewe unadhani huo ni urembo? Kwa kuwa hujui maana yake (yaani ni mjinga juu yake), basi ndiyo iwe sababu ya dunia kufuata ujinga wako?
Duniani wapi?? Nchi gani ina ADDO?Sheria pote duniani zinasema, teknisian ni lazima afanye kazi chini ya uangalizi wa famasia.
Kama daktari anataka kufanya kazi ya kugawa dawa, kama teknisian, basi akubali kufanya kazi hiyo chini ya uangalizi wa mfamasia. It is as simple as that.
Hujui kitu. Ungejua famasia usingeonyesha ujinga wote huu unaouonyesha hapa.Naijua famasia, naijua kemia, naijua kemia ya madawa! Inapokuja kwenye kazi hapo huhitaji kutufundisha. Yaonekana wafamasia wengi munashindwa kuitumia elimu ya kuzalisha madawa, badala yake ni kushinda kwenye vyumba na kujiita ni pharmacist! Viduka munaviita ni pharmacy badala ya dispensing room. TENGENEZENI MADAWA, FINITO!
Hizo habari za ADDO unazijua wewe, mimi ninakueleza kitaaluma hapa.Duniani wapi?? Nchi gani ina ADDO?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhasi Mkimaliza Degree ya md mpewee na Degree ya Famasi.. Alafu wawaongezewe na Degree ya Nursing kwani kitu gani nurse anafanya wewe MD huwezi??? Kusafishaa Vidongaa..kulisha wagonjwaa...kuwanywesha dawa mbona rahisi sanaa Daktari hawezi shindwa hayoo... Ila hamtaki mnatakaa Mkae kwenye madawaa huko ndo mnakutamani balaaa madakatari bhana wew ulitaka Helaa sasa Udakatari ulisomea wa nini??? Lengo ni Dawaa zile mnazitamani balaaa muandike Alafu zingine mkanywe nyiee...mnahisi tunafaidi sanaa...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mfamasia akilipwa Milion ya Cheti wewe ukishinda kwenye Kipolyclinic asubuhi mpaka jioni ukaambulia laki 5 mwisho wa mwezi unaachaje kuwa na roho ya kwanini..roho ya kilonzi?? Yani lazima Muumiee roho tu ila poleni mtazoea vijanaaMungu ibariki Jf , huu uzi umefungua mambo mengi mno , kiasi ambacho kama serikali ikiusoma tunaweza kurudi na kubadilisha baadhi ya mambo kwenye sera , nimependa sana Wachangiaji kuliko hoja nyingi za mleta uzi .
Japo kuna kila mtu kuvutia kwake , lakini mwisho wa siku kunahitajika mabadiliko , maana kama Daktari anaruhusiwa ku Prescribe inawezekanaje akakatazwa kuuza dukani ( yaani anakatazwa kuweka dawa kwenye bahasha na kumpa mgonjwa nje ya hospitali ) ? ni lazima miongozo iwe twisted somehow .
Hao lengo lao wawe karibi na dawaaa mkuu wapigee helaa ndo akili zaooo.. waanzishe famasi kama maduka ya ya machingaa sababu wamesoma MD bhasi wauzee dawa kama njuguuu..!! Ni watu flani wenye Akilii za ovyooo sana ambao wanawaza helaa zaidi kuliko kitu chochote walidhani ukiwa MD bhasi ndo ushakuwa tajiri kumbe hawakujua hawakujuaaa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huu uzi umeanza kuwa wa kipuuzi tu uliposema kuwa Wafamasia hawasomi magonjwa na hawajui "wadudu" kama ulivyosema mwenyewe.
B.pharm student anakaa darasani anasoma
✓microbiology and parasitology.
✓Applied microbiology and pasitology.
✓Pathology
✓Clinical pharmacy
✓Therapeutics.
Then wewe unasema hawajui magojwa,parasites na microorganism wanaosababisha magonjwa..you must be kidding.
Wafamasia shule wanayo kubwa sana..na huwa hawakai dirishani kufanya dispensing..hiyo ni kazi ya pharmaceutical technician au pharmaceutical assistant.
Sasa ni mfamasia gani hajui dawa gani zinatumika after surgery or before surgery kwa ajili ya prophylaxis?..Unajua kwamba pharmacist anasoma CLINICAL PHARMACY......
Nakuomba nenda kaangalie contents ya hii kozi pharmacist almost anasoma for 4 semister