Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

ni assumptions zako tu.usilolijua ni usik wa kiza huend wanapendana sana
 
unasahau kwamba yeye ni kiongoz na anahitah
jika kuhamasisha mazoez. ni saihi kwa hali ya sasa mazoez ya kuchoma oxygen ni muhim.oxidation aerobic na vitu kama hivo.
hapo anahamasisha kama kiongoz
Kiongozi nime kuelewa next time muwe na maji mkononi pia!
 
Poa poa muda huu yupo ana download Snapchat mta mkoma!
Jaribu kusema kwa ile sauti yake asalaamu leko bwana yesu asifiwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…