Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Safiiii haaa, couple nzuri sana hii, wanafanana alafu kama twins.. Ila Field Marshal mie namkubali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hapa Mh. Rais kapata jembe kweli kweli.. Hapa ndio utajua kumbe Ummy ilikuwa sio kabisa ktk wizara hii ya Afya, hakuenea, maana Field Marshal anashuka jumla jumla, alafu Katibu Mkuu Wizara ya Afya ni Prof Mchembe, yaani vichwa vitupu, wizara imenyooka hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nawaza hii couple mume lazima atakuwa submissive tu kwa Field Marshal..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poa poa muda huu yupo ana download Snapchat mta mkoma!
Jaribu kusema kwa ile sauti yake asalaamu leko bwana yesu asifiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah we're lol
 
Lakini nipo single mama,,, kwahio mambo yangu yte yapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushindwee wee tyuuh, na unajua sie huwa hatuombi hela wanaume, yaan mwanamke anatafuta hela ya kula, mwanaume hela ya maendeleo. Kwahiyo kuwa na amani baba.
 
Mwanamke ana sura ngumu huyu.
🤔🤔🤔
Duh mbn mzuri...sana
Hawa ndiyo wake wa kuoa
Mm nikioa tena ntaoa mwanamke aina
Hii...
Mvute sura kwa hisia vizuri yuko poa sana
Siyo tunawakimbilia wanawake kama wakina sptumobto....ndomana ndoa zetu zinaishia njiani
mama D

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Bad Hombre unaweza kumwona huyu ana sura ngumu sababu hapitagi saluni
Hana nywele wala kope bandia huyo na hana makeup hapo... hamna lipstick, wanja wala chochote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushindwee wee tyuuh, na unajua sie huwa hatuombi hela wanaume, yaan mwanamke anatafuta hela ya kula, mwanaume hela ya maendeleo. Kwahiyo kuwa na amani baba.
Wacha nijisogeze kunako mema ya nchi, na haka kamvua ka leo 😍
 
Mbona unachanganya sasa mara wizara ya Elimu, mara wizara ya Afya, sasa tushike lipi?
Kweli nmehamisha vbaya kilichopo kichwan kwenda ubaon. Nimerekebisha ni wizara ya afya
 
Kwahiyo wee upo kwa ajiri ya mvua tyuuh, ikiisha na case kwisha, oooooh hapo sasa watoto wa kingoni utawakosa daily.
Hapana hio ni kibwagizo tu, mi ni muwekezaji wa kudumu ikiwa mazingira ya uwekezaji yatakuwa hayaniumizi.
 
Hapana hio ni kibwagizo tu, mi ni muwekezaji wa kudumu ikiwa mazingira ya uwekezaji yatakuwa hayaniumizi.
Kwahyo wee unapenda tyuuh faida ila sio hasara? Sasa kuna uwekezekaji wa hivyo?
 
Nashangaa sana watu mnaoponda na kukashifu, alichokusudia ni kutoa mfano kwa watu yeye kama kiongozi, hakutaka kuishia kwenye mazungumzo tu bali alitaka awaonyeshe kwa matendo pia. Mwaka jana kipindi corona ndo inaanza rais museveni alipofunga gym na kuzuia watu kufanya mazoezi kwenye mikusanyiko, yeye mwenyewe alirelease video ikimuonyesha akifanya mazoezi sebuleni kwake, mbona watu hamkuongea. Wabongo michosho sana ..
 
[emoji848][emoji848][emoji848]


Bad Hombre unaweza kumwona huyu ana sura ngumu sababu hapitagi saluni
Hana nywele wala kope bandia huyo na hana makeup hapo... hamna lipstick, wanja wala chochote
Wanawake wa make up sinaga stim nao sahv
Sijui kavaa wigi mara kope
Kaweka mikucha kama dracula wa nn hao

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom