Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Kwa wale msiojua wanaume wakisukuma msimshangae huyo wakili. Ni watu wapole na hawana papara. Wanachukulia poa mambo mengi hasa kwa wake zao. Ni wapole kijumla na wasikivu. Wanajari pia. Ni wazur kuendeshwa na wake zao. LAKIN MKE ASIOMBE MSUKUMA AMLIPUKIE! Maamuz yote magumu yasiyofikirika wala kutarajika atayashuhudia ana kwa ana siku hiyo. Wanalipuka vibaya mno. Akiondoka kimya kimya na kuacha kila kitu mke ana bahat huyo.
 
Halafu nyie jamii ya Mitandaoni huwa mnaanzisha story za hovyo hazina evidence yoyote.

Hivi unajua Vetting ya Waziri inavyofanywa. ? Vetting ya level hizo huwa ni za kufa mtu kwa wewe unaweza hata kuukataa uwaziri.

Wakati mwingine unatongozwa na kutiwa kama sehemu ya vetting. Kama Wewe ni mwanaume basi mke wako anaweza kutokewa na akiingia kwenye laini watu wanakula kama sehemu ya vetting . Wewe, unazungumza vetting ya kujua Kama akili yake ipo sawa au lah haikufanyika vyema , yaani Wewe inabidi tukuweke kwenye mental institution, akili yako haipo sawa.

Mlishawahi kusema vetting ya JPM haikufanyika vyema, hivyo sio mtanzania. Wengi wanaoandika huo upuuzi ni watu ambao hawajawahi hata kupitia utumishi wa Umma.
Wewe tukikufanyia vetting, tutajua hata kama ulishawahi kuingiliwa kinyume na maumbile, tunajua, seuze hilo la Afya ya akili .

You are not serious
Tofautisha vetting na betting mkuu. Kinachofanyika Tanzania ni betting.
 
Nimezitama hizo picha na kugundua haya:

1. Lengo sio kufanya mazoezi, lengo hapo ni kupiga picha. It is a staged photo.
2. Muonekano unaonyesha kuwa sio watu wa mazoezi.
3. Body language inaonyesha hawana ule muunganiko wa kimapenzi baina ya mke na mume au mtu na rafiki yake wa
karibu. Hakuna chemistry baina yao.
4. Mama inaonekana anamburuza mwenzake.

HITIMISHO LANGU.
Uhusiano wao huenda una shida kubwa mahali fulani na hili ni jaribio la kutafuta kufunika shida isije ikaonekana.

USHAURI WANGU KWA DR. GWAJIMA
-Achana kabisa na mtindo wa maisha yako binafsi kuyaleta mbele ya kamera, gharama yake ni kubwa huko mbele ya safari.

-Ukiamua kuwa mwanasiasa basi jifunze kuishi kama mwanasiasa. Usitamani kuishi kama mtu maarufu wakati bado unajifunza kuwa mwanasiasa.
Hayo ni kwa mujibu wa maoni yako na fikra za wabongo..siku alipomtaja mume wake kama mpenzi wake bungeni bila kuwepo mliponda sana..leo yupo nae bado mnasema ooh hawana mahusiano mazuri..unajua wana muda gani katika mahusiano yao?? Unajua kanuni walizojiwekea katika mahusiano yao..? Kwani mtu kumsapoti mwenza wake katika kampeni yoyote ni dhambi.?

Unaposema sio watu wa mazoezi umeshawahi ona motion ya gwajima? Ukimcheki huyo mshua unaona kabisa yupo fit..kwa watu wa umri wao na maradhi ya sasa wasingekuwa hivyo.

Wabongo wanatatizwa na chuki, wivu na nongwa..ndio maana hamuishi kupata radhi.
 
Wewe mama wa nyumbani au muajiriwa unamishe yako kama mnavyosema wenyewe, unachakarika kuna leo kuna kesho siyo ?
Mama wa nyumbani yupoje! Acha dharau unajua kutunza familia nikazi kubwa sana kuliko mhudumu wa ofisi anayeshinda na makaratasi kuliko mke nyumbani watoto 3, uhakikishe kila kitu kinaenda na baba yao pia, mie kama kazi ya kuajiriwa au kujiajiri Mme lazima anipe mshahara
 
Wake zao wabovu hawana elimu wala mbele na nyuma hata wanaume wanaomponda wana cv mbaya tu hawajamkuta huyo mother kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuwaulize lini wameongozana na wake zao hata kariakoo! Ukifika majumbani mwao wake utazani house girl haaa haaa, kuna baba alikuwa na duka lake sasa alikuwa na manato kweli, sasa wakapita mastaff wenzie dukani wakamkuta mkewe haaa haaa, siku nyingine wanamuuliza tulipita dukani tukamkuta mfanyakazi wako mamaaaa weeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanataka wanawake ambao hawajasoma ili wawaburuze Kama wajinga.
Waliosoma wanajitambua,hawaburuzwi kizembe.
Wakawaburuze shangazi zao na dada zao, siku hizi hata aliyeishia form four haburuzwi hovyo akikaa vibaya hata mabanzi anapewa
 
Sasa cha ajabu ummy mtaalamu wa sheria ila alihudumu vizuri wizara ya Afya, huyu mtaalamu wa Afya wizara husika inamleta tafrani lol.
Jamani mama Dorothy hata miezi 6 bado daa wabongo hapana mnamambo kweli
 
Nilikuwa simjui Mr wake

Ila kwa mwonekano jamaa anakaa tu hamna namna

Hapa kinahitajika Chama cha Wababa Tanzania (CHAWABATA)

Jamaa inaonesha kabisa kawekwa mtu kati
jamani kumbe hamjui sanaa ya ndoa, ukiona mtu mnyonge machoni ujue ndani ana nguvu sana, and vice vesa.
 
Back
Top Bottom