cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mmmmmhne mbala kuhina likunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmhne mbala kuhina likunda
Huwezi kusoma Russia ukatoka na hakili timamu!neverMazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989View attachment 1696899View attachment 1696900View attachment 1696898
Aiseee🤣🤣🤣🤣 its means watoto yamewakuta. Tofauti na kuwa Dr kuna na ile discipline ya kuwa kiongozi as role model.Vichaa wawili,jamaa mwehu mke chizi
Mods wameedkt comment yangu 😔😔😔Nafikiri ingependeza umalizie na hiyo sababu
Ha ha ha ha dah masela humu mnakomaa na munewe tu.. ila ni kweli hana ujanja kuna uzi kule MMU kuwa mwenye pesa ndio mwnye maamuz ya mwshoHuyu jamaa anaonesha anapata shida sana kwenye mahusiano yake.
Tofautisha vetting na betting mkuu. Kinachofanyika Tanzania ni betting.Halafu nyie jamii ya Mitandaoni huwa mnaanzisha story za hovyo hazina evidence yoyote.
Hivi unajua Vetting ya Waziri inavyofanywa. ? Vetting ya level hizo huwa ni za kufa mtu kwa wewe unaweza hata kuukataa uwaziri.
Wakati mwingine unatongozwa na kutiwa kama sehemu ya vetting. Kama Wewe ni mwanaume basi mke wako anaweza kutokewa na akiingia kwenye laini watu wanakula kama sehemu ya vetting . Wewe, unazungumza vetting ya kujua Kama akili yake ipo sawa au lah haikufanyika vyema , yaani Wewe inabidi tukuweke kwenye mental institution, akili yako haipo sawa.
Mlishawahi kusema vetting ya JPM haikufanyika vyema, hivyo sio mtanzania. Wengi wanaoandika huo upuuzi ni watu ambao hawajawahi hata kupitia utumishi wa Umma.
Wewe tukikufanyia vetting, tutajua hata kama ulishawahi kuingiliwa kinyume na maumbile, tunajua, seuze hilo la Afya ya akili .
You are not serious
Hayo ni kwa mujibu wa maoni yako na fikra za wabongo..siku alipomtaja mume wake kama mpenzi wake bungeni bila kuwepo mliponda sana..leo yupo nae bado mnasema ooh hawana mahusiano mazuri..unajua wana muda gani katika mahusiano yao?? Unajua kanuni walizojiwekea katika mahusiano yao..? Kwani mtu kumsapoti mwenza wake katika kampeni yoyote ni dhambi.?Nimezitama hizo picha na kugundua haya:
1. Lengo sio kufanya mazoezi, lengo hapo ni kupiga picha. It is a staged photo.
2. Muonekano unaonyesha kuwa sio watu wa mazoezi.
3. Body language inaonyesha hawana ule muunganiko wa kimapenzi baina ya mke na mume au mtu na rafiki yake wa
karibu. Hakuna chemistry baina yao.
4. Mama inaonekana anamburuza mwenzake.
HITIMISHO LANGU.
Uhusiano wao huenda una shida kubwa mahali fulani na hili ni jaribio la kutafuta kufunika shida isije ikaonekana.
USHAURI WANGU KWA DR. GWAJIMA
-Achana kabisa na mtindo wa maisha yako binafsi kuyaleta mbele ya kamera, gharama yake ni kubwa huko mbele ya safari.
-Ukiamua kuwa mwanasiasa basi jifunze kuishi kama mwanasiasa. Usitamani kuishi kama mtu maarufu wakati bado unajifunza kuwa mwanasiasa.
Ni Dr huyo kakutana na mambo makubwa hilo la ma camera ni jambo dogo sana kwakwe!Hiko chuma kweli, maana sio kwa uropokaji ule mbele ya ma Camera [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama wa nyumbani yupoje! Acha dharau unajua kutunza familia nikazi kubwa sana kuliko mhudumu wa ofisi anayeshinda na makaratasi kuliko mke nyumbani watoto 3, uhakikishe kila kitu kinaenda na baba yao pia, mie kama kazi ya kuajiriwa au kujiajiri Mme lazima anipe mshaharaWewe mama wa nyumbani au muajiriwa unamishe yako kama mnavyosema wenyewe, unachakarika kuna leo kuna kesho siyo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuwaulize lini wameongozana na wake zao hata kariakoo! Ukifika majumbani mwao wake utazani house girl haaa haaa, kuna baba alikuwa na duka lake sasa alikuwa na manato kweli, sasa wakapita mastaff wenzie dukani wakamkuta mkewe haaa haaa, siku nyingine wanamuuliza tulipita dukani tukamkuta mfanyakazi wako mamaaaa weeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wake zao wabovu hawana elimu wala mbele na nyuma hata wanaume wanaomponda wana cv mbaya tu hawajamkuta huyo mother kabisa
Wakawaburuze shangazi zao na dada zao, siku hizi hata aliyeishia form four haburuzwi hovyo akikaa vibaya hata mabanzi anapewaWanataka wanawake ambao hawajasoma ili wawaburuze Kama wajinga.
Waliosoma wanajitambua,hawaburuzwi kizembe.
Jamani mama Dorothy hata miezi 6 bado daa wabongo hapana mnamambo kweliSasa cha ajabu ummy mtaalamu wa sheria ila alihudumu vizuri wizara ya Afya, huyu mtaalamu wa Afya wizara husika inamleta tafrani lol.
Kanavyo penda picha haka kamama sipati picha Siku kakitumbuliwaMazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989View attachment 1696899View attachment 1696900View attachment 1696898
Sory mkuu hapo ndio yupiMazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989View attachment 1696899View attachment 1696900View attachment 1696898
Yaani hata mi sielewi.. Si wangefanya tu kimyaSababu ya kujirekodi ni nini hasa?
jamani kumbe hamjui sanaa ya ndoa, ukiona mtu mnyonge machoni ujue ndani ana nguvu sana, and vice vesa.Nilikuwa simjui Mr wake
Ila kwa mwonekano jamaa anakaa tu hamna namna
Hapa kinahitajika Chama cha Wababa Tanzania (CHAWABATA)
Jamaa inaonesha kabisa kawekwa mtu kati
kuunga mkono kwa vitendo namna ya asili kupambana na mafua hatari.Sababu ya kujirekodi ni nini hasa?
Mkuu sio huyojamani kumbe hamjui sanaa ya ndoa, ukiona mtu mnyonge machoni ujue ndani ana nguvu sana, and vice vesa.