FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuwaulize lini wameongozana na wake zao hata kariakoo! Ukifika majumbani mwao wake utazani house girl haaa haaa, kuna baba alikuwa na duka lake sasa alikuwa na manato kweli, sasa wakapita mastaff wenzie dukani wakamkuta mkewe haaa haaa, siku nyingine wanamuuliza tulipita dukani tukamkuta mfanyakazi wako mamaaaa weeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapana huyu mama anaonesha dalili zote za kushindwa kuhudumu hii wizara.Jamani mama Dorothy hata miezi 6 bado daa wabongo hapana mnamambo kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Wakawaburuze shangazi zao na dada zao, siku hizi hata aliyeishia form four haburuzwi hovyo akikaa vibaya hata mabanzi anapewa
Ndo maana kapagawaNi Dr huyo kakutana na mambo makubwa hilo la ma camera ni jambo dogo sana kwakwe!
Mambo gani kaonaNi Dr huyo kakutana na mambo makubwa hilo la ma camera ni jambo dogo sana kwakwe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tofautisha vetting na betting mkuu. Kinachofanyika Tanzania ni betting.
Hujajibu swali nililo kuuliza.Mama wa nyumbani yupoje! Acha dharau unajua kutunza familia nikazi kubwa sana kuliko mhudumu wa ofisi anayeshinda na makaratasi kuliko mke nyumbani watoto 3, uhakikishe kila kitu kinaenda na baba yao pia, mie kama kazi ya kuajiriwa au kujiajiri Mme lazima anipe mshahara
Ilo bag kabeba nini?Mazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989View attachment 1696899View attachment 1696900View attachment 1696898
Iko poa......View attachment 1696902
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vichaa hawa
Duu!!!!!Hapana huyu mama anaonesha dalili zote za kushindwa kuhudumu hii wizara.
Ushauri mzuri ninaamini jf kila mtu anaitumia ko hili amelipokeaNimezitama hizo picha na kugundua haya:
1. Lengo sio kufanya mazoezi, lengo hapo ni kupiga picha. It is a staged photo.
2. Muonekano unaonyesha kuwa sio watu wa mazoezi.
3. Body language inaonyesha hawana ule muunganiko wa kimapenzi baina ya mke na mume au mtu na rafiki yake wa
karibu. Hakuna chemistry baina yao.
4. Mama inaonekana anamburuza mwenzake.
HITIMISHO LANGU.
Uhusiano wao huenda una shida kubwa mahali fulani na hili ni jaribio la kutafuta kufunika shida isije ikaonekana.
USHAURI WANGU KWA DR. GWAJIMA
-Achana kabisa na mtindo wa maisha yako binafsi kuyaleta mbele ya kamera, gharama yake ni kubwa huko mbele ya safari.
-Ukiamua kuwa mwanasiasa basi jifunze kuishi kama mwanasiasa. Usitamani kuishi kama mtu maarufu wakati bado unajifunza kuwa mwanasiasa.
Kaanza muingiza na shemeji yake sasaUshauri mzuri ninaamini jf kila mtu anaitumia ko hili amelipokea
ShikamooWataalamu wa afya ya akili wanasema yule mama yetu ana dalili zote za kichwa chake kupata moto, kama sio kichaa cha kurithi basi kichaa cha msongo wa mawazo ya kimaisha ndio kinakuwaga vile.
Yote kwa yote kwa sasa nasikia yupo kwenye tiba(sina uhakika), hopeful atatulia fresh.
Mtu yoyote inaweza kumpata hiyo hali, hivyo tusimlaumu yeye. Shida iko kwa yule aliyemteua, vetting haikufanyika fresh, maana wangefukua mafaili ya afya yake ya akili yamkini wangeona kitu na kuepusha taifa kwenye hii kadhia.
Kama huamini hayo, jipe muda utakuja hapa hapa JF kurejea. It is a serious matter. Kile kichwa ni mental case!