Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga kama wewe ni mzigo kwa taifaHospital za binafsi ni wezi , wezi , wezi wakubwa , siku zoto wanabambikizia bili watu wenye bima . Ukiwa medical personel utagundua wanavyowaibia walala hoi.. Tatizo ni serikali kutokuwa na chombo kinachowafuatilia . Kama huamini nenda hospital tatu ukawaambia una tatizo fulani , utaona unavyobambikiziwa vipimo vikumba visivyo na tija ili ulipe hela nyingi
Mhe. Rais atafute mtu mwenye uwezo na awe na taaluma ya Afya kuongoza Wizara ya Afya badala ya Mhe. Umy.Sasa kazi ikikushinda si utaibiwa tu?
Inasikitisha sana...
Mnooooo yaniInasikitisha sana...